Angalia mkataba wa Sweden na UAE ulivyotoa haki na wajibu kwa pande zote mbili. Ulinganishe na wa kwetu

Angalia mkataba wa Sweden na UAE ulivyotoa haki na wajibu kwa pande zote mbili. Ulinganishe na wa kwetu

Inawezekana Wazungu ni binadamu wa juu kabisa katika evolution.
 
Everybody knows that, lakini hiyo ni discretion yenu! Mnaweza kuamua iwe ndani ya host country, SI SHURUTI MUENDE NJE. Usichanganye mambo! Umesoma mkataba niliouweka hapo ?
Haya yote unayoandika ni kwa sababu mkataba huu wa DP World umeonekana hadharani.

Umeshawahi kuhangaika kutafuta IGA nyingine nyingi ambazo Tanzania imeingia na mataifa mengine na kuziona zilivyo?.
 
Haya yote unayoandika ni kwa sababu mkataba huu wa DP World umeonekana hadharani.

Umeshawahi kuhangaika kutafuta IGA nyingine nyingi ambazo Tanzania imeingia na mataifa mengine na kuziona zilivyo?.
what do you want to establish?
 
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!


Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!

Read! Erythrocyte
Mimi nimependa pale kwenye "Duration and termination" ni 20 years.Ila sisi wa kwatu ni mpaka Bahari na Maziwa vikauke!
 
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!


Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!

Read! Erythrocyte
Unazungumzia BIT ya Sweden na UAE ya 1999?? Jiulize kwa nini hawakufanya BIT?? Sio kama hawawezi wanajua sababu kwani BIT ni mikataba ya haki kwa pande zote mbili na hapa ni dhuluma kwa upande mmoja
 
Kwani mkuu si kelele nyingi vipengele hasa cha ukomo virekebishwe wenye mamlaka wasikivu wataboresha sawa watakuwekea ukomo miaka 20 au 30 ili amani uipate viongozi wetu wasikivu mkuu ikiwa hivyo si inakuwa salama mkuu au bado inakuwa hopeless. Maana msingi sio kutaja huo muda msingi kuwa na kukubaliana kuwa na mapitio kila baada ya muda ili mqmbo hayaendi mnaachana lakini mkuu wewe unataka tujicommit mpaka miaka ifike 20 au 30 wakati tukiweka mapitio ya kila miaka 4 au 5 inakuwa salama zaidi tumeshindwana tunachana kwa heri kabisa na tunashake hands.
Hapa ndipo professor wenu anaonekana hana akili, sasa kwenye IGA imeandikwa tayari mkataba hautovunjika kwa namna yoyote ile, alafu kwenye HGA uweke uvunjike, ukitokea mgongano kipi kinasikilizwa ?
 
Hapa ndipo professor wenu anaonekana hana akili, sasa kwenye IGA imeandikwa tayari mkataba hautovunjika kwa namna yoyote ile, alafu kwenye HGA uweke uvunjike, ukitokea mgongano kipi kinasikilizwa ?
Itakayosikilizwa ni IGA maana HGA inaongozwa na IGA. Ni sawa na kutunga sheria ambayo inakinzana na Katiba, sheria inakuwa batili
 
Everybody knows that, lakini hiyo ni discretion yenu! Mnaweza kuamua iwe ndani ya host country, SI SHURUTI MUENDE NJE. Usichanganye mambo! Umesoma mkataba niliouweka hapo ?
Huyu 'jamaa' 'Steven Joel Ntamusana' ni tapeli.
Kawekeza sana kwenye mkataba huu kiasi kwamba akili zimemruka kabisa kichwani.
Huyu atakuwa ni Hamza Johari mwenyewe, au kundi lile lile lililosimamia hujuma yote toka mwanzo hadi mwisho.

Ona sasa walivyomwingiza mama yao matatani!
Hawakutegemea kabisa kwamba uitikio wa watu kwenye swala hili ungefikia huku ulipo sasa.
 
Itakayosikilizwa ni IGA maana HGA inaongozwa na IGA. Ni sawa na kutunga sheria ambayo inakinzana na Katiba, sheria inakuwa batili
Ndo upopoma wa yule Propesa maana sio professor, alianza kuwatoa watu akili kumbe mwenyewe hamnazo
 
Kwa sababu serikali ya western Europa au Marekani haikuruhusu wewe kama raia wao kwenda kuwa tapeli nchi yeyote duniani kufanya hivyo utawajibika nchini kwako ndio sababu serikali nyingi zikaamua kuweka BIT ambayo inafuata Viena treaty ili wasilete manowari zao na kuvamia nchi inayofanya ushenzi
 
Tumeshindwa hata kupenyeza wawekezaji wetu wa mnyama mbuzi kupeleka nyama UAE bila kuelezea mazao mengine kama parachichi, matofali ya dhahabu, mawe ya almasi, mazao ya matunda n.k

ASAS na wafugaji wengine nao wangependa kutetea mazao ya nyama na mifugo hai kuuzwa UAE

 
Huyu 'jamaa' 'Steven Joel Ntamusana' ni tapeli.
Kawekeza sana kwenye mkataba huu kiasi kwamba akili zimemruka kabisa kichwani.
Huyu atakuwa ni Hamza Johari mwenyewe, au kundi lile lile lililosimamia hujuma yote toka mwanzo hadi mwisho.

Ona sasa walivyomwingiza mama yao matatani!
Hawakutegemea kabisa kwamba uitikio wa watu kwenye swala hili ungefikia huku ulipo sasa.
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Hamza ni mzalendo aliyerithiwa na awamu ya Samia baada ya kufanya kazi nzito na ya kizalendo ya kufufua sekta nzima ya anga kwa miaka mitano yote ya hayati JPM.

Huo unaodhani ni mwitikio wa watu ni uelewa kuwa mdogo wa masuala haya ya kisheria. Pole sana Kalamu kwani maumivu unayoyapata sio madogo.
 
kinachowasumbua watanzania hawajui kuisoma hiyo mikataba ya kizungu hivyo wametokea wanasiasa uchwara kuwadanganya kuwa mkataba unashida basi woote wasio na upeo wa kuelewa wamejuwa kweli wakati umefafanuiliwa kabisa na wataalamu kuwa hauna shida ni vikasoro vyavidogovidogo tu vya kurekebisha lakini hawaellewi wacha waendelee kupayuka lakini mkataba ni halali hauna shaida mwekezaji aendelee tuna hii ni sababu wachache wenye mirija yao ya kunyonya inaenda kuzibwa ndiyo maana wanapiga kelele
kweli mkuu nilimuona mtanzania mmoja jina lake sijui shjiv au jivShi? badala ya kuwatafuta akina mihambope wamfafanulie yeye akabaki anawasikiliza wanasiasa wamfafanulie.
 
Back
Top Bottom