Tusubiri tuoneKocha anampenda Max hawezi muweka benchi. Max anafanya kila kitu uwanjani tofauti na hao wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri tuoneKocha anampenda Max hawezi muweka benchi. Max anafanya kila kitu uwanjani tofauti na hao wengine
🤣😁😁Yanga wana Joyce lomalisa huku simba wana Debora
Lazima atakuwa ni KE. Kwani umeshamsahau Debora Mwenda!? 🥺Huyo debora ni he or she
Uyo debora ni mwanaume au mwanamke?Yanga
1.Diarra
2.Yao
3.Kibabage
4.Bacca
5.Job
6.Aucho
7.Nzengeli
8.Mudathir
9.Dube
10.Aziz Ki
11.Chama
Simba
1.Ayoub
2.Kapombe
3.Tshabalala
4.Chamou Karaboue
5.Che Malone
6.Debora Mavambo
7.Mutale
8.Augustine Okejepha
9.Steven Mukwala
10.Jean Charles Ahoua
11.Kibu Denga
😅😅😅
Huyu jamaa yupo kila eneeo uwanjani, kwenye ulinzi yupo na kwenye ushambuliaji yupo. Ni aina ya wachezaji wanaopendwa na Gamondi, wachezaji wanaofanya kazi zaidi ya moja uwanjani.Kocha anampenda Max hawezi muweka benchi. Max anafanya kila kitu uwanjani tofauti na hao wengine.
Ligi ianze, sisi Yanga yule my wetu tutampiga 7 ndani 7 nje 😂😂😂Yanga
1.Diarra
2.Yao
3.Kibabage
4.Bacca
5.Job
6.Aucho
7.Nzengeli
8.Mudathir
9.Dube
10.Aziz Ki
11.Chama
Simba
1.Ayoub
2.Kapombe
3.Tshabalala
4.Chamou Karaboue
5.Che Malone
6.Debora Mavambo
7.Mutale
8.Augustine Okejepha
9.Steven Mukwala
10.Jean Charles Ahoua
11.Kibu Denga
😅😅😅
Kikosi cha simba almost kina wachezaji wapya so nimapema ku judge kwa sasaYanga
1.Diarra
2.Yao
3.Kibabage
4.Bacca
5.Job
6.Aucho
7.Nzengeli
8.Mudathir
9.Dube
10.Aziz Ki
11.Chama
Simba
1.Ayoub
2.Kapombe
3.Tshabalala
4.Chamou Karaboue
5.Che Malone
6.Debora Mavambo
7.Mutale
8.Augustine Okejepha
9.Steven Mukwala
10.Jean Charles Ahoua
11.Kibu Denga
😅😅😅
Jamaa kasahau kumuweka kwenye first eleven ya Simba huyu.
Kwani joyce alikuwa she or he?Huyo debora ni he or she
Lomalisa aliishapigwa thank youYanga wana Joyce lomalisa huku simba wana Debora
Sawa mwasibuNimemshauri Tajiri asajili Uto kama Simba ya Wazee maveterani
Yanga
1.Diarra
2.Yao
3.Kibabage
4.Bacca
5.Job
6.Aucho
7.Nzengeli
8.Mudathir
9.Dube
10.Aziz Ki
11.Chama
Simba
1.Ayoub
2.Kapombe
3.Tshabalala
4.Chamou Karaboue
5.Che Malone
6.Debora Mavambo
7.Mutale
8.Augustine Okejepha
9.Steven Mukwala
10.Jean Charles Ahoua
11.Kibu Denga
Kuna watu wanaamini Simba ni mbovu kabla haijacheza. Ligi ianze.Nimemshauri Tajiri asajili Uto kama Simba ya Wazee maveterani
Jifariji tu kama vile unakula vile vidonge vya masaa dailyLigi ianze, sisi Yanga yule my wetu tutampiga 7 ndani 7 nje 😂😂😂