Safari za nje zinawasumbua? Wanacheza jumapili Jumatatu usiku wanaondoka Jumanne tarehe 19 wanapumzika, unataka tarehe 20 wacheze na polisiKwanza changamoto za usafiri wa ndege huwa ni kwa safari za nje ya nchi ambako shirika halina ndege inayoenda katika nchi hiyo,
Na usafiri wa ndege kwa ndani ya nchi hakuna changamoto ya namna hiyo kwasababu nowdays ndege zinatua katika viwanja vingi huko mikoani
Kwa kutambua changamoto hiyo timu ya simba kwanini iliingia mkataba na ATCL kwa safari za ndani ambazo hakuna changamoto na kuziacha safari za nje zenye changamoto kibao
Mtu mwenye akili timamu ninahoji kuna umuhimu gani wa simba kuingia mkataba huo na ATCL na wakati safari za nje zinawasumbua?
Usafiri wa ndege sio kama mabus mkuu, Game inaisha tar 17, hiyo jioni wanapanda ndege na kabla hapajakucha wanakuwa wamefika Tz, Tar 18,19 na Tar 20 wanacheza mechi yao na PolisiSafari za nje zinawasumbua? Wanacheza jumapili Jumatatu usiku wanaondoka Jumanne tarehe 19 wanapumzika, unataka tarehe 20 wacheze na polisi
Sahihi Mkuu,Privaldinho sio Mchambuzi wa mpira wala sio Mwandishi ni tatizo la vijana kukosa ajira..Hao vijana wamekosa ajira ndio maana wako kwenye hayo mambo wanayoyaita uchambuz
Wa MASHATI ROMBO!![emoji23][emoji23]Hivi huyo priva ni mchaga wa wapi taahira hivyo.,,!?!!
Taarifa ya kwanza inasema simba wameingia mkataba na air tz kwa safari za ndani ya nchi wakati taarifa ya pili inashangaa kwanini simba hawatumii air tz kwenda botwasana kwa ndege ya atcl ilhali wana mkataba naoSijaona ubaya wa izo taarifa
Na kuna yule Boya wa"What a game?"Jamaa ana ujuaji fulani wa kibwege sana hata kakiongea anang'ata ulimi na kurembaremba accent sijui ili a sound kama wazungu, unatuabisha wachaga wewe, sijasahau uliposababisha beef kubwa kati ya Magori na Efm baada ya Magori kuchanganya madesa na kudhani sport Hq ndiyo waliyotangaza habari kwamba simba imeshindwa kulipa mishahara miezi 2 kumbe ni wewe uliandika upupu kwenya gazeti huko sijui dimba lile
Sasa embu jitafakari basi, angalia jinsi ulivyo report hii habari ya simba kuingia mkataba wa ndani na Atcl halafu post nyingine unashangaa mkataba umekuwaje tena mkataba hauitimiizii simba kwenda Botswana, hujui kwamba Botswan siyo ndani ya nchi hii?
View attachment 1973913
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya connection hayo... Kuna siku alisema ana mawasiliano na mawakala wote Wa wachezaji ulaya
Nasikia wengi wao wanatoa Tigo ndo wanapata kazi. Mjini pagumu bandugu.Mambo ya connection hayo... Kuna siku alisema ana mawasiliano na mawakala wote Wa wachezaji ulaya
Hizo za ndege kwa hapa Africa ni changamoto ,unaweza ukakuta wakitoka Botswana transit ni mpaka EthiopiaUsafiri wa ndege sio kama mabus mkuu, Game inaisha tar 17, hiyo jioni wanapanda ndege na kabla hapajakucha wanakuwa wamefika Tz, Tar 18,19 na Tar 20 wanacheza mechi yao na Polisi
Rejea Safari ya Taifa Stars kutoka Benin na Yanga kutoka Nigeria ambao walikodi ndege za Air tanzania
Yule wa Mambo 10?Na kuna yule Boya wa"What a game?"
"What a goal?","What a match?"....sijui anaitwa nani.
Yaani anajikutaga wa mbele kinyama.
Hakuna anayemuonea Wivu ,Tatizo jamaa ni Mbabaishaji sana Mjanja mjanja tu..Jamaa yupo vizuri tu acheni wivu wa kijinga