- Thread starter
- #21
Hahaha! Mtamponza arudi Chato kwa miisifa mnayomwagiaSafi
Safi sana rais wangu John Pombe Magufuli. Eti Amstadam nae anataka kukupangia😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! Mtamponza arudi Chato kwa miisifa mnayomwagiaSafi
Safi sana rais wangu John Pombe Magufuli. Eti Amstadam nae anataka kukupangia😁😁😁😁
Lissu hata jutia ,Mana atatuletea katiba mpya , na tume huru, Iyo avatar naona Kama ni ya my life my purpose, Fanya mambo aliyokiri kukosea mzee huyo kwa avatar, otherwise weka picha nyingine tu, ili uyasemayo yaweyanaendana na uhalisia.Maswali ya usaliti wa Nchi aulizwe lissu
Huyu mwisho wake 28/10/2020. Hachomoki!Pia rais anaejiamini sio kufunga mabarabara ya pale Ikulu kuogopaogopa anatuletea usumbufu sana wananchi kuzunguzunguka anafanya barabara kama mali zake binafsi yani nna hamu nae mimi huyu $%##@@*&&&&...
Tukutane tr 28 October
Mimi na familia yangu tutampigia piaMsaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Aliwatetea Mabeberu yatuibie madini yetu ila Mzalendo Magufuli Rais akatutetea
Ana laana huyo lissu
Sisi tunajiamini buanaHahaha! Mtamponza arudi Chato kwa miisifa mnayomwagia
Tusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.
Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.
28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.
View attachment 1595370
Ukishamaliza kumsikiliza huyo kibaraka Zuhura Yunus, umsikilize waziri husika. Usiporidhika nenda wizarani kaombe documents uone na kama haitoshi kawaone barrick watakupa maelezo. Kushikiliwa akili sio powaHivi akili yako ina akili kweli umeona mkataba wa madini wa 2015 na wa 2017 huo uliosainiwa upya kwa akili yako nan msaliti au nani amewapa wazungu madin kuna mda inabidi ww na chama chako mjitafakari watanzania wote sio wajinga mpk BBC ina waumbua hovyo kabsa ukifikiria tumbo utazidi kuwa mtumwa wa fikra ila ukiwaza kwa akili utajikomboa ww na familia yako n ukoo wako
Mkuu, yaani unapoteza muda wako kubishana na bia?!Amesaliti kwa kitu gani, tuanzie hapo
loud and clearLisu ndiye rais ajaye. Nothing less nothing more
Mkuu, yaani unapoteza muda wako kubishana na bia?!
Hivi akili yako ina akili kweli umeona mkataba wa madini wa 2015 na wa 2017 huo uliosainiwa upya kwa akili yako nan msaliti au nani amewapa wazungu madin kuna mda inabidi ww na chama chako mjitafakari watanzania wote sio wajinga mpk BBC ina waumbua hovyo kabsa ukifikiria tumbo utazidi kuwa mtumwa wa fikra ila ukiwaza kwa akili utajikomboa ww na familia yako n ukoo wako
Ukishamaliza kumsikiliza huyo kibaraka Zuhura Yunus, umsikilize waziri husika. Usiporidhika nenda wizarani kaombe documents uone na kama haitoshi kawaone barrick watakupa maelezo. Kushikiliwa akili sio powa
Aliwatetea Mabeberu yatuibie madini yetu ila Mzalendo Magufuli Rais akatutetea
Ana laana huyo lissu
Lissu hata jutia ,Mana atatuletea katiba mpya , na tume huru, Iyo avatar naona Kama ni ya my life my purpose, Fanya mambo aliyokiri kukosea mzee huyo kwa avatar, otherwise weka picha nyingine tu, ili uyasemayo yaweyanaendana na uhalisia.
Miaka yote wakati tunaibiwa rais alikuwa Mbowe au sio
Msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Kusimamia kile unachokiamini ni jambo jema sana kama utakua na uhakika ndicho kitu sahihi vinginevyo fanya utafiti ujiridhishe uko sahihi. Bila utafiti wa kutosha unawezajikuta unasimamia kitu ninachokifanya kuonekana usiekua na uelewa katika jamiiTuache ushabiki wa vyama tuweke mustakabali wataifa mbele sijawai kuwa mtumwa wa fikra wala kulamba viatu kisa chama au mtu nitasimamia kile nachokiamini na ntaamini kile nachosimamia amini unacho amini na mm ni amini ninacho amini .
Huyo anafanya nn hapo?Lissu ndio Aliwatetea Mabeberu