wamezidi ushoga na ufreemason hawa wamarekani, ila Mungu awasaidie na kuwaokoa kwa kweli. nakumbuka kuna mwaka jimbo fulani lilikuwa linaenda kuhalalisha ushoga, ilikuwa New Orleans. walipigwa na kimbunga hatari. ujinga ujinga kama huu ni chukizo kwa Mungu na hatuwezi kuwa na uhakika ila Florida hasa kwenye hizo beach kuna ufuska mwingi sana jimbo hilo.
sawa na waarabu, utamaduni wao wanapinga ushoga machoni ila sirini wanaita wanawake ni kwa ajili ya kuzaa ila wavulana ni for fun. unafiki mtupu ndio maana ukiona kuna mwarabu au mpemba mtaani watu wanalinda watoto wao. ukanda wa pwani wote ni ushoga na kuingilia wanawake kinyume, wala sio ajabu kwao.
nimeweka pande zote mbili ile kubalance, wale wanaojifanya wao ni wasafi kuliko wengine wajue ufuska huo upo zaidi kwao kuliko.