Angalia: Zitto na dadaye, Lissu na dadaye, Ndesa na mwanawe, Dr Slaa na mkewe, Ndesa na mkwewe. Je, Viti Maalumu CHADEMA huzingatia mahusiano?

Angalia: Zitto na dadaye, Lissu na dadaye, Ndesa na mwanawe, Dr Slaa na mkewe, Ndesa na mkwewe. Je, Viti Maalumu CHADEMA huzingatia mahusiano?

Bulembo na mwanae wote wabunge wa kuteuliwa yani ladies free,mama sita na mwanae.ridhiwan na mama yake vipi niongezee sautiiiiii
Kunya anye kuku,akinya Bata,kaharisha mbona Jiwe kaweka mjomba wake hazina hamsemi,
Kikwete aliweka mke na mtoto bungeni,Watoto wa kawawa,mmoja alikuwa Mbunge,mwingine DC,Karume je,mwinyi je,
 
Najaribu tu kuwakumbusha wale wanaomwandama Mbowe kwamba aliwanyanyasa kijinsia baadhi ya wabunge wa viti maalumu Chadema. Kiukweli mnamuonea bure kabisa mwenyekiti.

Utaratibu wa kuwapata wabunge wa viti maalumu umekuwa na sintofahamu tokea chama hicho kiasisiwe.

Nitoe mifano michache ya wabunge waliokuwa na uhusiano na viongozi wa Chadema na wakateuliwa kutumikia viti maalumu

Katibu mkuu Dr Slaa na " mama watoto" wake Rose Kamili

Naibu Katibu mkuu Zitto Kabwe na dada yake

Mwanasheria wa Chama mzee Marando na shemejie Chiku Abwao

Mjumbe wa CC/mwanasheria Tundu Lisu na dada yake rip

Mjumbe wa CC Ndesamburo rip na mkwewe Grace

Mjumbe wa CC Ndesamburo rip na mwanae Owenya

Katika mazingira kama hayo anayelalamika anapaswa kuzungumzia mfumo mzima na siyo kumsimanga Mbowe ambaye hajampa ubunge ndugu yake yoyote.

Kama huna mtu wa kukubeba basi ni lazima utatumia mbinu za ziada kwahiyo unapolialia baadae ni kwamba ama unajidharirisha au unatangaza biashara kwa chama chako kipya.

Maendeleo hayana vyama!
Macho yako yanamulika CDM tu,ya ccm huyaoni.
Vita Kawawa,Ridhiwani Kikwete,Nape Mnauye,Hussein Mwnyi,Karume,Mlinga,Bulembo na mwanaye huwaoni wala hujasikia habari zao? Magufuli na ukoo wake alioujaza kuanzia hazina hadi tenda za ujenzi kwako ni sawa tu ila CDM ni tatizo???
 
Macho yako yanamulika CDM tu,ya ccm huyaoni.
Vita Kawawa,Ridhiwani Kikwete,Nape Mnauye,Hussein Mwnyi,Karume,Mlinga,Bulembo na mwanaye huwaoni wala hujasikia habari zao? Magufuli na ukoo wake alioujaza kuanzia hazina hadi tenda za ujenzi kwako ni sawa tu ila CDM ni tatizo???
Hili sakata hulijuagi lilivyo
 
Magufui na mtoto wa dada yake Doto James -Katibu Hazina
Magufui na mtoto wa dada yake Kheri James -Mwenyekiti Vijana CCM
Edward Ngoyai- fred Mbunge
Pinda - Mwanaye Mbunge
Ditopie- Mwanaye Mbunge
Samwei Sitta -Mkwewe Mbunge
Buembo-Mwanaye Mbunge

Sema hapo sasa
 
Najaribu tu kuwakumbusha wale wanaomwandama Mbowe kwamba aliwanyanyasa kijinsia baadhi ya wabunge wa viti maalumu Chadema. Kiukweli mnamuonea bure kabisa mwenyekiti.

Utaratibu wa kuwapata wabunge wa viti maalumu umekuwa na sintofahamu tokea chama hicho kiasisiwe.

Nitoe mifano michache ya wabunge waliokuwa na uhusiano na viongozi wa Chadema na wakateuliwa kutumikia viti maalumu

Katibu mkuu Dr Slaa na " mama watoto" wake Rose Kamili

Naibu Katibu mkuu Zitto Kabwe na dada yake

Mwanasheria wa Chama mzee Marando na shemejie Chiku Abwao

Mjumbe wa CC/mwanasheria Tundu Lisu na dada yake rip

Mjumbe wa CC Ndesamburo rip na mkwewe Grace

Mjumbe wa CC Ndesamburo rip na mwanae Owenya

Katika mazingira kama hayo anayelalamika anapaswa kuzungumzia mfumo mzima na siyo kumsimanga Mbowe ambaye hajampa ubunge ndugu yake yoyote.

Kama huna mtu wa kukubeba basi ni lazima utatumia mbinu za ziada kwahiyo unapolialia baadae ni kwamba ama unajidharirisha au unatangaza biashara kwa chama chako kipya.

Maendeleo hayana vyama!
Ashiru na mbunge wa babati je?
 
Back
Top Bottom