Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu akifika kwenye mkutano anapanda punda. Hawa tunawaendekeza sisi
Inasikitisha sana mkuuHalafu akifika kwenye mkutano anapanda punda. Hawa tunawaendekeza sisi
Zinachezewa kweli lakin ukiangalia kwa mwaka ni walipa kodi wangapi wameongezeka utakuja kukuta ni wale wale miaka yote. So watu wengi hawalipi kodi kabisa na hata wachache wanakwepa huo ndio ukweli mkuu. Tungekuwa hata tunalipa kodi watu milion 20 nchi ingekuwa mbali sasa unakuta wanalipa only Milion 5 miaka yote.
Labda alikuwepo maana jopo la waonbeaji huwa linaandaliwa haswa. Mpaka viongozi wa Hinduššššhivi Mwampo alikuwepo au alikuwa kuhani?
Huu ujinga umeuleta huku??Kweli tulikuwa nao sawa kama unabisha tazama herufi zilizomo kati ya V na M katika keyboard yako
Hata wanyama afadhaliSisi tuna maisha yetu ya ajabu ajabu
Unaongelea mjusi kama mjusi au mjusi yule mwingine?Twajivunia mjusi wetuš„“
Unamaanisha kodi ipi?Zinachezewa kweli lakin ukiangalia kwa mwaka ni walipa kodi wangapi wameongezeka utakuja kukuta ni wale wale miaka yote. So watu wengi hawalipi kodi kabisa na hata wachache wanakwepa huo ndio ukweli mkuu. Tungekuwa hata tunalipa kodi watu milion 20 nchi ingekuwa mbali sasa unakuta wanalipa only Milion 5 miaka yote.
Viongozi wanapenda kuhutubia. Mi ningekuwa Majaliwa ningeonekana hadharani mara moja kwa mweziMaombi ya kitaifa.
Mara hafla ya upokeaji kichwa cha nyoka kweli tunapenda sana visherehe shereheš
Umemjibu vizuri, kama tuna makusanyo ya 3trillion tunashindwaje kuwa na maendeleo? Huko ndio zinakoenda.
Inasikitisha sana halafu mwisho wa siku tunahangaika na mikopo kutoka nchi wahisani, IMF na WBUmemjibu vizuri, kama tuna makusanyo ya 3trillion tunashindwaje kuwa na maendeleo? Huko ndio zinakoenda.
Heri mimi nna nyoka wangu mwenyeweDuuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombeaš¤”
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
Watanzania tu wajinga wa kutupwa.Duuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombeaš¤”
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
Mzee nimekutolea mfano mdogo. Hii nchi watu wanaolipa kodi hawazid milion 6 kati ya watu milion 60. Na ni kodi zote. Hazilipwi. na wale wanaolipa hawalipi kikamilifu na wenyewe wanakwepa na hao wanaokusanya na wenyewe wanapiga so hii nchi maendeleo tutayaona kwa wenzetu tu. Labda mmoja mmoja uendelee. Wenzetu wanadisplin ya kulipa kodi na wanajua wao ndio wanajukum la kujiendeleza nchi yao. Niliwah kumgonda demu mmoja katika nchi za Scandinavia hela niliyompa alienda kulipia kodi. So unaona kabisa huyu akiandamana anadai alichotoa. Sasa hapa watu hawajui serikali ni mtoto yatima anaetakiwa kulishwa muda wote ili anenepe kila mtu anafikiri serikali inazalisha hela.Unamaanisha kodi ipi?
Corporation taxes au VAT?
Hata wao walianza na kimojaDuuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombeaš¤”
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
kbla haujailinganisha nchi yako na china,jilinganishe kwanza wewe na MOHAMED DEWJ!!Sisi hata teknolojia ya kufua vyuma vyetu mpaka leo hola halafu tulikuwa nao sawa hawa macho madogo kweli ilikuwa chai ileš
Labda hizo unazoelezea ni "direct taxation" ukweli ni kuwa hakuna Mtanzania asiyelipa kodi "indirectly".Mzee nimekutolea mfano mdogo. Hii nchi watu wanaolipa kodi hawazid milion 6 kati ya watu milion 60. Na ni kodi zote. Hazilipwi. na wale wanaolipa hawalipi kikamilifu na wenyewe wanakwepa na hao wanaokusanya na wenyewe wanapiga so hii nchi maendeleo tutayaona kwa wenzetu tu. Labda mmoja mmoja uendelee. Wenzetu wanadisplin ya kulipa kodi na wanajua wao ndio wanajukum la kujiendeleza nchi yao. Niliwah kumgonda demu mmoja katika nchi za Scandinavia hela niliyompa alienda kulipia kodi. So unaona kabisa huyu akiandamana anadai alichotoa. Sasa hapa watu hawajui serikali ni mtoto yatima anaetakiwa kulishwa muda wote ili anenepe kila mtu anafikiri serikali inazalisha hela.