Uwarabuni mbona hamna sehem ya kulima ila inailisha KenyaKwa mvua nyingi mnayopokea nilitegemea mlishe Africa nzima.
Amen leo ni preaching day Pastor Venus Star tuwe waangalifu kabla huyu jirani hajatia nyongo ya chuki siku hii!Waliacha kusikiliza maneno ya BWANA WA MAJESHI
Vilevile ukisoma msitari wa 38 unasema:-
Mbegu nyingi utazichukua nje shambani, lakini utavuna haba, kwa kuwa nzige watazila.
Thou shalt carry much seed out into the field, and shalt gather but little in; for the locust shall consume it.
Hukuona wale nzige walioingia Kenya!?
finally umeileta hii screenshot[emoji23][emoji23][emoji23].Watu hudhania nawaonea hawa wakati nawasuta kwa uzembe wao, hebu sasa waza wao ndio wanaongoza ukanda huu kwa idadi ya omba omba wao wanaokuja kutusumbua hapa Kenya.
Yaani jamaa huwa wazembe wa kutupwa kuleeeee......na wenyewe wanalijua hilo...hehehe
Licha ya baraka zote hizo, hawa hapa wanavyotajwa
Kuwasaliti waafrika wenzao kipindi cha kudai uhuru na ubaguzi wao wa kikabila,laana yao wakunya ilianzia hapoAisee, walifanya nini hadi wakalaaniwa??
Duu mzee umeamua kushusha na Maandiko kabisa... Sasa inakuwaje ninyi Ni waasisi was mauwaji ya vikongwe, Mauwaji na uuzaji wa viungo vya albino, na Uchunaji wa ngozi za watu???Tunashukuru kwa kutuonesha baraka zetu.
Kwenye kwenye biblia kitabu cha Deuteronomy sura ya 28 anaongelea baraka na laana
Mstari 1 - 14 ina ongelea baraka
Mstari 15 na kuendelea anaongelea laana
Kenya imelaaniwa toka mwanzo.
Biblia inasema
Mstari wa 24 umasema:-
Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.
The LORD shall make the rain of thy land powder and dust: from heaven shall it come down upon thee, until thou be destroyed.
Mkuu kati yako na Kenya Nani Hamsikilizi Mungu? Mbona naona wewe ndiyo una miungu mingi Sana ukiwemo ule wa Moto unaoukimbiza Kila mwaka kwa gharama kubwa Sana?Waliacha kusikiliza maneno ya BWANA WA MAJESHI
Vilevile ukisoma msitari wa 38 unasema:-
Mbegu nyingi utazichukua nje shambani, lakini utavuna haba, kwa kuwa nzige watazila.
Thou shalt carry much seed out into the field, and shalt gather but little in; for the locust shall consume it.
Hukuona wale nzige walioingia Kenya!?
Deuteronomy 28: 12 anaongelea Tanzania.
Mvua ni nyingi na tunafanya miradi yetu bila kukopa
Atakufunulia Bwana hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe.
The LORD shall open unto thee his good treasure, the heaven to give the rain unto thy land in his season, and to bless all the work of thine hand: and thou shalt lend unto many nations, and thou shalt not borrow.
Duh kwahio Muumba ni wa kutoa laana ? (kwanini hii inaonekana kama positive, wakati ni negative) hata binadamu ukiwa mtu wa laana / kulaani nadhani tutasema haupo sawa...Tunashukuru kwa kutuonesha baraka zetu.
Kwenye kwenye biblia kitabu cha Deuteronomy sura ya 28 anaongelea baraka na laana
Mstari 1 - 14 ina ongelea baraka
Mstari 15 na kuendelea anaongelea laana
Kenya imelaaniwa toka mwanzo.
Biblia inasema
Mstari wa 24 umasema:-
Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.
The LORD shall make the rain of thy land powder and dust: from heaven shall it come down upon thee, until thou be destroyed.
Kwasababu hatujahakikishiwa soko la kudumu.Kwa mvua nyingi mnayopokea nilitegemea mlishe Africa nzima.
halafu those lazy families hazijaendeleza hizi farms ila mburura Tony254 yupo busy kuonea wivu mvua ya Tanzania nchi inayomlisha! Mimi ninachojua tangu uhuru Kenya haijawahi kosa njaa! kuwe na mvua kuwe na kiangazi!Badala ufungue uzi wa kuilaumu na kuishurutisha serikali yako iwanyanganye wanasiasa wachache waliojimilikisha hekari za kutosha pamoja na wazungu wanaomiliki hekari za kutosha hapo kenya na kuwaacha mamilioni ya wakenya wakiwa hawana hata kijisehemu cha kulima upo busy hapa kuitaja taja Tanzania inayokulisha.
Hivi hizi acres zinazomilikiwa na familia moja zinawatosha wakenya wangapi?
1. 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu.
2. 5, 000 acres in Thika.
3. 20,000-acre one, also known as Gichea Farm,
4. 5, 000-acre Muthaita Farm
5. 9,000 acres in Kasarani Mwiki
6. 29, 000 acres in Kahawa Sukari
7. 50, 000 acres in Taita
8. 52,000-acre farm in Nakuru
9. 24, 000 acres in Taveta
10. 10, 000-acre ranch in Naivasha.
11. 10, 000 acres in Rumuruti
12. 40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province
Tena mvua ikinyeesha husababisha njaa izidi zaidi [emoji23][emoji23][emoji23]halafu those lazy families hazijaendeleza hizi farms ila mburura Tony254 yupo busy kuonea wivu mvua ya Tanzania nchi inayomlisha! Mimi ninachojua tangu uhuru Kenya haijawahi kosa njaa! kuwe na mvua kuwe na kiangazi!
Wakenya wamekufanya nini mpaka ufike ulipo fika. Usitumie dini kuhukumu ni kibaya sana na ni laana.Neno la BWANA linaendelea kusema kuhusu Kenya Deuteronomy 28:42
Miti yako yote, na mazao ya nchi yako, nzige watakuwa nayo.
All thy trees and fruit of thy land shall the locust consume.
Mkuu, dose yako ya Mirembe umeikatisha?Mkuu kati yako na Kenya Nani Hamsikilizi Mungu?? Mbona naona wewe ndiyo una miungu mingi Sana ukiwemo ule wa Moto unaoukimbiza Kila mwaka kwa gharama kubwa Sana?