Angalia Jinsi hapa Afrika Mashariki Tanzania ndio imebarikiwa kupata mvua nyingi kushinda Kenya, Uganda

Angalia Jinsi hapa Afrika Mashariki Tanzania ndio imebarikiwa kupata mvua nyingi kushinda Kenya, Uganda

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Yaani wamebarikiwa sana na mwenyezi Mungu. Ukiangalia predicted rainfall patterns ya East Africa utagundua kwamba Tanzania ndio nchi pekee inayopokea mvua katika kila corner ya Tanzania. Nchi zingine hazipokei mvua katika kila kona. Lakini 100% ya Tanzania inapokea mvua. Sasa ni kwa nini Tanzania haizalishi chakula kingi? Kama 100% ya nchi yenu inapokea mvua nilitegemea mlishe Africa nzima. Tatizo mumezembea sana.

Kenya huwa inapokea mvua kusini na magharibi mwa Kenya ila Kenya huwa inakosa kupokea mvua upande wa mashariki na kaskazini. Sudan inapokea mvua kidogo sana. Chini ya 10% ya ardhi ya Sudan inapokea mvua ilhali wanazalisha chakula kingi kutumia irrigation. Uganda wakati mwingine wana mvua na wakati mwingine hawana. Tazama Mwenyezi Mungu alivyowabariki na mvua katika 100% of your country.

Wiki ya Jan 6 hadi13

Rainfall forecast - 06 - 13 January - IGAD Region.png


Wiki ya Jan 12 hadi 19
Rainfall forecast - 12-19 Jan 2021 - IGAD Region.png


Wiki ya Jan 19 hadi 26
Rainfall forecast - 19-26 Jan 2021 - IGAD Region.png


Wiki ya Jan 26 hadi Feb 2
Rainfall forecast - 26 Jan - 02 Feb 2021 - IGAD Region.png
 
Tunashukuru kwa kutuonesha baraka zetu. Kwenye biblia kitabu cha Deuteronomy sura ya 28 anaongelea baraka na laana

Mstari 1 - 14 ina ongelea baraka
Mstari 15 na kuendelea anaongelea laana

Kenya imelaaniwa toka mwanzo.
Biblia inasema
Mstari wa 24 umasema:-

Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.

The LORD shall make the rain of thy land powder and dust: from heaven shall it come down upon thee, until thou be destroyed.
 
Tunashukuru kwa kutuonesha baraka zetu.
Kwenye kwenye biblia kitabu cha Deuteronomy sura ya 28 anaongelea baraka na laana
Mstari 1 - 14 ina ongelea baraka
Mstari 15 na kuendelea anaongelea laana

Kenya imelaaniwa toka mwanzo.
Biblia inasema
Mstari wa 24 umasema:-

Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.

The LORD shall make the rain of thy land powder and dust: from heaven shall it come down upon thee, until thou be destroyed.
Aisee, walifanya nini hadi wakalaaniwa?
 
Umejawa na uchungu jirani! Unalazimisha mamo ambayo hayapo ili nafsi yako ifurahi. Sawa sisi Ma lazy tunaopata mvua nyingi tunawalisha Kenya. Nyinyi wachapa kazi mnasaidiwa mchele kutoa Dubai kwenye jangwa! 😀 😀 😀
 
Aisee, walifanya nini hadi wakalaaniwa?
Waliacha kusikiliza maneno ya BWANA WA MAJESHI

Vilevile ukisoma msitari wa 38 unasema:-

Mbegu nyingi utazichukua nje shambani, lakini utavuna haba, kwa kuwa nzige watazila.

Thou shalt carry much seed out into the field, and shalt gather but little in; for the locust shall consume it.


Hukuona wale nzige walioingia Kenya?
 
Deuteronomy 28: 12 anaongelea Tanzania. Mvua ni nyingi na tunafanya miradi yetu bila kukopa

Atakufunulia Bwana hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe.

The LORD shall open unto thee his good treasure, the heaven to give the rain unto thy land in his season, and to bless all the work of thine hand: and thou shalt lend unto many nations, and thou shalt not borrow.
 
Eti Chakula Kingi
Mnakula Chakula Kutoka wapi?
Lini Tanzania Ikaomba Msaada wa Chakula Nje?Muda Huu Maghala Yamejaa Chakula Na Bado Msimu huu
Mpunga Umejaa Kwenye Mastoo kila kona Ya Tanzania
Kwa mvua nyingi mnayopokea nilitegemea mlishe Africa nzima.
 
Waliacha kusikiliza maneno ya BWANA WA MAJESHI

Vilevile ukisoma msitari wa 38 unasema:-

Mbegu nyingi utazichukua nje shambani, lakini utavuna haba, kwa kuwa nzige watazila.

Thou shalt carry much seed out into the field, and shalt gather but little in; for the locust shall consume it.


Hukuona wale nzige walioingia Kenya!?
Neno gani la Bwana wa majeshi ambalo hawakulisikia??--- lengo ni kutaka kuwasaidia hawa jamaa zetu wenye Ukabila uliopitiliza mipaka.
 
Neno gani la Bwana wa majeshi ambalo hawakulisikia??--- lengo ni kutaka kuwasaidia hawa jamaa zetu wenye Ukabila uliopitiliza mipaka.
Wanatoa rushwa, rais wao mlevi, wanakuwa na ubaguzi nk
 
Neno la BWANA linaendelea kusema kuhusu Kenya Deuteronomy 28:42


Miti yako yote, na mazao ya nchi yako, nzige watakuwa nayo.

All thy trees and fruit of thy land shall the locust consume.
 
Tunashukuru kwa kutuonesha baraka zetu.
Kwenye kwenye biblia kitabu cha Deuteronomy sura ya 28 anaongelea baraka na laana
Mstari 1 - 14 ina ongelea baraka
Mstari 15 na kuendelea anaongelea laana

Kenya imelaaniwa toka mwanzo.
Biblia inasema
Mstari wa 24 umasema:-

Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.

The LORD shall make the rain of thy land powder and dust: from heaven shall it come down upon thee, until thou be destroyed.
Kwa hivyo kulingana na hio reasoning yako Egypt kwa sababu hawapokei mvua yoyote wamelaaniwa ilhali wana uchumi mkubwa na utajiri mkubwa kushinda Tanzania? Wana wahandisi waliosoma na kubobea kiasi cha kwamba kampuni ya Misri ndio inawajengea Julius Nyerere dam?
 
Kwa mvua nyingi mnayopokea nilitegemea mlishe Africa nzima.
Tunalima kwa faida yetu ndio maana hatukopi ovyo kama ninyi.
Laana zinazoipata Kenya ni kwa sababu mmeacha kusikia sauti ya Mungu
Laana hizi:-
Deuteronomy 28:44

Yeye atakukopesha, wala wewe usimkopeshe; yeye atakuwa ni kichwa, wewe utakuwa mkia.

He shall lend to thee, and thou shalt not lend to him: he shall be the head, and thou shalt be the tail
 
Tunalima kwa faida yetu ndio maana hatukopi ovyo kama ninyi.
Laana zinazoipata Kenya ni kwa sababu mmeacha kusikia sauti ya Mungu
Laana hizi:-
Deuteronomy 28:44


Yeye atakukopesha, wala wewe usimkopeshe; yeye atakuwa ni kichwa, wewe utakuwa mkia.


He shall lend to thee, and thou shalt not lend to him: he shall be the head, and thou shalt be the tail
Wewe software engineer au sijui Cosmologist umekuwa tena pastor?
 
Kwa hivyo kulingana na hio reasoning yako Egypt kwa sababu hawapokei mvua yoyote wamelaaniwa ilhali wana uchumi mkubwa na utajiri mkubwa kushinda Tanzania? Wana wahandisi waliosoma na kubobea kiasi cha kwamba kampuni ya Misri ndio inawajengea Julius Nyerere dam?
Mungu aliwapatia wa misri mto Nail lakini ninyi mmelaania tangu kizazi mpaka kizazi cha saba.

Deuteronomy 28:60

Naye atakurejezea maradhi yote ya Misri juu yako uliyokuwa ukiyaogopa, nayo yataambatana nawe.


Moreover he will bring upon thee all the diseases of Egypt, which thou wast afraid of; and they shall cleave unto thee.

 
Kwa mvua nyingi mnayopokea nilitegemea mlishe Africa nzima.
Bwana wee tulishe Africa nzima tumeombwa?
Wakiwa na shida ya chakula waje tuwauzie
Una kumbuka mlivokuja kununua tani milioni 50 za mahindi? Hatukuwalisha nyie Kenyans?
Msaada wa mahindi tuliowapa Zimbabwe kuwapoza njaa?
Miaka ya zamani tuliwalisha somalia wakiwa wananguka kwa njaa mpaka Leo hata alshaabab wanatukumbuka?

Kama kuna mtu ana njaa huko aje tu si tutampa,kama anacho atulie kwake

Ni lini tz nimewahi kumuomba chakula jirani?

Siku shangaa na uzimie ukisikia tz wanakufa njaa na mvua zote hizi.
 
Back
Top Bottom