Angalia kimbunga Milton kilivyotua huko Marekani! Angalia maajabu ya ndege! Angalia urefu wa wimbi!

Angalia kimbunga Milton kilivyotua huko Marekani! Angalia maajabu ya ndege! Angalia urefu wa wimbi!

Waache ushoga,majanga ya asili nayo yawaache
Kwa hiyo unataka kusema kwamba wale Wananchi wa Hanang ambao walikufa kwa kufukiwa na kifusi cha matope baada ya mlima Hanang kuporomoka ni kwa sababu wananchi hao walizidisha kufanya ushoga??
Na wale waliokufa kule Bukoba kutokana na tetemeko la Ardhi ni kwa sababu wananchi hao wa Bukoba walizidisha ushoga??

Hivi ujinga wa namna hii nyinyi wenzetu huwa mnausomea wapi??????Eenh!!
 
jiografia ipo kila sehemu na kila nchi. hata sodoma na gomora kulikuwa na geografia. hata kipindi cha nuhu walisema hivyo hivyo. ishi ukiamini sisi wanadamu tunaishi kwa neema ya Mungu, na tunapaswa kuishi kwa kufuata Neno la Mungu, ili Mungu awe pamoja nasi, tusiridhike tu na neema ya kunyeshewa mvua na jua la kila siku, kuna wakati wanadamu wenyewe wanakaribisha uharibifu hadi Mungu anaona hasira. we imagine dume zime linaolewa na mwanaume mwenzie, na lenyewe si ukute linapiga hadi miguno na kulia kwa mahaba hata sijui huwa inakuaje aisee huko kwenye vyumba vyao. ushetani mtupu.
Hi,o stori ni za kusadikika na hazina uthibitisho wa kutaalamu
 
wamezidi ushoga na ufreemason hawa wamarekani, ila Mungu awasaidie na kuwaokoa kwa kweli. nakumbuka kuna mwaka jimbo fulani lilikuwa linaenda kuhalalisha ushoga, ilikuwa New Orleans. walipigwa na kimbunga hatari. ujinga ujinga kama huu ni chukizo kwa Mungu na hatuwezi kuwa na uhakika ila Florida hasa kwenye hizo beach kuna ufuska mwingi sana jimbo hilo.

sawa na waarabu, utamaduni wao wanapinga ushoga machoni ila sirini wanaita wanawake ni kwa ajili ya kuzaa ila wavulana ni for fun. unafiki mtupu ndio maana ukiona kuna mwarabu au mpemba mtaani watu wanalinda watoto wao. ukanda wa pwani wote ni ushoga na kuingilia wanawake kinyume, wala sio ajabu kwao.

nimeweka pande zote mbili ile kubalance, wale wanaojifanya wao ni wasafi kuliko wengine wajue ufuska huo upo zaidi kwao kuliko.
Kila mtu na dhambi zake.

Hata sisi huku uchawi,ushirikina,mauaji,utekaji hayo yote hatujazidi dhambi na sisi?

Mi naona hatucgekani
 
Mungu gani anashindwa kuzuia hicho kimbunga kisije?

Mungu gani anayeruhusu kimbunga kije kilete madhara, halafu ndio aanze kutafuta sifa za kijinga za kupewa maua yake?

Huyo Mungu ni Mungu mjinga sana na wala hajielewi.

Hafai kabisa na anastahili kufurushwa.
 
Hivi vimbunga ni matokeo ya ubishi wetu wanadamu dhidi ya mazingira
Hizi storms zilikuwepoe tangia dunia iumbwe na wala sio binadamu ndio chanzo, vitabu vitakatifu viananena tangia enzi za Nuhu haya mambo yalikuwepo.
 
Back
Top Bottom