Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Al Ahly ameshakufa bao 1 had sasa, ila unaangalia mpira unainjoy, mpira uliochezwa na Simba leo halafu unaambiwa malengo ni nusu fainali, unabaki kushangaa na kujiuliza kama kweli tuko serious.
Kwa mpira ule naamini Raja anakwenda kutuadhibu dazeni ya magoli kwao.
Kwa mpira ule naamini Raja anakwenda kutuadhibu dazeni ya magoli kwao.