Angalia Waafrika Tulivyopitia Wakati Mgumu Sana

Angalia Waafrika Tulivyopitia Wakati Mgumu Sana

inasikitisha sana. na kwa kweli hawa ndio walianzisha adhabu ya kunyongwa. hata hivyo, ukiwa na Mungu huwezi kuogopa kifo kwasababu kule uendako utaenda uzimani. ogopeni kifo au mateso katika dhambi kuliko hiki kifo cha kimwili.

Yesu alisema katika MATHAYO 10:28 Msiwaogope wauuao mwili wasiweze kuiua na roho, afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho katika jehanum.

wanadamu wengu hata wanavyofanya dhambi ya uzinzi, utakuta wanasema wanatumia condom, wanaogopa ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa kuliko kumwogopa Mungu, wanaheshimu ugonjwa kuliko hata Mungu aliyeshikilia pumzi yao. MWOGOPENI MUNGU, yeye ndiye mwenye uweza wote na hangalia moyo, Mungu huangalia hata yaliyo sirini huwezi kujificha na ndio maana adhabu atakayowapa wote waliomkataa itakuwa ya haki. hawatakuwa na la kujitetea.
 
View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

View attachment 2934305

Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
Mkuu mbona umeanzia kwa wakoloni wa kizungu......rudi nyuma kidogo hadi kwa wakoloni wa kutoka Asia....na harakati zao za kuuza binadamu hapa Afrika Mashariki.
Au ndio haramu kuwasema?
 
View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

View attachment 2934305

Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
Nikusahihishe hii picha ni Philipinnes wakati wa utawala wa Muingereza.
 
Mkuu mbona umeanzia kwa wakoloni wa kizungu......rudi nyuma kidogo hadi kwa wakoloni wa kutoka asia....na harakati zao za kuuza binadamu hapa afrika mashariki.
Au ndio haramu kuwasema????


Wewe mbuzi wa kigalatia
hao sio ndio wazungu mnaowalambalamba waliowaletea uokovu, na sasa wanawaletea ushoga

1710636566072.png
 
Mkuu mbona umeanzia kwa wakoloni wa kizungu......rudi nyuma kidogo hadi kwa wakoloni wa kutoka asia....na harakati zao za kuuza binadamu hapa afrika mashariki.
Au ndio haramu kuwasema????
Ni kwa sababu ya tukio lililotokana na aina ya kifaa kilichohusika that's why chief.

Ila kuna hii hapa ya hao jamaa waliuza binadamu, ina habari yake inaogofya sana.
IMG_20240317_083300.jpg
 
Mkuu mbona umeanzia kwa wakoloni wa kizungu......rudi nyuma kidogo hadi kwa wakoloni wa kutoka asia....na harakati zao za kuuza binadamu hapa afrika mashariki.
Au ndio haramu kuwasema????
kulikua na haja gani kuandika ulichoandika? wewe andika ya waarabu. ulichoandika mtu mwingine akisoma ataona na wewe ni walewale kama wanaokua wanatetea waarabu kisa wanashea imani moja.
Mleta uzi hana upande, namjua - sio mfia dini.

Jinai ya utumwa haiwaondoi waafrika pia ambao walishiriki kikamilifu na wageni kuuza wenzao. tena mimi ktk hii jinai washenzi namba 1 ni weusi waliokua wanauza wenzao.
 
They killed Christ, then created religion.... unexpectedly?

SORRY not SORRY.!!
 
kulikua na haja gani kuandika ulichoandika? wewe andika ya waarabu. ulichoandika mtu mwingine akisoma ataona na wewe ni walewale kama wanaokua wanatetea waarabu kisa wanashea imani moja.
Mleta uzi hana upande, namjua - sio mfia dini.
jinai ya utumwa haiwaondoi waafrika pia ambao walishiriki kikamilifu na wageni kuuza wenzao. tena mimi ktk hii jinai washenzi namba 1 ni weusi waliokua wanauza wenzao.
Weusi sio washenzi......waliuwauza sababu kulikua na wanunuzi....mkuu.
Na walipatiwa nyenzo za kazi na wanunuzi
 
Wewe mbuzi wa kigalatia
hao sio ndio wazungu mnaowalambalamba waliowaletea uokovu, na sasa wanawaletea ushoga

View attachment 2936783
Mbuzi mwezangu wa Kiarabu niletee na document za Waarabu wa Oman unaowalamba lamba miguu na vizalia vyao vya machotara katika harakati zao alizoziandika Chotara wa Kiarabu Tip Tipu. Kule Bagamoyo, Kondoa, Tabora, Ujiji mpaka kuvuka Ziwa Tanganyika hadi Nyangwe na Kasongo.

Au hizo documents hauna? Au hujui kama zipo mbuzi mwezangu wa Kiarabu?

NB: Ushoga pwani ya Afrika Mashariki uliletwa na Waarabu slave master's na mfano mzuri ni miji ya Tanga, Zenji, Sofala, Mombasa, Dar!
 
Weusi sio washenzi......waliuwauza sababu kulikua na wanunuzi....mkuu.
Na walipatiwa nyenzo za kazi na wanunuzi
aah unawatetea bure babu zetu
hii ngozi ina shida mkuu. unadhani wenzetu wangeuzana ingekua sisi tuko ktk nafasi yao? sisi wabinafsi na wabaguzi wakubwa.
 
kuna jamaa waasi wapo hapo Congo,wakivamia kijiji wanauwa watu kwa kuwadidimiza mti wenye ncha kali kuanzia mqunduni unatokea utosini,alafu ule mti unachomekwa kwenye ardhi maiti ananing'inizwa juu mfano wa msalaba.
mimi nasema na nitaimba daima watu weusi ni mavi matupu. ona sasa hao washenzi wanachofanya kwa wenzao!
 
Back
Top Bottom