Angalia ujinga wa Priva wa Sports Xtra ya Clouds FM

Kale Kamtu nikapumbavu Kweli kweli
Kanapenda Kujiona Kapo juu kajuaji
na Misifa ya kujiona ndio Kenye Data za ndani kumbe Ugolo tu
Bwana Priva najua upo humu umemsikia zuwena Anachosema?......
Ukiona hadi mwana dada amekuona wewe si chochote kwenye mpira, Jitafakari.
Bwana priva jitafakari sana.
 
Hizo za ndege kwa hapa Africa ni changamoto ,unaweza ukakuta wakitoka Botswana transit ni mpaka Ethiopia
Ndege yako mwenyewe uliokodi haina transit mkuu, hiyo huwa inatokea kwa mfano usafiri wa hapa kwenda Congo kwa kipindi cha nyuma kulikuwa hakuna mpaka hapo juzi shirika lilipo ongeza route ya Kinshasa

Kwahyo ilikuwa lazima uende kwanza hadi Ethiopia ndio upate ndege ya kwenda congo

Ila ukiwa na ndege yako na hauna mpango wa kupitia sehemu basi hapo ni moja kwa moja
 
Mimi huwa nawasikiliza tu nasema hawa mafamba kama sio connection hawapati kazi hata kwenye redio/tv ya kijijini.

Yani washamba hawajui kitu kabisa yani.
 
Hakuna Tasnia Nchi hii yenye watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria na kupambanua Mambo Kama taaluma ya habari. Siku tuliokubaliana kuwa waliokosa pakwenda ndio wakasomee habari, siku tuliyoamua watu wafanye kazi ya habari Kama part time. Ndizo siku tuliharbu kila kitu.
 
Yanga ilienda na ATCL Nigeria, Simba inashindwaje kwenda Botswana?
 
Tatizo priva hana msimamo
Msikilize mwanzo mwisho akiongea lazima atoe boko ,halafu ni mtu wa kuruka na tetesi na kuongeza chumvi ni sawa kuongelea tetesi lakini tatizo nyingi anazosema huwa inakuwa si kama ilivyo yeye anakurupuka tu,halafu sometimes hata wenzake kama wanaingilia maongezi ili asirukie ambacho Hana uhakika but utakuta anakazania
 
Sema now kila mtandao unamwandama
Daaaah
 
Mimi Ni yanga lakini lazima waandishi waelewe kuwa safari za ndege Africa zinasumbua Flight za ndege za kiafrica zinasumbua Sana we unaenda Botswana kwa kupitia South Africa?
 
Kumbe issue zenu za kikabila
 
GENTAAAAAAAAA!
Njoo huku uwaone waandishi wa habari wa siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…