technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
- Thread starter
-
- #21
Sio laana ni vilaza!!!Watu bwana,leo watu wanajichetua kwamba huo mfumo si lolote si chochote lakini siku ikitokea Mfalme wa nchi ya kufikirika naye akaamua kwamba tutumie huo mfumo,watu hao hao ndo watakuja humu kuusifia na kuonesha jinsi ulivyo na mafanikio.Kizazi cha laana!
HaaaahSio laana ni ******!!!
AtareeHapa kwetu mpaka DED na DAS ni wateule wa Raisi
Kwan wameacha kuua lini. Au umeshasahau ya Mwangosi na Arusha?Mkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?
Hivi Jaji ndo mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi. Ngiri wengine wamezidi kuwa mizigi dahTatizo lako ni low reasoning uliyo nayo unadanganywa na mambo madogo madogo kama hayo kwa taarifa yako tu hata huyu jaji aliyeondoka alipatikana kwa njia hiyo hiyo lkn bado anashutumiwa kumuibia ushindi Raisi Uhuru Kenya kama ni kweli au siyo kweli hilo ni swala lingine lkn ktk malalamiko ya Upinzani chini ya Raila Odinga ya kuibiwa kura ni chini ya jaji huyu huyu aliyepatikana kwa njia hiyo hiyo, hivyo itakuonyesha kwamba haijalishi jaji anapatikana vp mwisho wa siku ni Ufanisi ndiyo unamata!
Wenyewe wanaunga Tela tu. Hawajali uelekeo na hawahoji wala kushauriWatu bwana,leo watu wanajichetua kwamba huo mfumo si lolote si chochote lakini siku ikitokea Mfalme wa nchi ya kufikirika naye akaamua kwamba tutumie huo mfumo,watu hao hao ndo watakuja humu kuusifia na kuonesha jinsi ulivyo na mafanikio.Kizazi cha laana!
Kenya inakaribia kumpata jaji wao mkuu ambapo nafasi hiyo ya kazi ilitangazwa mwez uliopita watu zaidi ya 800 wakaomba !!
Sasa wamechujwa wamebaki majaji 6
Lazima apatikane mmoja kabla ya mwezi October
Hadi raha wenzetu kiasi wanapiga hata katika mambo ya kimfumo !
Uzuri wa wanaccm na viongozi wao ni uhodari wao wa kucopy na kupaste mabaya tu ili kuendelea kuwafanya wadanganyika mazuzu.Hongera lizaboniMkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?
Labda wangefanya Rwanda ndio sisi tuige!Mkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?
Mkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?
Uzuri hilo jambo/ utaratibu wa kuomba hio kazi ya jaji mkuu ni upi? Ila napenda kufahamu hao waombaji 800 nani aliwachuja hadi wakabaki hao 6?Sio lazima tuige kila kitu but kama jambo ni zuri tunaiga mkuu
Lizaboni!!
Huu utakuwa mwandiko wa BarbarosaTatizo lako ni low reasoning uliyo nayo unadanganywa na mambo madogo madogo kama hayo kwa taarifa yako tu hata huyu jaji aliyeondoka alipatikana kwa njia hiyo hiyo lkn bado anashutumiwa kumuibia ushindi Raisi Uhuru Kenya kama ni kweli au siyo kweli hilo ni swala lingine lkn ktk malalamiko ya Upinzani chini ya Raila Odinga ya kuibiwa kura ni chini ya jaji huyu huyu aliyepatikana kwa njia hiyo hiyo, hivyo itakuonyesha kwamba haijalishi jaji anapatikana vp mwisho wa siku ni Ufanisi ndiyo unamata!
Tatizo lako ni low reasoning uliyo nayo unadanganywa na mambo madogo madogo kama hayo kwa taarifa yako tu hata huyu jaji aliyeondoka alipatikana kwa njia hiyo hiyo lkn bado anashutumiwa kumuibia ushindi Raisi Uhuru Kenya kama ni kweli au siyo kweli hilo ni swala lingine lkn ktk malalamiko ya Upinzani chini ya Raila Odinga ya kuibiwa kura ni chini ya jaji huyu huyu aliyepatikana kwa njia hiyo hiyo, hivyo itakuonyesha kwamba haijalishi jaji anapatikana vp mwisho wa siku ni Ufanisi ndiyo unamata!
Hapa kwetu mpaka DED na DAS ni wateule wa Raisi