Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Kanyoka chetu cha mchongo na bapo unaambiwa kametumia umeme wa 1.2M😂hayo machatu ni bullet mkuu, ya mwendo hatar ya chini kabisa itakuwa over 200km/h, kinyoka chetu kinaenda 80km/h
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanyoka chetu cha mchongo na bapo unaambiwa kametumia umeme wa 1.2M😂hayo machatu ni bullet mkuu, ya mwendo hatar ya chini kabisa itakuwa over 200km/h, kinyoka chetu kinaenda 80km/h
Watu wapo 2B+, sisi tupo 60M+. Ya nini hayo yote??Duuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea🤡
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
Tatizo sisi hata mwendokasi tu imetushinda buda......Unaongelea nchi yenye 1.42+ billion people, ushawahi jiuliza wako bize kiasi gani..?? Ushawah jiuliza muingiliano wa majiji yao (ingia toka) upo bize kiasi gani..??
Ukipata jibu ndio utajua kwanini wanamiliki madude yote hayo
Kanyoka chetu cha mchongo na bapo unaambiwa kametumia umeme wa 1.2M
Hakuna nchi yenye watu bilion 2 acha wenge.Watu wapo 2B+, sisi tupo 60M+. Ya nini hayo yote??
Acha hoja za kijingajinga sana.
Mamaaaeeee daaahSisi kikija kichwa kinaombewa mapepo
Duuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea
Swali zuri ingekuwa zinaibwa ngapi kila mwaka??? Kila ripoti ya CAG ikitoka ni wizi tu umejaa, so hata kodi zitolewe kiasi gani na tobo la wizi litatanuka tu so wadhibiti ubadhirifu wa kilichopo tuone tutafika wapiWatz tunatakiwa pia tunapolaum kila mtu ajiulize kwa mwaka amelipa kodi SHS ngapi. Hiv vitu vinahtaji hela kuvimiliki so ukiangalia kias cha kodi unacholipa ndio unaweza kuwa na sababu ya kulaumu
Hivi hadi leo bado mnahusianisha idadi ya watu na maendeleo ya nchi, America wako around 300M na Nigeria wako around 200M, je kiwango cha maendeleo yao kinafananaWatu wapo 2B+, sisi tupo 60M+. Ya nini hayo yote??
Acha hoja za kijingajinga sana.
Kwahiyo kujua GDP ya China ndio hatimiliki ya sisi kujiona tuko sawa kumiliki treni moja la umeme.? Panua akili yako boy, je tunastahili kuwa na GDP tuliyonayo baada ya miaka yote hii tangia tupate uhuru? How many countries were they at per with Tanzania in 1970's but now they are very far and the gap of development can't be fixed? Tanzania been and always will be lagging behind them sheinzyyyy.......Unajua GDP ya China?
Yaani ulipe kodi kwa nchi ambayo wezi na wabadhilifu wa mali za umma wanaishia kuambiwa "stupid" na Mh Rais? China wezi wananyongwa na kesi haizidi mwezi mmoja.Watz tunatakiwa pia tunapolaum kila mtu ajiulize kwa mwaka amelipa kodi SHS ngapi. Hiv vitu vinahtaji hela kuvimiliki so ukiangalia kias cha kodi unacholipa ndio unaweza kuwa na sababu ya kulaumu