UDOM Inatoa wanafunzi majuha sana kama huyo chaliii.
Ni
Ni shoga analiwa namjua nje ndani na kule kwao Moshi Ni jirani kabisa na kwa Bibi yangu !! Inasemekana ashafumuliwa Malinda!!
Uto walienda ijumaa usiku wakfika alfajiri Jmosi, mechi akachezwa jioni ya siku hiyo hiyo ya jmos. usiku wakarudi yaani hawakuwa na cha kupoteza.Yanga ilienda na ATCL Nigeria, Simba inashindwaje kwend
Uchambuzi ni nini?/ kwaniDr leakey sio mchambuzi huyo mwana historia ukitoa kujua historia za timu na wachezaji hakuna jipya kwake.
Wachezaji wa polisi wameshapokea fungu toka kwa yule Mwarabu mkwepa kodi mwandamizi ili wawaumize wachezaji wa Simba kabla ya mechi ya marudiano, tumestuka.Usafiri wa ndege sio kama mabus mkuu, Game inaisha tar 17, hiyo jioni wanapanda ndege na kabla hapajakucha wanakuwa wamefika Tz, Tar 18,19 na Tar 20 wanacheza mechi yao na Polisi
Rejea Safari ya Taifa Stars kutoka Benin na Yanga kutoka Nigeria ambao walikodi ndege za Air tanzania
Una maana hawa vilaza hawana tofauti na wale wazee wa PGO?Hakuna Tasnia Nchi hii yenye watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria na kupambanua Mambo Kama taaluma ya habari. Siku tuliokubaliana kuwa waliokosa pakwenda ndio wakasomee habari, siku tuliyoamua watu wafanye kazi ya habari Kama part time. Ndizo siku tuliharbu kila kitu.
na wamelalamika kweli wakati wana game jingine tarehe 24, fungu la kucheza kung fu limeyeyuka maana walitakiwa siku hiyo watengue viuno wachezaji wa simba kama 7 hiviWachezaji wa polisi wameshapokea fungu toka kwa yule Mwarabu mkwepa kodi mwandamizi ili wawaumize wachezaji wa Simba kabla ya mechi ya marudiano, tumestuka.
Mimi kura yangu ni kwa Edo. Ni mchambuzi ambae kwanza hatumii nguvu sanaaa kufanya kazi yake,utani kidogo na jamaa anajua sana kuandika.George Ambangile na Edo kumwembe ndo Wachambuzi.
Kabisa. Mama mmoja, baba mmoja.Una maana hawa vilaza hawana tofauti na wale wazee wa PGO?
Aya sawaWachezaji wa polisi wameshapokea fungu toka kwa yule Mwarabu mkwepa kodi mwandamizi ili wawaumize wachezaji wa Simba kabla ya mechi ya marudiano, tumestuka.
Strory teller.....sio mchambuzi.Mimi kura yangu ni kwa Edo. Ni mchambuzi ambae kwanza hatumii nguvu sanaaa kufanya kazi yake,utani kidogo na jamaa anajua sana kuandika.
Edgar Kibwana muitalianoNa kuna yule Boya wa"What a game?"
"What a goal?","What a match?"....sijui anaitwa nani.
Yaani anajikutaga wa mbele kinyama.
Siyo Ali Kamwe,yeye yupo Clouds,mjinga mmoja tu....jina simkumbuki.Yule wa Mambo 10?
Kama ni Ally Kamwe siyo mbaya kama huyo Priva
Nadhani ni huyu!!Edgar Kibwana muitaliano
Anaongeaga kwa tambo sanaNadhani ni huyu!!
Huyu jamaa ananikeraga sana na hizo"What a mech?",yaani mtu anaeza dhani ana kitu kichwani.
Sent using Jamii Forums mobile app