Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Waambie hao mende na machawa wa Libibi la kupita lione haya na soni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu Wabariki Wazunguwanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!
Read! Erythrocyte
Hilo ndio jambo kubwaCorruption
13 pagesMkuu natamani niufungue Ila nahc uvivu balaa km unavyotujua black people , kwan PDF hii ina page ngp kwanza?[emoji23]
lakini unona kuwa hakuna upande uliouza uhuru wake , kudanganywa, kunyonywa kama wa kwetu in short umetoa wajibu na haki pande zote.Ninachosikitika atakama umesainiwa 1991 ila viwango vyake hatujavifikia sisi tuliosaini 2023 yaaani tuseme kwamba sie tuko nyuma sana kama mkataba huu unaweza tumika kucalculate calendar yetu basi tuko 1882
Hujui kukwama?......wanasheria wetu walikwama wapi.... Nothing Like That !!!
Watu wengine humu JF usibishane nao, just ignore themKwani hapo wamesema wanawekeza kwenye nini? Sisi tunatetea sheria yetu ya Ulinzi wa Mali Asili za nchi ya mwaka 2017 inasema.
1. Mikataba yoyoteinayohusu Rasimali Asili za Taifa itakayosainiwa na serikali lazima ikaidhinishwe na Bunge.
Kipengere hiki kinaenda kinaondolewa automatic na Mkataba huu wetu na Dubai cos mkataba umetamka mikataba hiyo itakuwa ni siri, na ndiyo maana serikali inapeleka marekebisho Bungen mwezi 9 kifungu hicho kinaenda kueditiwa mikataba iishie kwenye Baraza la Mawaziri.
Historia ya uwepo wa kifungu hiki inatokana na mikataba ya madini iliyosainiwa huko nyuma mpaka kuja kufukuzana na Acacia Mining cos ilikuwa mikataba mibovu kwaiyo kipindi hiko ikaona iweke kipengere hicho ili umma ujie Viongozi wao wanafanya nini katika rasimali zao.
2. Sheria pia inasema migogoro yoyote inayohusu Rasimali asili za nchi itasuruhishwa katika mahakama zetu za ndani.
*Sheria inasema hivi alafu waliosaini mkataba wamesaini usuruhishi ufanyike Africa Kusini! Hii ni kinyume na sheria zetu na ndiyo maana umeona Mahakama inasema imekubaliana na walalamikaji juu mkataba huu kuvunja sheria zetu.
Kwaiyo tunaotetea, tunatetea kwa mujibu sheria yetu inavyotaka.
Huo mkataba wa Sweden na UAE wala haujaelekeza Kampuni fulani ndiyo inaenda huku tu! Na ndiyo mkataba wa ushirikiano kati ya nchi na nchi na ndiyo maana haujaweka eneo specific kama Bandari etc.
Ila we tu una maeneo specific kabisa na kampuni imetajwa kabisa, sasa jiulize tumesaini mkataba wa ushirikiano kati ya nchi na nchi au nchi na kampuni?
True, We are still at the base of an evolution tree!Nasikia sisi tuligoma kufanya evolution
Wenzetu wapo stage ya 6 sisi bado tupo stage ya pili
Exactly, mkataba ilibidi u abide by our national lws, kama hawataki hilo wangeli waacha. lakini kwa rushwa ndiyo mana wakasaini hili zimwiKwaiyo tunaotetea, tunatetea kwa mujibu sheria yetu inavyotaka.
Kwa hiyo katika akili yako, unaona wazi kabisa huu mkataba wetu ulitengenezwa ili ukarekebishwe?Mbona imefanana tu na huu. Japo umesema muda ni miaka 20 hata huu wetu hicho kinarekebishika kiufupi lugha ni ile ile na huu wet
Sure hapa ndipo umegonga penyewe. hauna mitego ya kijinga kuukandamiza upande mmoja!4. Huu hauna ma - complications ya kimitego tego kama vile instrument of full powers na Saini za ajabu ajabu. Huu wa jamaa hawa uko simple and clear na hauna vimitego vya ajabu ajabu vyenye viashiria vya hila na ulaghai..
Na wewe hili unaliona?Madhara yake yatakuwa makubwa kwa CCM, mwaka 2025 haitakuwa rahisi kwao kushinda uchaguzi mkuu. Huu ndiyo ukweli, ccm imeamua kujimaliza (committee suicide) yenyewe. Wahenga walisema ngoma ikilia sana hupasuka yenyewe. Hatupendi hili litokee.
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimami na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!Ninachosikitika atakama umesainiwa 1991 ila viwango vyake hatujavifikia sisi tuliosaini 2023 yaaani tuseme kwamba sie tuko nyuma sana kama mkataba huu unaweza tumika kucalculate calendar yetu basi tuko 1882
Kuna wengine wanapenda kupigwa kama wanawake wa kabila ambazo bila kupigwa anasema mume wangu hanipendi.Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!
Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!
Read! Erythrocyte
Shida imesemwa lugha na njaa tunaingia kwenye negotiate tukiwa omba ombaUkiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!
Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!
Read! Erythrocyte
Unashika nini??Mnacomment bila hata kuusoma msichotaka ni migogoro kwenda kusuluhishwa na third part na hapo mbona mkataba huu ulioleta tena wa mwaka 90 na wamesema wazi migogoro itaenda kushughlikiwa kwenye mahakama ya kimataifa nje ya sweden au emirati na wahusika kwenye hio mahakama ikiwemo wanatoka katika nchi hizi zinazoingia mkataba hawataruhusiwa kusuluhisha kwenye arbitration atateuliwa mwingine. Mbona imefanana tu na huu. Japo umesema muda ni miaka 20 hata huu wetu hicho kinarekebishika kiufupi lugha ni ile ile na huu wetu.
Halafu mahakama kuu Mbeya na akina Assad wanakuambia uko sawa kabisa[emoji35][emoji35][emoji35]Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!
Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!
Read! Erythrocyte
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!
Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!
Read! Erythrocyte
Nimeona haukusainiwa na Dubai, wa CCM umesainiwa na wahuniUkiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!
Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!
Read! Erythrocyte