CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
lakini nafikiri Prisca yeye hachambui ni kama ana control kipindi na kutoa nafasi kwa wengien kuchambua ni kama Tunu pale EfmHuwa anakurupuka sana kuongea vitu ambavyo havijui siku hizi ukijua tu position za wachezaji uwanjani unakuwa mchambuzi kama yule Prisca anajua zaidi ya kundandia vitu kwa juu, na sio yeye tu wapo wengi sana wamejificha kwenye kichaka cha wachambuzi.
Tunu amemzidi Prisca kwa mbali, prisica yupo pale kupromot akaunti yake ya Instagramlakini nafikiri Prisca yeye hachambui ni kama ana control kipindi na kutoa nafasi kwa wengien kuchambua ni kama Tunu pale Efm
umenikumbusha huyu mwamba. 😍Dr leakey
Huyu priva ni hovyo Sana....hakuna mchambuzi pale Kuna mchafuzi....mchambuzi hii nchi alikuwa mwalimu kashasha basi,,mwingine aliebaki ni Dr leakey
Makolo bhana.Sasa embu jitafakari basi, angalia jinsi ulivyo report hii habari ya simba kuingia mkataba wa ndani na Atcl halafu post nyingine unashangaa mkataba umekuwaje tena mkataba hauitimiizii simba kwenda Botswana, hujui kwamba Botswan siyo ndani ya nchi hii?
Edo hamna kitu hapo.George Ambangile na Edo kumwembe ndo Wachambuzi.
Tuwape wahaya[emoji23][emoji23]Hivi huyo priva ni mchaga wa wapi taahira hivyo.,,!?!!