Angalia Zelensky Alivyonywea

Angalia Zelensky Alivyonywea

Zelesky ni mwanaume wa shoka hizo tabia za kuearamba miguu mabeberu wanazi Marais wenu wa shitholes countries.
 
Sasa kaenda kufanyaje? Alitarajia Win Win mbele ya Trump/US? Ni kama kaenda kutibua
Usisahau hicho kikao ilikuwa Zele asaini mkataba wa kuipa Marekani rare minerals na Mwamba Zele akachomoa. Sasa aliyepoteza nani?
 
Back
Top Bottom