Angalizo:Form Six wamemaliza mitihani yao mada zisizo na kichwa wala miguu zitajaa humu

Angalizo:Form Six wamemaliza mitihani yao mada zisizo na kichwa wala miguu zitajaa humu

Mkuu kama huyo alie kwenye picha ni wewe basi mbona ni walewale unaowazungumzia
 
Kwanza umeweka avatar ya picha yako kitu ambacho hakuna mtu mzima anaweza fanya humu zaidi ya lemutuz.

Pili uandishi na muonekano wako vinafanana kabisa na mwanafunzi kama sio wa secondary basi chuo.ni assumptions tu lakini
 
Mkuu uko sahihi kuna mmoja juzi kajiunga kwa jina la najua kusoma ameanzisha uzi wa udhalilishaji dhidi ya akina mama wanaojifungua kisha wakaongezewa njia ya uzazi the way alovyoileta hiyo thread yaan upuuz mtupu kwan nadhan yuko na tatizo flaan
 
Mkuu uko sahihi kuna mmoja juzi kajiunga kwa jina la najua kusoma ameanzisha uzi wa udhalilishaji dhidi ya akina mama wanaojifungua kisha wakaongezewa njia ya uzazi the way alovyoileta hiyo thread yaan upuuz mtupu kwan nadhan yuko na tatizo flaan
Hapo ndo wanaanza anza swahiba ngoja mambo yachanganye uone balaa lake.
 
Wakuu naomba nitoe angalizo mapema hasa kwa wale ambao hawachelewi kutoa povu

Hawa wadogo zetu wa kidato cha sita wamemaliza pepa zao hivyo muwavumilie tu mpaka mwezi wa kumi watakapoenda vyuoni maana humu ndani watatujazia mada zisizokuwa na kichwa wala miguu kiasi kwamba mtu usiyeweza kujizuia hasira utakuwa kila siku mtu wa kulambwa ban maana kuna mada huwa zinakarahisha sana ukizisoma.


Tegemeeni mada za kutafuta wachumba humu zikijaa ,mada za tuliosoma PCM,PCB ECA,HKL etc tukutane hapa.
Tegemeeni mada za kushindanishwa vyuo humu zikijaa,etc.
Sure[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom