Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
[emoji16][emoji16]Kama hadi leo unaomba msaada wa mchele unatarajia nini?
Mzungu rudisha hiyo garrote kazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Kama hadi leo unaomba msaada wa mchele unatarajia nini?
Mzungu rudisha hiyo garrote kazini.
Asia ni hatari zaidi na Latin AmericaWaafrika sasa hivi tunatekana wenyewe kwa wenyewe
Mkuu mbona umeanzia kwa wakoloni wa kizungu......rudi nyuma kidogo hadi kwa wakoloni wa kutoka Asia....na harakati zao za kuuza binadamu hapa Afrika Mashariki.View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.
Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.
View attachment 2934305
Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.
Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.
Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.
Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
Nikusahihishe hii picha ni Philipinnes wakati wa utawala wa Muingereza.View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.
Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.
View attachment 2934305
Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.
Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.
Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.
Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
ile cha mtoto kwa 12 years a slave. mamaye.Kuna movie ya will smith inaitwa emancipation ukipata mda icheki
Sahihihayo mateso sio waafrica tu waliopitia ni race zote sema waafrica wanadeka sana.
Mkuu mbona umeanzia kwa wakoloni wa kizungu......rudi nyuma kidogo hadi kwa wakoloni wa kutoka asia....na harakati zao za kuuza binadamu hapa afrika mashariki.
Au ndio haramu kuwasema????
Ni kwa sababu ya tukio lililotokana na aina ya kifaa kilichohusika that's why chief.Mkuu mbona umeanzia kwa wakoloni wa kizungu......rudi nyuma kidogo hadi kwa wakoloni wa kutoka asia....na harakati zao za kuuza binadamu hapa afrika mashariki.
Au ndio haramu kuwasema????
Hiyo picha ni Philippines hapo wakati wa utawala wa Waingereza. Picha uliyopost mtu akinyongwaUnisahihishe wapi?
kulikua na haja gani kuandika ulichoandika? wewe andika ya waarabu. ulichoandika mtu mwingine akisoma ataona na wewe ni walewale kama wanaokua wanatetea waarabu kisa wanashea imani moja.Mkuu mbona umeanzia kwa wakoloni wa kizungu......rudi nyuma kidogo hadi kwa wakoloni wa kutoka asia....na harakati zao za kuuza binadamu hapa afrika mashariki.
Au ndio haramu kuwasema????
Jamaa wapi mkuu....wa mashariki au wa magharibi???Ni kwa sababu ya tukio lililotokana na aina ya kifaa kilichohusika that's why chief.
Ila kuna hii hapa ya hao jamaa waliuza binadamu, ina habari yake inaogofya sana.
View attachment 2936861
Weusi sio washenzi......waliuwauza sababu kulikua na wanunuzi....mkuu.kulikua na haja gani kuandika ulichoandika? wewe andika ya waarabu. ulichoandika mtu mwingine akisoma ataona na wewe ni walewale kama wanaokua wanatetea waarabu kisa wanashea imani moja.
Mleta uzi hana upande, namjua - sio mfia dini.
jinai ya utumwa haiwaondoi waafrika pia ambao walishiriki kikamilifu na wageni kuuza wenzao. tena mimi ktk hii jinai washenzi namba 1 ni weusi waliokua wanauza wenzao.
Mbuzi mwezangu wa Kiarabu niletee na document za Waarabu wa Oman unaowalamba lamba miguu na vizalia vyao vya machotara katika harakati zao alizoziandika Chotara wa Kiarabu Tip Tipu. Kule Bagamoyo, Kondoa, Tabora, Ujiji mpaka kuvuka Ziwa Tanganyika hadi Nyangwe na Kasongo.Wewe mbuzi wa kigalatia
hao sio ndio wazungu mnaowalambalamba waliowaletea uokovu, na sasa wanawaletea ushoga
View attachment 2936783
aah unawatetea bure babu zetuWeusi sio washenzi......waliuwauza sababu kulikua na wanunuzi....mkuu.
Na walipatiwa nyenzo za kazi na wanunuzi
mimi nasema na nitaimba daima watu weusi ni mavi matupu. ona sasa hao washenzi wanachofanya kwa wenzao!kuna jamaa waasi wapo hapo Congo,wakivamia kijiji wanauwa watu kwa kuwadidimiza mti wenye ncha kali kuanzia mqunduni unatokea utosini,alafu ule mti unachomekwa kwenye ardhi maiti ananing'inizwa juu mfano wa msalaba.