enzo1988
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 1,838
- 7,346
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha matendo ya watu yanaweza kusababisha vipi kimbunga?Waache ushoga,majanga ya asili nayo yawaache
Hizo sababu zako ni za uchochoroni huko buza ndani ndani , zipo sababu za kijokrafia za hilo jimbo kukumbwa na hiyo dhuruba .wamezidi ushoga na ufreemason hawa wamarekani, ila Mungu awasaidie na kuwaokoa kwa kweli. nakumbuka kuna mwaka jimbo fulani lilikuwa linaenda kuhalalisha ushoga, ilikuwa New Orleans. walipigwa na kimbunga hatari. ujinga ujinga kama huu ni chukizo kwa Mungu na hatuwezi kuwa na uhakika ila Florida hasa kwenye hizo beach kuna ufuska mwingi sana jimbo hilo.
sawa na waarabu, utamaduni wao wanapinga ushoga machoni ila sirini wanaita wanawake ni kwa ajili ya kuzaa ila wavulana ni for fun. unafiki mtupu ndio maana ukiona kuna mwarabu au mpemba mtaani watu wanalinda watoto wao. ukanda wa pwani wote ni ushoga na kuingilia wanawake kinyume, wala sio ajabu kwao.
nimeweka pande zote mbili ile kubalance, wale wanaojifanya wao ni wasafi kuliko wengine wajue ufuska huo upo zaidi kwao kuliko.
jiografia ipo kila sehemu na kila nchi. hata sodoma na gomora kulikuwa na geografia. hata kipindi cha nuhu walisema hivyo hivyo. ishi ukiamini sisi wanadamu tunaishi kwa neema ya Mungu, na tunapaswa kuishi kwa kufuata Neno la Mungu, ili Mungu awe pamoja nasi, tusiridhike tu na neema ya kunyeshewa mvua na jua la kila siku, kuna wakati wanadamu wenyewe wanakaribisha uharibifu hadi Mungu anaona hasira. we imagine dume zime linaolewa na mwanaume mwenzie, na lenyewe si ukute linapiga hadi miguno na kulia kwa mahaba hata sijui huwa inakuaje aisee huko kwenye vyumba vyao. ushetani mtupu.Hizo sababu zako ni za uchochoroni huko buza ndani ndani , zipo sababu za kijokrafia za hilo jimbo kukumbwa na hiyo dhuruba .
Thibitisha huyo Mungu yupo, ulichoandika chote hicho ni maneno ya imani yako ambayo ulizaliwa ukairithi kwa wazazi wako tu ,hata ungezaliwa ukiwa mhindu ungekuja na mtazamo tofauti na huu na kuona upo sahihi 100%jiografia ipo kila sehemu na kila nchi. hata sodoma na gomora kulikuwa na geografia. hata kipindi cha nuhu walisema hivyo hivyo. ishi ukiamini sisi wanadamu tunaishi kwa neema ya Mungu, na tunapaswa kuishi kwa kufuata Neno la Mungu, ili Mungu awe pamoja nasi, tusiridhike tu na neema ya kunyeshewa mvua na jua la kila siku, kuna wakati wanadamu wenyewe wanakaribisha uharibifu hadi Mungu anaona hasira. we imagine dume zime linaolewa na mwanaume mwenzie, na lenyewe si ukute linapiga hadi miguno na kulia kwa mahaba hata sijui huwa inakuaje aisee huko kwenye vyumba vyao. ushetani mtupu.
Uliwahi kusikia kuhusu "Sodoma na Gomora?"Thibitisha matendo ya watu yanaweza kusababisha vipi kimbunga?
kama unaamini Mungu hayupo, wewe ni MPUMBAVU. Zaburi 53:1, Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.Thibitisha huyo Mungu yupo, ulichoandika chote hicho ni maneno ya imani yako ambayo ulizaliwa ukairithi kwa wazazi wako tu ,hata ungezaliwa ukiwa mhindu ungekuja na mtazamo tofauti na huu na kuona upo sahihi 100%
We mpuuz kweli. Hapo Zanzibar ushoga upo miaka mbona hakuna kituWaache ushoga,majanga ya asili nayo yawaache
Nchi inahitaji elimu hii, utazan wew hapo hujawah kuufanya huo ufusika......wamezidi ushoga na ufreemason hawa wamarekani, ila Mungu awasaidie na kuwaokoa kwa kweli. nakumbuka kuna mwaka jimbo fulani lilikuwa linaenda kuhalalisha ushoga, ilikuwa New Orleans. walipigwa na kimbunga hatari. ujinga ujinga kama huu ni chukizo kwa Mungu na hatuwezi kuwa na uhakika ila Florida hasa kwenye hizo beach kuna ufuska mwingi sana jimbo hilo.
sawa na waarabu, utamaduni wao wanapinga ushoga machoni ila sirini wanaita wanawake ni kwa ajili ya kuzaa ila wavulana ni for fun. unafiki mtupu ndio maana ukiona kuna mwarabu au mpemba mtaani watu wanalinda watoto wao. ukanda wa pwani wote ni ushoga na kuingilia wanawake kinyume, wala sio ajabu kwao.
nimeweka pande zote mbili ile kubalance, wale wanaojifanya wao ni wasafi kuliko wengine wajue ufuska huo upo zaidi kwao kuliko.
Kijana...achana na hizo mbuzi, hawawezi kukuelewa hata kidogo.Hizo sababu zako ni za uchochoroni huko buza ndani ndani , zipo sababu za kijokrafia za hilo jimbo kukumbwa na hiyo dhuruba .
huwa naamini kuna siku kimbunga kikubwa sana kitapiga Zanzibar kwa sababu ya ushoga na ufiraji kwa wanawake, Mombasa pia na Tanga. na Zanzibar ikipigwa sijui watakimbilia wapi, manake wanatuita wabara "chogo", na sisi tutawapokea tukiwaita wenye vichwa kama "bumunda".We mpuuz kweli. Hapo Zanzibar ushoga upo miaka mbona hakuna kitu
Hizo sehemu na hayo majina yapo kwenye hadithi kama ilivyo majina ya hadithi za ule mji bwana ngoswe alipo kutana na mazoeaUliwahi kusikia kuhusu "Sodoma na Gomora?"
sijawahi kufira mwanadamu yeyote tangu nizaliwe, namshukuru Mungu kwa hilo. ushoga ni dhambi ndugu,tuukemee sote.Nchi inahitaji elimu hii, utazan wew hapo hujawah kuufanya huo ufusika......
Hayo n majanga ya asili yalikuwepo na yatakuwepo hata kama ni kweli mengine huzidishwa na sababu za kibinadamu.
Hawa inabidi waeleweshwe kizazi cha namna hii ni mzigo mkubwa kwa taifa.Kijana...achana na hizo mbuzi, hawawezi kukuelewa hata kidogo.
Wamesahau Tsunami Indonesia 2004, Tetemeko la ardhi Bukoba, Mafuriko Dubai..maporomko ya udongo Uganda, na Oldonyo lengai na n.k...