Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
Trump ni Rais wa watu wa Marekani, ni lazima atetee maslahi ya watu wake
Hata sisi watanzania tunatamani tupate kiongozi wa kutetea maslahi yetu
Nimefuatilia vijana wa Marekani wanampenda sana Rais wao
Hawa CNN na BBC wanatudanganya tu