Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Leo ni Ligi ya Mabingwa, nyie wa shirikisho subirini kesho badala ya kuanzisha nyuzi kifala 🤣🤣 🤣Al ahly ameshakufa bao 1 had ss ila unaangalia mpira unainjoy, mpira uliochezwa na Simba Leo halafu unaambiwa malengo ni nusu final, unabaki kushangaa na kujiuliza kama kweli tuko serious.
Kwa.mpira ule naamini Raja anakwenda kutuadhibu dazeni ya magoli kwao
Kwani utopolo mtakutana na Raja? Labda tuwakumbushe, Raja, Simba, Vipers, Horoya, Mamelodi, Al Ahly, Al Hilal, Vita, Petro Atletico na wateule wachache wanacheza ligi ya mabingwa sio shirikishoKwa.mpira ule naamini Raja anakwenda kutuadhibu dazeni ya magoli kwao
Mamelod wapewe kombe lao .
Mamelodi pamoja na moto wao miaka mitatu mfululizo anatoka robo fainali
Katika hao uliowataja kuna ambao hadi kombe wanalo huku wengine wasindikizaji boraKwani utopolo mtakutana na Raja? Labda tuwakumbushe, Raja, Simba, Vipers, Horoya, Mamelodi, Al Ahly, Al Hilal, Vita, Petro Atletico na wateule wachache wanacheza ligi ya mabingwa sio shirikisho
Mamelody wanaupiga alafu awachoki.kwaweli mara hii mzigo wa kwao.Mamelod wapewe kombe lao .
Unashangaa nini,we tulia malengo ndiyo muongozo wetuAl ahly ameshakufa bao 1 had ss ila unaangalia mpira unainjoy, mpira uliochezwa na Simba Leo halafu unaambiwa malengo ni nusu final, unabaki kushangaa na kujiuliza kama kweli tuko serious.
Kwa.mpira ule naamini Raja anakwenda kutuadhibu dazeni ya magoli kwao
We una kombe gani katika hiyo ligi ya Mabingwa wa Africa?Leo ni Ligi ya Mabingwa, nyie wa shirikisho subirini kesho badala ya kuanzisha nyuzi kifala [emoji1787][emoji1787] [emoji1787]
Wajanja au Wazee wa figisu nyingi nnje ya uwanja sababu ya utajiri wa mafuta? [emoji1]Mamelodi anapata shida sana akicheza na wajanja robo fainali
"Ko" ni uchafu gani?Ko unataka kufafanisha maswandana au ahly na simba,we kweli juha!!
Nyuzi za kifala au unaambiwa kulingana na kiwango cha timu yako kilivyo, timu inacheza utadhani ni Maji maji ya songea, kwa mpira huu mtegemeeni sana mungu vinginevyo mtaadhirikaLeo ni Ligi ya Mabingwa, nyie wa shirikisho subirini kesho badala ya kuanzisha nyuzi kifala 🤣🤣 🤣
Wajanja au Wazee wa figisu nyingi nnje ya uwanja sababu ya utajiri wa mafuta? [emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app