MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Na CCM je?wamezidi ushoga na ufreemason hawa wamarekani, ila Mungu awasaidie na kuwaokoa kwa kweli. nakumbuka kuna mwaka jimbo fulani lilikuwa linaenda kuhalalisha ushoga, ilikuwa New Orleans. walipigwa na kimbunga hatari. ujinga ujinga kama huu ni chukizo kwa Mungu na hatuwezi kuwa na uhakika ila Florida hasa kwenye hizo beach kuna ufuska mwingi sana jimbo hilo.
sawa na waarabu, utamaduni wao wanapinga ushoga machoni ila sirini wanaita wanawake ni kwa ajili ya kuzaa ila wavulana ni for fun. unafiki mtupu ndio maana ukiona kuna mwarabu au mpemba mtaani watu wanalinda watoto wao. ukanda wa pwani wote ni ushoga na kuingilia wanawake kinyume, wala sio ajabu kwao.
nimeweka pande zote mbili ile kubalance, wale wanaojifanya wao ni wasafi kuliko wengine wajue ufuska huo upo zaidi kwao kuliko.
Hii bila.shaka.ni.Mental case.huwa naamini kuna siku kimbunga kikubwa sana kitapiga Zanzibar kwa sababu ya ushoga na ufiraji kwa wanawake, Mombasa pia na Tanga. na Zanzibar ikipigwa sijui watakimbilia wapi, manake wanatuita wabara "chogo", na sisi tutawapokea tukiwaita wenye vichwa kama "bumunda".
Itakua oldonyo lengai watu walikua wanaenda kufiranah ndio.mana kukatokea.majanga.Kijana...achana na hizo mbuzi, hawawezi kukuelewa hata kidogo.
Wamesahau Tsunami Indonesia 2004, Tetemeko la ardhi Bukoba, Mafuriko Dubai..maporomko ya udongo Uganda, na Oldonyo lengai na n.k...
Ila kila siku utasikia Mungu ibarikiri Israel 😁😁 as if Israel ina haki ya kuua tofauti na hicho kimbunga ambacho ni majanga ya asili tu🤔Saivi wanaitafuta elfu 50, saivi ngoma inacheza kwenye 42, bado kama maiti elfu 8 hivi, kila.siku wanaua mtu kama 50 hivi, sasa 50 hadi disemba wanaweza kusherekea mwaka mpya na elfu 50 net..
Sababu zako za kijinga. Ni mmoja wa wanaodhani kuwa Marekani kuna ushoga tu. Kila kitu mnatolea jawabu la ushoga tu.wamezidi ushoga na ufreemason hawa wamarekani, ila Mungu awasaidie na kuwaokoa kwa kweli. nakumbuka kuna mwaka jimbo fulani lilikuwa linaenda kuhalalisha ushoga, ilikuwa New Orleans. walipigwa na kimbunga hatari. ujinga ujinga kama huu ni chukizo kwa Mungu na hatuwezi kuwa na uhakika ila Florida hasa kwenye hizo beach kuna ufuska mwingi sana jimbo hilo.
sawa na waarabu, utamaduni wao wanapinga ushoga machoni ila sirini wanaita wanawake ni kwa ajili ya kuzaa ila wavulana ni for fun. unafiki mtupu ndio maana ukiona kuna mwarabu au mpemba mtaani watu wanalinda watoto wao. ukanda wa pwani wote ni ushoga na kuingilia wanawake kinyume, wala sio ajabu kwao.
nimeweka pande zote mbili ile kubalance, wale wanaojifanya wao ni wasafi kuliko wengine wajue ufuska huo upo zaidi kwao kuliko.
Apa huwa nakuelewa mno , tukiachana na zile habari za kifo ni kifo tu🤣Mtu aliyepandikiza akilini mwa watanzania wengi kudhani hadi majanga ya asili yanasababishwa na ushoga alifaulu sana kwenye hizo propaganda. Kule DRC volcano inavyolipuka huwa sababu pia ni ushoga? Tutumie akili kujenga hoja.
Hivi Mungu ni mharibifu kiasi hicho?Mpe Mungu maua yake 🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁
😁Hivi Mungu ni mharibifu kiasi hicho?
Duh.aiseeHawa nephilim/demon incarnates/fallen angels/majini wanaojifanya ni binadamu wapo wengi, hata mitandaoni humu wapo, kama huyu Diana kalala wa fb nina mashaka sio binadamu wa kawaida, wenye d mbili kwenye mambo ya kiroho lazma wahisi kuna uwezekano asilimia 80 huyu ni jini Yesu Anakuja
View attachment 3121135View attachment 3121136
Ndio hivyo mkuu hawa watu wana elimu kubwa tu kwenye vyeti vyao usishangae.Duh.aisee
Eti watu wanakimbia kuokoa roho zao na sio fedha. Aliyekwambia watu wanakaa na pesa ndani kama nguo ni nani? Pesa ziko salama salimini acha oya oya.Picha linaanza kwa ndege kunusa hatari! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121082
Angalia urefu wa hilo wimbi! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121079
Kisha mwamba Milton akatua! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121085
Nb: Watu wanakimbia kuokoa roho zao na siyo fedha! Mpe Mungu maua yake!
Mungu anahusikaje hapa ndugu? Mbona umeng'ang'ania mpe Mungu maua yake?Picha linaanza kwa ndege kunusa hatari! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121082
Angalia urefu wa hilo wimbi! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121079
Kisha mwamba Milton akatua! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121085
Nb: Watu wanakimbia kuokoa roho zao na siyo fedha! Mpe Mungu maua yake!
Kobazi acha kabisa wana machaka mengi.wamezidi ushoga na ufreemason hawa wamarekani, ila Mungu awasaidie na kuwaokoa kwa kweli. nakumbuka kuna mwaka jimbo fulani lilikuwa linaenda kuhalalisha ushoga, ilikuwa New Orleans. walipigwa na kimbunga hatari. ujinga ujinga kama huu ni chukizo kwa Mungu na hatuwezi kuwa na uhakika ila Florida hasa kwenye hizo beach kuna ufuska mwingi sana jimbo hilo.
sawa na waarabu, utamaduni wao wanapinga ushoga machoni ila sirini wanaita wanawake ni kwa ajili ya kuzaa ila wavulana ni for fun. unafiki mtupu ndio maana ukiona kuna mwarabu au mpemba mtaani watu wanalinda watoto wao. ukanda wa pwani wote ni ushoga na kuingilia wanawake kinyume, wala sio ajabu kwao.
nimeweka pande zote mbili ile kubalance, wale wanaojifanya wao ni wasafi kuliko wengine wajue ufuska huo upo zaidi kwao kuliko.
nakataa.Hivi vimbunga ni matokeo ya ubishi wetu wanadamu dhidi ya mazingira
Kila kitu wanakihusisha na dini loh.Hawa inabidi waeleweshwe kizazi cha namna hii ni mzigo mkubwa kwa taifa.
Ndio mkuu kwasababu tumekataa kumkabidhi maisha yetu kipenzi chetu cha Imaam Hussein Allah amfanyie wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.Hivi vimbunga ni matokeo ya ubishi wetu wanadamu dhidi ya mazingira
Hapa ndo sini zinakua na ukakasi, yaani Mungu apige kimbunga jimbo kisa linaruhusi ushoga!! Na huku Capo Delgado raia wanauana, huko Congo na Sudani watu wanachinjana kama wanyama huko Gaza na Ukrain usiongelee kabisa.wamezidi ushoga na ufreemason hawa wamarekani, ila Mungu awasaidie na kuwaokoa kwa kweli. nakumbuka kuna mwaka jimbo fulani lilikuwa linaenda kuhalalisha ushoga, ilikuwa New Orleans. walipigwa na kimbunga hatari. ujinga ujinga kama huu ni chukizo kwa Mungu na hatuwezi kuwa na uhakika ila Florida hasa kwenye hizo beach kuna ufuska mwingi sana jimbo hilo.
sawa na waarabu, utamaduni wao wanapinga ushoga machoni ila sirini wanaita wanawake ni kwa ajili ya kuzaa ila wavulana ni for fun. unafiki mtupu ndio maana ukiona kuna mwarabu au mpemba mtaani watu wanalinda watoto wao. ukanda wa pwani wote ni ushoga na kuingilia wanawake kinyume, wala sio ajabu kwao.
nimeweka pande zote mbili ile kubalance, wale wanaojifanya wao ni wasafi kuliko wengine wajue ufuska huo upo zaidi kwao kuliko.