Angalia mwenyewe kosi la Yanga na kosi la Simba, utaamua mwenyewe uende uwanjani au upotezee

Angalia mwenyewe kosi la Yanga na kosi la Simba, utaamua mwenyewe uende uwanjani au upotezee

Yanga

1.Diarra
2.Yao
3.Kibabage
4.Bacca
5.Job
6.Aucho
7.Nzengeli
8.Mudathir
9.Dube
10.Aziz Ki
11.Chama

Simba

1.Ayoub
2.Kapombe
3.Tshabalala
4.Chamou Karaboue
5.Che Malone
6.Debora Mavambo
7.Mutale
8.Augustine Okejepha
9.Steven Mukwala
10.Jean Charles Ahoua
11.Kibu Denga

😅😅😅
Uyo debora ni mwanaume au mwanamke?
 
Kocha anampenda Max hawezi muweka benchi. Max anafanya kila kitu uwanjani tofauti na hao wengine.
Huyu jamaa yupo kila eneeo uwanjani, kwenye ulinzi yupo na kwenye ushambuliaji yupo. Ni aina ya wachezaji wanaopendwa na Gamondi, wachezaji wanaofanya kazi zaidi ya moja uwanjani.
 
Yanga

1.Diarra
2.Yao
3.Kibabage
4.Bacca
5.Job
6.Aucho
7.Nzengeli
8.Mudathir
9.Dube
10.Aziz Ki
11.Chama

Simba

1.Ayoub
2.Kapombe
3.Tshabalala
4.Chamou Karaboue
5.Che Malone
6.Debora Mavambo
7.Mutale
8.Augustine Okejepha
9.Steven Mukwala
10.Jean Charles Ahoua
11.Kibu Denga

😅😅😅
Ligi ianze, sisi Yanga yule my wetu tutampiga 7 ndani 7 nje 😂😂😂
 
Yanga

1.Diarra
2.Yao
3.Kibabage
4.Bacca
5.Job
6.Aucho
7.Nzengeli
8.Mudathir
9.Dube
10.Aziz Ki
11.Chama

Simba

1.Ayoub
2.Kapombe
3.Tshabalala
4.Chamou Karaboue
5.Che Malone
6.Debora Mavambo
7.Mutale
8.Augustine Okejepha
9.Steven Mukwala
10.Jean Charles Ahoua
11.Kibu Denga

😅😅😅
Kikosi cha simba almost kina wachezaji wapya so nimapema ku judge kwa sasa
 
Yanga

1.Diarra
2.Yao
3.Kibabage
4.Bacca
5.Job
6.Aucho
7.Nzengeli
8.Mudathir
9.Dube
10.Aziz Ki
11.Chama

Simba

1.Ayoub
2.Kapombe
3.Tshabalala
4.Chamou Karaboue
5.Che Malone
6.Debora Mavambo
7.Mutale
8.Augustine Okejepha
9.Steven Mukwala
10.Jean Charles Ahoua
11.Kibu Denga
 
Hicho kikosi cha Simba labda wakashiriki Umiseta na umitashumta. Msimu huu utakuwa mgumu sana kwao wataponea lile kombe la kupewa
 
Back
Top Bottom