Angalia umri wa afisa mpya wa mawasiliano/habari wa ikulu ya Marekani (White House) pamoja na elimu yake! Njoo bongo!

Angalia umri wa afisa mpya wa mawasiliano/habari wa ikulu ya Marekani (White House) pamoja na elimu yake! Njoo bongo!

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
1,838
Reaction score
7,346
Trump amemchagua afisa habari wa ikulu ya Marekani kwa muhula mpya unaokuja. Ni afisa kijana na siyo mara ya kwanza kwa nafasi yake!

Angalia umri wake pamoja na elimu yake, hatishi sana kielimu (mtazamo finyu wa watanzania). Unahisi nini kimembeba??

Pamoja na uzoefu wake akiwa ikulu plus 'connection',bila shaka uwezo wake ni mkubwa!

Chukua umri wake kwa kijana wa kitanzania plus hiyo elimu kisha lete mtazamo wako! Nafikiri wenzetu wanaangalia uwezo kwanza kisha connection!

Trump nominates youngest press secretary in US history​


At just 27 years old, Leavitt will make history as the youngest person to hold the position.

Trump nominates youngest press secretary in US history



Nb: Ni mtazamo tu!
 
Trump amemchagua afisa habari wa ikulu ya Marekani kwa muhula mpya unaokuja. Ni afisa kijana na siyo mara ya kwanza kwa nafasi yake!

Angalia umri wake pamoja na elimu yake, hatishi sana kielimu (mtazamo finyu wa watanzania). Unahisi nini kimembeba??

Pamoja na uzoefu wake akiwa ikulu plus 'connection',bila shaka uwezo wake ni mkubwa!

Chukua umri wake kwa kijana wa kitanzania plus hiyo elimu kisha lete mtazamo wako! Nafikiri wenzetu wanaangalia uwezo kwanza kisha connection!

Trump nominates youngest press secretary in US history​


At just 27 years old, Leavitt will make history as the youngest person to hold the position.

Trump nominates youngest press secretary in US history



Nb: Ni mtazamo tu!
Trump hajali umri wala elimu, anajali kupanga chawa wake tu.
 
Unajua nchi za wenzetu hawaangalie elimu uliyo nayo kama nchi za Africa Cha muhimu wanaangalia uwezo wako una kitu Gani ulichonazo talent yako ni nini unaweza kufanya nini elimu ya Africa kwanza hawaiamini Mimi Kuna ndugu yangu Yuko america alisoma bongo maswala ya udaktari alivyokwenda kule kuwaonyesha chet hawakukiamini ikabidi asome tena kule upya kwenye shule zao
 
Trump amemchagua afisa habari wa ikulu ya Marekani kwa muhula mpya unaokuja. Ni afisa kijana na siyo mara ya kwanza kwa nafasi yake!

Angalia umri wake pamoja na elimu yake, hatishi sana kielimu (mtazamo finyu wa watanzania). Unahisi nini kimembeba??

Pamoja na uzoefu wake akiwa ikulu plus 'connection',bila shaka uwezo wake ni mkubwa!

Chukua umri wake kwa kijana wa kitanzania plus hiyo elimu kisha lete mtazamo wako! Nafikiri wenzetu wanaangalia uwezo kwanza kisha connection!

Trump nominates youngest press secretary in US history​


At just 27 years old, Leavitt will make history as the youngest person to hold the position.

Trump nominates youngest press secretary in US history



Nb: Ni mtazamo tu!
Uchawa hata huko upo
 
Uko broke sana babu...
Hapana, hayo ni mawazo yako tu, hunijui.

Na kama kawaida yenu Wabongo wengi ni mabingwa wa kutunga hadithi na kuziweka kama ukweli hata pale ambapo hamjui ukweli na mlitakiwa kuuliza tu kujuzwa.

Inawezekana kabisa mimi na wewe tusiweze kabisa kuelewana na jitihada za kuelewana zikawa sana na jitihada za kumfundisha guluguja asiye na ubongo wala uti wa mgongo hesabu za String Theory.
 
Watu wanaopenda kutumia neno "wazungu" wengi wao hawana elimu.

Na wewe ni mmoja wao.

Wenye elimu wana uwezo wa kuwa specific zaidi na wanaelewa kuwa neno "wazungu" linamuonesha mtu kama hana elimu.
Mm nimesoma madrasa km wewe
Nakumbuka miaka ile sijakusahau
 
Trump amemchagua afisa habari wa ikulu ya Marekani kwa muhula mpya unaokuja. Ni afisa kijana na siyo mara ya kwanza kwa nafasi yake!

Angalia umri wake pamoja na elimu yake, hatishi sana kielimu (mtazamo finyu wa watanzania). Unahisi nini kimembeba??

Pamoja na uzoefu wake akiwa ikulu plus 'connection',bila shaka uwezo wake ni mkubwa!

Chukua umri wake kwa kijana wa kitanzania plus hiyo elimu kisha lete mtazamo wako! Nafikiri wenzetu wanaangalia uwezo kwanza kisha connection!

Trump nominates youngest press secretary in US history​


At just 27 years old, Leavitt will make history as the youngest person to hold the position.

Trump nominates youngest press secretary in US history



Nb: Ni mtazamo tu!
Nchi za Magharibi wao wanaangalia ubora au uwezo alionao mtu kisha ndipo mtu huyo anateuliwa, tofauti kabisa na hali ilivyo katika nchi zetu hizi za kiAfrika ambako watu huteuliwa kutokana na uchawa, ukada, undungu, na sifa nyinginezo kama hizi.
Mimi binafsi nilipokuwa kwenye nchi fulani hivi wakati nilipofuatilia Viza ya kutaka kuzuru kwenye nchi ya tatu, nilipofika katika Ofisi ya Ubalozi wa nchi hiyo ya tatu nilishangaa sana kukutana na Binti Mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 28 tu akiwa Balozi wa nchi hiyo niliyotaka kutembelea. Nilimuuliza maswali mara Mbili-mbili huyo kabinti Balozi ambaye alitambulishwa kwangu na Maafisa wa Ubalozi kuwa ndiye Boss wao hapo Ubalozini hivyo ninapaswa kwenda Ofisini kwake ili aweze kunifanyia usaili (interview) kwani Mimi sikuwa raia kwenye hiyo nchi ambayo nilikuwa naishi kwa wakati huo. Ni ajabu sana kwa msichana wa umri wa miaka 28 kuteuliwa kuwa Balozi wa Nchi, kitu ambacho siyo rahisi kutokea ktk nchi za Afrika.
Hiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumuona Balozi wa Nchi akiwa na umri Mdogo Sana namna hiyo.
 
Back
Top Bottom