FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Dah! Biden: "will you just shut up, man."
Hahaha!
Hahaha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joe:Give me a break Man,hahah.Dah! Biden: "will you just shut up, man."
Hahaha!
Unfortunately hiyo interruption haimsaidii kupata wapiga kura zaidi, inamsaidia kufurahisha wafuasi wake tu, ambayo kwa vyovyote vile watampigia kura tu. Lakini haimsaidii kuongeza wapiga kura wapya, in fact ndiyo inazidi kuwakimbiza zaidi kutoka kwake.Naona ameamua kumvuruga Joe Biden.
Naona Biden ni mzigo zaidiAngalia hapa
Kuwa na Trump kwenye debate ni upuuzi tupu; hana akili ya kujadili bali anajua kubishana na kuongopa tu. Halafu Moderator anamwachia sana kuingilia.
Sure, naona si mzuri sana kwenye kujibu hoja. Na anatoa personal attacks zaidi.Hahah jamaa anaifanya debate kua kama talk show.
Kwa utaratibu ninaouona hapa, naelewa kwanini Magu hataki mjadala na Lissu.Dah! afadhali ya Trump, Magu hata kwenye debate hathubutu kufika.
Personal Attacks ndio mambo anayoyaweza sana,lkn discussion ya serious issues hamna kitu pale.Sure, naona si mzuri sana kwenye kujibu hoja. Na anatoa personal attacks zaidi.
Hairuhusiwi.Kuwa moderata wa debate kama hii, inabidi uwe unamzimia microphone Trump wakati mwenzake anaongea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee baba angechimba mikwara kichiz. Angerudia yale mambo yake ya,Kwa utaratibu ninaouona hapa, naelewa kwanini Magu hataki mjadala na Lissu.
Hata kama akipangwa na Hashim Rungwe kwa hali hii lazima arushe ngumi tu!
Trump mwenyewe naona anajikaza kisabuni tu, ila angekuwa kwenye shithole country angerusha kavu hata moja
Ulikuwa unaelewa lakini kinachozungumzwa au ulikuwa unaangalia video tuTrump yuko vizuri Joe iko tatizo nadhani.