Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Yaani wamebarikiwa sana na mwenyezi Mungu. Ukiangalia predicted rainfall patterns ya East Africa utagundua kwamba Tanzania ndio nchi pekee inayopokea mvua katika kila corner ya Tanzania. Nchi zingine hazipokei mvua katika kila kona. Lakini 100% ya Tanzania inapokea mvua. Sasa ni kwa nini Tanzania haizalishi chakula kingi? Kama 100% ya nchi yenu inapokea mvua nilitegemea mlishe Africa nzima. Tatizo mumezembea sana.
Kenya huwa inapokea mvua kusini na magharibi mwa Kenya ila Kenya huwa inakosa kupokea mvua upande wa mashariki na kaskazini. Sudan inapokea mvua kidogo sana. Chini ya 10% ya ardhi ya Sudan inapokea mvua ilhali wanazalisha chakula kingi kutumia irrigation. Uganda wakati mwingine wana mvua na wakati mwingine hawana. Tazama Mwenyezi Mungu alivyowabariki na mvua katika 100% of your country.
Wiki ya Jan 6 hadi13
Wiki ya Jan 12 hadi 19
Wiki ya Jan 19 hadi 26
Wiki ya Jan 26 hadi Feb 2
Kenya huwa inapokea mvua kusini na magharibi mwa Kenya ila Kenya huwa inakosa kupokea mvua upande wa mashariki na kaskazini. Sudan inapokea mvua kidogo sana. Chini ya 10% ya ardhi ya Sudan inapokea mvua ilhali wanazalisha chakula kingi kutumia irrigation. Uganda wakati mwingine wana mvua na wakati mwingine hawana. Tazama Mwenyezi Mungu alivyowabariki na mvua katika 100% of your country.
Wiki ya Jan 6 hadi13
Wiki ya Jan 12 hadi 19
Wiki ya Jan 19 hadi 26
Wiki ya Jan 26 hadi Feb 2