mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,571
- 3,448
Siyo kweli, hiyo imepigwa Magharibi ya mlima Kilimanjaro
Acha ubishi kijana. Hiyo picha imepigwa mbuga ya Amboseli nchini kenya.
Ndo sehemu pekee mlima Kilimanjaro unakuwa na muonekano mzuri kama huo.
Hao wanyama hapo ni Amboseli.