Angalia wenzetu walivyo mbali

Angalia wenzetu walivyo mbali

Watu bwana,leo watu wanajichetua kwamba huo mfumo si lolote si chochote lakini siku ikitokea Mfalme wa nchi ya kufikirika naye akaamua kwamba tutumie huo mfumo,watu hao hao ndo watakuja humu kuusifia na kuonesha jinsi ulivyo na mafanikio.Kizazi cha laana!
Sio laana ni vilaza!!!
 
Mkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?
Kwan wameacha kuua lini. Au umeshasahau ya Mwangosi na Arusha?
 
Tatizo lako ni low reasoning uliyo nayo unadanganywa na mambo madogo madogo kama hayo kwa taarifa yako tu hata huyu jaji aliyeondoka alipatikana kwa njia hiyo hiyo lkn bado anashutumiwa kumuibia ushindi Raisi Uhuru Kenya kama ni kweli au siyo kweli hilo ni swala lingine lkn ktk malalamiko ya Upinzani chini ya Raila Odinga ya kuibiwa kura ni chini ya jaji huyu huyu aliyepatikana kwa njia hiyo hiyo, hivyo itakuonyesha kwamba haijalishi jaji anapatikana vp mwisho wa siku ni Ufanisi ndiyo unamata!
Hivi Jaji ndo mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi. Ngiri wengine wamezidi kuwa mizigi dah
 
Watu bwana,leo watu wanajichetua kwamba huo mfumo si lolote si chochote lakini siku ikitokea Mfalme wa nchi ya kufikirika naye akaamua kwamba tutumie huo mfumo,watu hao hao ndo watakuja humu kuusifia na kuonesha jinsi ulivyo na mafanikio.Kizazi cha laana!
Wenyewe wanaunga Tela tu. Hawajali uelekeo na hawahoji wala kushauri
 
Sisi tunategemea busara za rais na nafasi za kuteuana then wadanganyika wanasubiri maendeleo, tunachekesha sana
4b4959aa39407a05c10b46d2f72e0d4f.jpg


Kenya inakaribia kumpata jaji wao mkuu ambapo nafasi hiyo ya kazi ilitangazwa mwez uliopita watu zaidi ya 800 wakaomba !!
Sasa wamechujwa wamebaki majaji 6
Lazima apatikane mmoja kabla ya mwezi October

Hadi raha wenzetu kiasi wanapiga hata katika mambo ya kimfumo !
 
Mkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?
Uzuri wa wanaccm na viongozi wao ni uhodari wao wa kucopy na kupaste mabaya tu ili kuendelea kuwafanya wadanganyika mazuzu.Hongera lizaboni
 
Hapo ni ishu ya katiba tu..Kenya walibadilisha katiba wakafika hapo. Kwa sisi Raisi ana mamlaka ya kuteua watu kwenye vyeo vingi sana. Kenya hata kwenye uwaziri nadhan nafasi zinatangazwa kama sijakosea.
 
Mkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?
Labda wangefanya Rwanda ndio sisi tuige!
Kwa Kenya kwa kweli si kitu kizuri!
 
Mkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?


Mkuu naona ungetuambia ubaya wa mfumo huo hadi umeupinga, lakini kuzungumzia polisi wa Kenya wanauwa raia makusudi si kweli na pia hata polisi wa hapa tz mbona wanaua mauaji ya pemba, wale wafanyabiashara wa zombe na nk
 
Sio lazima tuige kila kitu but kama jambo ni zuri tunaiga mkuu
Lizaboni!!
Uzuri hilo jambo/ utaratibu wa kuomba hio kazi ya jaji mkuu ni upi? Ila napenda kufahamu hao waombaji 800 nani aliwachuja hadi wakabaki hao 6?
 
Huku ni sandakalawe kwa makada wa CCM na kesho kutwa usishangae jaji akigombea nafasi ya urais ndani ya chama, ie Jaji Ramadhani
 
Tatizo lako ni low reasoning uliyo nayo unadanganywa na mambo madogo madogo kama hayo kwa taarifa yako tu hata huyu jaji aliyeondoka alipatikana kwa njia hiyo hiyo lkn bado anashutumiwa kumuibia ushindi Raisi Uhuru Kenya kama ni kweli au siyo kweli hilo ni swala lingine lkn ktk malalamiko ya Upinzani chini ya Raila Odinga ya kuibiwa kura ni chini ya jaji huyu huyu aliyepatikana kwa njia hiyo hiyo, hivyo itakuonyesha kwamba haijalishi jaji anapatikana vp mwisho wa siku ni Ufanisi ndiyo unamata!
Huu utakuwa mwandiko wa Barbarosa
 
Mkuu inaonekana wewe ni muumini wa vyeo vya kulipana fadhila,uwezekano wa kuondokana na upendeleo kwa upande mmoja na kupata competent person ni mkubwa kupitia watu kufanya interviews kuliko hii ya kwetu ya kutegemea busara za MTU mmoja na kwa vigezo anavyojua mwenyewe
Tatizo lako ni low reasoning uliyo nayo unadanganywa na mambo madogo madogo kama hayo kwa taarifa yako tu hata huyu jaji aliyeondoka alipatikana kwa njia hiyo hiyo lkn bado anashutumiwa kumuibia ushindi Raisi Uhuru Kenya kama ni kweli au siyo kweli hilo ni swala lingine lkn ktk malalamiko ya Upinzani chini ya Raila Odinga ya kuibiwa kura ni chini ya jaji huyu huyu aliyepatikana kwa njia hiyo hiyo, hivyo itakuonyesha kwamba haijalishi jaji anapatikana vp mwisho wa siku ni Ufanisi ndiyo unamata!
 
Back
Top Bottom