Angalia sifa zangu hizi kama una kazi naiomba

Angalia sifa zangu hizi kama una kazi naiomba

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
1,143
Reaction score
2,475
  • Elimu ni shahada ya kwanza ya sayansi ya siasa na utawala wa umma.
  • Nimefanya kazi sekta binafsi shuleni, kampuni, shirika lisilo la kiserikali
  • Huko nimepata uzoefu wa kazi mbalimbali kama ifuatavyo.
  • Naweza kuandaa na kuandika project proposal
  • Kuandika business plan/proposal
  • Kuandaa na kuandika project profile
  • Kuandika Company profile
  • Matumizi mazuri ya vifaa vya kazi kama computer, printer, photocopy machine.
  • Customer care
  • Kuandaa na kuandika reports
  • Administration issues

    KAZI ZINGINE NAZOFANYA BINAFSI

    * Kuandika na kuandaa makala za dini, michezo nk.
  • Kusajiria watu jina biashara BRELA
  • Kusajilia watu kampuni
  • Shughuri zote za kiserikali mtandaoni kama za BRELA, RITA, HESLB, TANESCO nk.
  • Kufundisha baadhi ya masomo ya arts.
Hizi ni kazi ninazozifanya binafsi ili kujiongezea kipato.

Mtu anaweza sema why nisifungue ofisi jibu sina vitendea kazi natumiaga vya ofisini. Nimepiga hesabu ili kupata vitendea kazi natakiwa kuwa na shs 2.5
 
Nikikuajiri wewe nafukuza wafanyakazi watatu halafu nakulipa mshahara wa mfanyakazi mmoja. Aiseeee bahati ndio hii kilio kwa wenzako more money mfukoni mwangu [emoji16]



Kukuuuu [emoji239][emoji239][emoji239]
 
Akipatikana mwenye mtaji kiasi gani mnaweza fanya kitu pamoja?
Kwanza natakiwa nijue unataka kufanya nn au kufungua ofisi ya kitu gani?
Maana we si umeona sifa zangu mkuu nadhan ni lazma utakuwa umeshajua unaweza kufungua ofisi ya aina gani ili tufanye kazi.

Pili eneo ulilopo umeona linafaa kufanya hicho unachotaka tufanye? Kama linafaa mi kazi yangu ni kuwa mtendaji zaidi ili tusonge mbele.

Kuhusu mtaji mkuu inategemea sasa unaweka nini na nini kwenye ofisi.

Bila hivi kukosekana printer ( epson ) nzuri inaanzia laki 5.5 hii ina uwezo wa ku scan, copy, print mpk photos.
PC bei znaeleweka used au new.......!

NB: ukinipa wazo lako hapo ndipo naweza kukushauri vema namna ya ku conquer.
Thanks.

Your welcome.💪
 
Kwa nini usifikirie kujiajiri?
Naungana nawe tayari nimeshasajiri jina la biashara kwaajili ya kazi ya hayo mambo....
Bt vitu ninavyohitaji ili kujiajiri rasmi pesa hiyo ndo sina naitafuta na source ya kuitafuta ni kufanya kazi kwa mtu.

Unaweza uliza si nafanya kazi kweli nimeajiriwa bt majukumu pia ninayo salary haitoshi.
Bt nalifanyia kazi hilo mwamba.
 
WAKUU BADO SIJAPATA KAZI NA NAENDELEA KUPAMBANA KAMA IPO TUJUZANE 0629945110 Au 0748628429.
 
Sasa unataka ukamtawale nani halafu wewe ni ccm au chadema
 
Sasa unataka ukamtawale nani halafu wewe ni ccm au chadema
vita zingne kutokupgana kwako ndiyo ushindi wako kuliko ungepigana maana adui anakutega upgane akijua fika ni mtego utakaokuangamiza....!
 
Back
Top Bottom