Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

Nimekuorodheshea vitu vingi kule juu. Kuna biashara ya online ya bilions ya hela na watu wanapata hela lakin hawalipi kodi. Kuna watu wanalima na wanapiga hela na hawalipi kodi kuna watu wanafuga na wanapiga hela wengi hawalipi kodi. Nachosema tabia zetu watz hatupend kulipa kodi lakin tunapenda kujilinganisha na maendeleo ya wenzetu ambao raia wao by nature wanapenda kulipa kodi wenyewe bila kuambiwa. Kama tunataka kuwa kama wenzetu lazima tujishughulishe na tupende wenyewe kulipa kodi. Ukilipa Kodi kwa wingi mnaweza kuwa na uchungu kwa wingi pindi zikipigwa so that mtaandamna kudai hela yenu.
Ulipe kodi afu madilu aitumie kununua ihefu, nani anataka ujinga huo.
 
Mwingereza wapi Mkuu? Mjerumani ndiyo alikuwa balaa, alitunyoosha kwelikweli akatufudisha kazi... Si unaona reli ya kati Dar-Kigoma bado inapiga kazi na ilijengwa na Mjerumani...
Halafu nikifikiria tunatamba na kuwa na zaidi ya miaka 60 ya uhuru dah. Bora muingereza angeendelea kututawala tu, tuliitaka nchi katika kipindi ambacho bado hatujajua nini maana ya kujiongoza katika dhima nzima ya MAENDELEO
 
Halafu nikifikiria tunatamba na kuwa na zaidi ya miaka 60 ya uhuru dah. Bora muingereza angeendelea kututawala tu, tuliitaka nchi katika kipindi ambacho bado hatujajua nini maana ya kujiongoza katika dhima nzima ya MAENDELEO
Baba yako kama ana miaka zaidi ya 60 amefanya kipi cha maana ,je ni bilionea?tafakari,sikujui so dont take it personal ila
 
Hapo machatu yamelala baada ya mihangaiko ya siku nzima.

Daah hawa macho madogo shikamoo.

Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitini[emoji1782][emoji41]
Unajua GDP yao? China sio nchi sahihi ya kujilinganisha nayo,
 
Halafu nikifikiria tunatamba na kuwa na zaidi ya miaka 60 ya uhuru dah. Bora muingereza angeendelea kututawala tu, tuliitaka nchi katika kipindi ambacho bado hatujajua nini maana ya kujiongoza katika dhima nzima ya MAENDELEO
Unajua GDP ya China?
 
Hapo machatu yamelala baada ya mihangaiko ya siku nzima.

Daah hawa macho madogo shikamoo.

Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitini🤡😎
Hiyo siasa usije iamini tena,china wametupa silaha mwaka 60 na zinatumika mpaka leo.

Inawezekana kabisa hakukuwa na data sahihi za uchumi kuwahusu.
 
Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitini
Wachina kilichowasaidia kuendelea haraka ni kwa kuwa ukipatikana umeiba mali ya umma kesho yake unanyongwa.

Siyo Tanzania wengi wao ni wezi, so hakuna wa kukemea ufisadi
 
Hatutoi jibu unalotaka tunatoa jibu lenye uhalisia. Wabongo hawatoi kodi.
Hakuna mwanadamu anayependa kulipa kodi

Hata nchi zilizoendelea kuna ukwepaji wa kulipa kodi

Rejea kesi mbalimbali za watu mashuhuri ambao tumeona wakipelekwa mahakamani kwa sabau ya kukwepa kulipa kodi au kudanganya. Hao tumewafahamu kwa sababu tu ni maarufu

Serikali za wenzetu wana sheria kali inapohusu ukwepaji wa kodi, hawaangalii ni mtu mashuhuri, kiongozi au mfanyabiashara mkubwa.

Uzuri wenzetu wanapozikusanya kodi wanazitumia vizuri hadi wewe third world country wanakupa misaada

Huku wa kulaumiwa ni waliopewa dhamana ya kukusanya kodi wakipewa kitu kidogo wanakubali kupindisha ukweli, wanaogopa kukusanya kodi kwa wafanyabiashara wakubwa na biashara za viongozi.

Lakini pia huku kwetu kinachokusanywa bado tena kinaibwa na mafisadi na kinatumiwa hovyohovyo mfano manunuzi ya mashangingi. Hata ripoti za CAG huwa zinaonyesha wazi hilo
 
Chinese 600km/h maglev train went in industrial production now!

Kunming-Lijiang high speed railway may be the first line using this new fast train!

Let's imagine that going from Kunming to Lijiang costs less than 40 mins! (now the drive takes 6 hours.)

Distance from Kumning to Lijiang is 631 km

20240424_170837.png
 
Duuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea🤡

Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
Hatua bilioni moja, huanzia na moja.

Chetu kidogo lakini ndo tunasogea hivyo.. Ipo siku kuna nchi watatutumia kama mfano wa kuigwa endapo tutadhamiria kubadilika kama nchi tukianzia kwenye Katiba na mifumo yetu ya Elimu, Utawala na uchumi
 
Back
Top Bottom