Angalia wenzetu walivyo mbali

Angalia wenzetu walivyo mbali

Hiyo tume ya majaji ya kuchuja majina huundwa na nani na wanapatikanaje wajumbe wa hiyo tume?
Ipo tume iitwayo jsc, ambayo husimamia majaji wa Kenya na huchunguza misconduct baina yao. Wanachama wa tume hii huchaguliwa na majaji wote kulingana na tajriba na utendekazi wao Kisha tume ya mawakili LSK kuwahoji kabla yao kuanza kazi.
 
Leo hii wakenya hao hao wameanza kuipinga na kuiona haifai
Hebu tueleze ni wakenya gani hao wazungumzia Mkuu. Kila jimbo watu wameshukuru sana na kufurahia huu mfumo kwani kutekelezwa na serikali kuu kushakomeshwa kwajili hapo awali rais angejenga kwake na kwa wale waliompa kura.
 
Leo hii wakenya hao hao wameanza kuipinga na kuiona haifai

WaKenya gani hao wanaoipinga katiba inayowanufaisha kote waliko? Wewe na Barbarosa ni waongo tu na post zenyu nyingi ni za chuki dhidi ya wakenya, potelea mbali.
 
WaKenya gani hao wanaoipinga katiba inayowanufaisha kote waliko? Wewe na Barbarosa ni waongo tu na post zenyu nyingi ni za chuki dhidi ya wakenya, potelea mbali.
Hehehe wewe wakuniambia nipotelee mbali! JF !!
Wacha kujitekenya
Wakenya wengi wanaiponda katiba
Ukweli ninao
Pia kama chuki nyie ndio mnaongoza kwa chuki.

Kwanza wabaguzi ninyi kwa ninyi

Kwenye mtandao WA wakenya
Mnaweka chuki dhidi ya Watanzania

Soma aliyo yasema mwenzie

We should have marched the tanzanian terrorist who killed garissa university students naked before chopping off his dick. Tanzania behaves like jaruos.

Mlivyo vichwa maji
Hampendani wenyewe kwa wenyewe
Ukabila umewamaliza
 
Tatizo lako ni low reasoning uliyo nayo unadanganywa na mambo madogo madogo kama hayo kwa taarifa yako tu hata huyu jaji aliyeondoka alipatikana kwa njia hiyo hiyo lkn bado anashutumiwa kumuibia ushindi Raisi Uhuru Kenya kama ni kweli au siyo kweli hilo ni swala lingine lkn ktk malalamiko ya Upinzani chini ya Raila Odinga ya kuibiwa kura ni chini ya jaji huyu huyu aliyepatikana kwa njia hiyo hiyo, hivyo itakuonyesha kwamba haijalishi jaji anapatikana vp mwisho wa siku ni Ufanisi ndiyo unamata!
Nyani usiyeona kundu lako... Sasa apo umereason nini? Unaelewa mahakama inavofanya kazi? Judge mkuu ana mamlaka gani kuzuia hukumu iliyo kwa judges wenzake wa supreme Court? Hata kama CJ akiwa kwenye Bench ya case husika na wenzake wakawa progovt au wakatumia ukabila wao na wingi wao kwenye Bench kutoa majority vote CJ ataikuta kesi hiyo? Mahakama sio kama uraisi wewe kwamba akiamua kitu kisifanyike anaamua. Mleta maada upo sahihi jaji mkuu apa anachaguliwa na raisi wenzetu uko wametoka. Nadhani watu hapa vichwa vimejaa siasa ata busara haitumiki tena kwenye kuchangia
 
Nyani usiyeona kundu lako... Sasa apo umereason nini? Unaelewa mahakama inavofanya kazi? Judge mkuu ana mamlaka gani kuzuia hukumu iliyo kwa judges wenzake wa supreme Court? Hata kama CJ akiwa kwenye Bench ya case husika na wenzake wakawa progovt au wakatumia ukabila wao na wingi wao kwenye Bench kutoa majority vote CJ ataikuta kesi hiyo? Mahakama sio kama uraisi wewe kwamba akiamua kitu kisifanyike anaamua. Mleta maada upo sahihi jaji mkuu apa anachaguliwa na raisi wenzetu uko wametoka. Nadhani watu hapa vichwa vimejaa siasa ata busara haitumiki tena kwenye kuchangia

mkuu, afadhali umejaribu kumelimisha dogo ili apate ufahamu ya mambo yanavyo enda. Jamaa muongo, bila haya wanapost tu mambo yao ya kuiga, namshangaa sana, nikama ametumwa vile.
 
technically hakuna chochote siasa za ukabila tu katiba yao mpya imebaki kwenye makaratasi! Hawana tofautu nasi! Prof. Makau Mutua alipaswa kuchukua hii kazi
 
Hakuna mahali niliposema Raila alishinda Uchaguzi, ila nimesmea Upinzani uliongozwa na Raila Odinga walilalamika kwamba wameibiwa kura, na huyu jaji aliyeondoka pia alikuwa sehemu ya lawama kwamba alisaidia uibiwaji wa kura, ndicho nilichokisema, sasa kama ni kweli au siyo kweli hili swala lingine lkln ukweli ni kwamba Wapinzani walikataa matokeo!


Hebu elezea kidogo jaji mkuu wa sasa alivyosaidia kura kuibiwa. Tafdhali
 
technically hakuna chochote siasa za ukabila tu katiba yao mpya imebaki kwenye makaratasi! Hawana tofautu nasi! Prof. Makau Mutua alipaswa kuchukua hii kazi
Sooo predictable. first of all, have you looked at all the other 6 who have been selected? which tribe they come from? isnt the former chief justice from a completely diffrent tribe to those that were in poeer then?

have you also looked at the CV of the other 6 to conclude that proffesor makau was the most qualified?
you say he is the most qualified just because he was suspended in UoN and ended up in USDM? so predictable....


mwanzo hebu soma kenya law on apointment of chief justice.... lazma JSC itangaze kazi, tena hio ndo ichuje watu, alafu ipeleke majina kadhaa kwa rais, rais achague wale aona wako sawa, tena bunge lianze kuwakagua na ikimkataa jaji rais amechagua, basi rais inabidi epeane majina mengine

(1) The President shall appoint--
(a) the Chief Justice and the Deputy Chief Justice, in accordance with the recommendation of the Judicial Service Commission, and subject to the approval of the National Assembly; and
(b) all other judges, in accordance with the recommendation of the Judicial Service Commission.
(2) Each judge of a superior court shall be appointed from among persons who--
(a) hold a law degree from a recognised university, or are advocates of the High Court of Kenya, or possess an equivalent qualification in a common-law jurisdiction;
(b) possess the experience required under clause (3) to (6) as applicable, irrespective of whether that experience was gained in Kenya or in another Commonwealth common-law jurisdiction; and
(c) have a high moral character, integrity and impartiality.
(3) The Chief Justice and other judges of the Supreme Court shall be appointed from among persons who have--
(a) at least fifteen years experience as a superior court judge; or
(b) at least fifteen years’ experience as a distinguished academic, judicial officer, legal practitioner or such experience in other relevant legal field; or
(c) held the qualifications specified in paragraphs (a) and (b) for a period amounting, in the aggregate, to fifteen years;
(4) Each judge of the Court of Appeal shall be appointed from among persons who have--
(a) at least ten years’ experience as a superior court judge;
or
(b) at least ten years’ experience as a distinguished academic or legal practitioner or such experience in other relevant legal field; or
(c) held the qualifications mentioned in paragraphs (a) and (b) for a period amounting, in the aggregate, to ten years.
(5) Each judge of the High Court shall be appointed from among persons who have--
(a) at least ten years’ experience as a superior court judge or professionally qualified magistrate; or
(b) at least ten years’ experience as a distinguished academic or legal practitioner or such experience in other relevant legal field; or
(c) held the qualifications specified in paragraphs (a) and (b) for a period amounting, in the aggregate, to ten years.

.........
.
hebu soma hapo 2(c) ambapo inasema

(c) have a high moral character, integrity and impartiality.

Makau is probably an integral person, his moral character is debatable , but he is definately not impartial. theae are some of the articles he has posted on daily nation

ney General has been misused and should resign,”
“Obama’s visit served to endorse an undeserving regime,”
and “Why I won’t refer to Uhuru Kenyatta as the President.”


a chief justice is supposed to keep some things to himselfs and be impartial, just like Mutunga who evem though he was mistreated the same time raila was totured by moi, even though raila is the one who recomended Mutunga to be CJ when he was prime minister, Mutunga remained impartial in the courts and has kept his deep inner thoughts to himself
 
Hope you are not trying to instill sense into Geza's head; he has his pick based on the anti-Kikuyu rhetoric( and he says Kenyans are tribal) and no amount of cajoling would make hims see that
 
Sooo predictable. first of all, have you looked at all the other 6 who have been selected? which tribe they come from? isnt the former chief justice from a completely diffrent tribe to those that were in poeer then?

have you also looked at the CV of the other 6 to conclude that proffesor makau was the most qualified?
you say he is the most qualified just because he was suspended in UoN and ended up in USDM? so predictable....


mwanzo hebu soma kenya law on apointment of chief justice.... lazma JSC itangaze kazi, tena hio ndo ichuje watu, alafu ipeleke majina kadhaa kwa rais, rais achague wale aona wako sawa, tena bunge lianze kuwakagua na ikimkataa jaji rais amechagua, basi rais inabidi epeane majina mengine

(1) The President shall appoint--
(a) the Chief Justice and the Deputy Chief Justice, in accordance with the recommendation of the Judicial Service Commission, and subject to the approval of the National Assembly; and
(b) all other judges, in accordance with the recommendation of the Judicial Service Commission.
(2) Each judge of a superior court shall be appointed from among persons who--
(a) hold a law degree from a recognised university, or are advocates of the High Court of Kenya, or possess an equivalent qualification in a common-law jurisdiction;
(b) possess the experience required under clause (3) to (6) as applicable, irrespective of whether that experience was gained in Kenya or in another Commonwealth common-law jurisdiction; and
(c) have a high moral character, integrity and impartiality.
(3) The Chief Justice and other judges of the Supreme Court shall be appointed from among persons who have--
(a) at least fifteen years experience as a superior court judge; or
(b) at least fifteen years’ experience as a distinguished academic, judicial officer, legal practitioner or such experience in other relevant legal field; or
(c) held the qualifications specified in paragraphs (a) and (b) for a period amounting, in the aggregate, to fifteen years;
(4) Each judge of the Court of Appeal shall be appointed from among persons who have--
(a) at least ten years’ experience as a superior court judge;
or
(b) at least ten years’ experience as a distinguished academic or legal practitioner or such experience in other relevant legal field; or
(c) held the qualifications mentioned in paragraphs (a) and (b) for a period amounting, in the aggregate, to ten years.
(5) Each judge of the High Court shall be appointed from among persons who have--
(a) at least ten years’ experience as a superior court judge or professionally qualified magistrate; or
(b) at least ten years’ experience as a distinguished academic or legal practitioner or such experience in other relevant legal field; or
(c) held the qualifications specified in paragraphs (a) and (b) for a period amounting, in the aggregate, to ten years.

.........
.
hebu soma hapo 2(c) ambapo inasema

(c) have a high moral character, integrity and impartiality.

Makau is probably an integral person, his moral character is debatable , but he is definately not impartial. theae are some of the articles he has posted on daily nation

ney General has been misused and should resign,”
“Obama’s visit served to endorse an undeserving regime,”
and “Why I won’t refer to Uhuru Kenyatta as the President.”


a chief justice is supposed to keep some things to himselfs and be impartial, just like Mutunga who evem though he was mistreated the same time raila was totured by moi, even though raila is the one who recomended Mutunga to be CJ when he was prime minister, Mutunga remained impartial in the courts and has kept his deep inner thoughts to himself
Mkuu miamia
 
geza ur as tribal as you call Kenyans to be...... if you think those tribal Kenyans are different people....think again Read your comments and read tribal Kenyan comments and judge urself
 
Watu bwana,leo watu wanajichetua kwamba huo mfumo si lolote si chochote lakini siku ikitokea Mfalme wa nchi ya kufikirika naye akaamua kwamba tutumie huo mfumo,watu hao hao ndo watakuja humu kuusifia na kuonesha jinsi ulivyo na mafanikio.Kizazi cha laana!
4b4959aa39407a05c10b46d2f72e0d4f.jpg


Kenya inakaribia kumpata jaji wao mkuu ambapo nafasi hiyo ya kazi ilitangazwa mwez uliopita watu zaidi ya 800 wakaomba !!
Sasa wamechujwa wamebaki majaji 6
Lazima apatikane mmoja kabla ya mwezi October

Hadi raha wenzetu kiasi wanapiga hata katika mambo ya kimfumo !
Kenya wako vizuri sana....ingekuwa hapa tanzania dr makufuri angekuwa amemaliza kazi.

Kenya inakaribia kumpata jaji wao mkuu ambapo nafasi hiyo ya kazi ilitangazwa mwez uliopita watu zaidi ya 800 wakaomba !!
Sasa wamechujwa wamebaki majaji 6
Lazima apatikane mmoja kabla ya mwezi October

Hadi raha wenzetu kiasi wanapiga hata katika mambo ya kimfumo ![/QUOTE]
 
Let us get into the truth of the issues.
Ni kweli Katiba ya kenya imeweka mfumo wa kuwapata viongozi mbalimbali pamoja na majaji ili kuondokana na uwezekano wa mtu mmoja kuteua watu kwa interest zake na si kwa mstakabali wa manufaa ya kitaifa. Hili ni zuri. Ndio maana hata watanzania, katika vitu ambavyo vimo katika rasimu ya katiba ya jaji Warioba ni kubadili mfumo wa kuwapata viongozi tofauti na mfumo uliopo unaompa madaraka Raisi kuwa na wateule wengi sana ambapo uteuzi huo unaweza ukawa umeshinikiwa kukidhi matakwa binasi, marafiki, familia, chama siasa anachotoka n.k kwa mwamvuli wa ustawi wa taifa. HII NI HATARI.
Na ndo maana taifa lilipokosea kuweka wanasiasa wengi bunge la katiba, vitu vingi vilivyokuwa kwenye rasimu viliondolewa ikiwa ni pamoja na pendekezo la mfumo mpya wa kuwapata viongozi kama majaji, mawaziri, n,k. Hii ilidhihirisha wazi kuwa mfumo wa sasa huwa unatoa mwanya kwa watu fulani kujipendelea kwa ajili ya kulinda maslahi binafsi.
Katika hili, namuomba chondechonde, mheshimiwa raisi sikia kilio cha watanzania.
Ni kweli Rais was sasa kwakiwango fulani amethibitisha kuwa hatoi nafasi ya mufumo wa sasa kutumika vibaya, japo inapokuja kwenye nani anateuliwa napata mashaka kuwa pengine ana imani zaidi kufanya kazi na watanzania wenye itikadi ya chama chake hivyo nguvu ya chama anachotoka imehusika kuunda serikali (executive) na mahakama (judiciary).
Ili kuwa na mwendelezo wa haya ambayo anayafanya JPM sasa lazima kabla hajaondoka madarakani awe ameweka mfumo wa kikatiba ambao utahakikisha kila anaeingia madarakani bila kujali itikadi ya siasa (irrespective of the politica party), anaapa kuyafuata.
Vinginevyo, atafanya yeye kama yeye, akishaondoka upo uwezekano tukarudi miaka 40-60 nyuma.
TAFADHARI SANA RAIS, NAKUOMABA UZINGATIA RESIMU YA JAJI WARIOBA KWENYE MWENDELEZO WA KATIBA MPYA UNAOTARAJIA KUFANYA.
 
Mkuu, kwani ni lazima kucopy na kupaste toka Kenya? Kwa hiyo unataka Mapolisi wetu waue tu Raia hovyo kama wafanyavyo Polisi wa Kenya?
Kwa hiyo unataka kutuaminisha mapolisi wa Tz hawaui raia hovyo?
 
Back
Top Bottom