Single_Father
JF-Expert Member
- Jan 23, 2025
- 281
- 438
Lucas Ndio nani?Hiyo picha lucas alishatolea maoni yake siku nyingi.
Mods unganisheni hizi nyuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas Ndio nani?Hiyo picha lucas alishatolea maoni yake siku nyingi.
Mods unganisheni hizi nyuzi.
Mwamba fulani hiviLucas Ndio nani?
Wachawi walishakufa .
Amemfanyia nani?.Dikteta ni mmoja tu, Antipasi
Ni mchawi auMwamba fulani hivi
Huyo mwenye miwani anayefuata baada ya Wassira ni nani?
Kweli Wazuri hawafi
Mwamba hivi elewaNi mchawi au
Rais wa awamu ya Saba baada ya uchaguzi mkuu 2025 ni Tundu Antipas Lissu.Kuna baadhi ya mambo hayatokei kwa bahati mbaya, hupangwa.
Pichani kuna rais wa awamu ya nne, sita na saba🤔
Jpm was a disaster. Tunamshukuru Mungu kuondoa ile takataka
Aliitolea maoni huku akibubujikwa na machozi ya furahaHiyo picha lucas alishatolea maoni yake siku nyingi.
Mods unganisheni hizi nyuzi.
Hata Agrey saiv ni mwamba funguka mzeeMwamba hivi elewa
Matapeli wa kisiasa wamekutana kupeana mshiko....
Ni Mwamba wa kusifu na kuabuduHata Agrey saiv ni mwamba funguka mzee
Na sasa imemfanya Samia ajipitishe kugombea urais tofauti na matakwa ya kikatibaWakati wa awamu ya Kikwete Demokrasia ilistawi sana katika Taifa letu.
Angekuwa anasinsizia Ikulu huku wajanja wanapiga dili😆😆
Hapo aliboa sana, wangemruhusu Luhaga Mpina na wengine wachukue fomu ili wamchallenge Samia.Na sasa imemfanya Samia ajipitishe kugombea urais tofauti na matakwa ya kikatiba