steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Natumai wazima wote leo nilikuwa natamani tushee Jambo moja na watanzania wenzangu mnaohitaji kuja kutafuta ajira huku SA
Ukweli ni kwamba ajira huenda zikawepo ila siyo kwa watanzania
Huenda hujanielewa watanzania huku hatuaminiki, ni vigumu mtu kukuamini kukupa kazi wengi "wezi' hali iliyopelekea kupunguza imani juu yetu
Huku unaweza kukuta wabongo 200 ila walioajiriwa hawazidi 40 wengi wezi Hawa hujiita "26" Hawa ni wabaya hawamwangalii wa kumuibia na waliobaki wamejiajiri kama kuuza matunda nk
Tatizo letu kubwa tunakuja SA kuja kutafuta ajira tukiwa hatuna msingi tukija tunashtukia kuwa hakuna ajira
Wenzetu Wasomali, Ethiopians, Nigerians huwa wanakuja huku na mitaji yao hata ukiwaona Wasomali wameshikwa huko Tanzania pale wanakuwa wamejipanga wanahela wakija huku wanafungua biashara wanatoboa pia wanasaidiana na kiukweli wana hela ila kwa watanzania ni kinyume
Ushawahi sikia vurugu dhidi ya watanzania? Natives wa huku huwa hawamchukii mtu asiye na mafanikio na wabongo hatuna chochote ndiyo maana hawatufanyii vurugu kama kwa wanaijeria na wengine
Wabongo huku tunauana miezi miwili ilyopita Johannesburg watanzania wamemuua mtanzania mwenzao kisa Randi 8000 sasa imagine
Nia na madhumuni ya uzi huu wewe unaetaka kuja huku jipange uwe na mtaji huku sasa hivi ajira kwa wabongo hamna brothers wa miaka ya 90s Washa tuharibia CV pamoja na watoto wa Dar Hawa huja SA kufata life style tu hawana malengo ndiyo wanaofanya watanzania woote huku tuonekane wazurulaji pia ndiyo wanaongoza kwa kuuana Kisha kusafirisha maiti kurudi Dar
NB: Kila mtu anabahati yake kana unakuja njoo ujaribu bahati yako ila jipange kisaikolojia
Ukweli ni kwamba ajira huenda zikawepo ila siyo kwa watanzania
Huenda hujanielewa watanzania huku hatuaminiki, ni vigumu mtu kukuamini kukupa kazi wengi "wezi' hali iliyopelekea kupunguza imani juu yetu
Huku unaweza kukuta wabongo 200 ila walioajiriwa hawazidi 40 wengi wezi Hawa hujiita "26" Hawa ni wabaya hawamwangalii wa kumuibia na waliobaki wamejiajiri kama kuuza matunda nk
Tatizo letu kubwa tunakuja SA kuja kutafuta ajira tukiwa hatuna msingi tukija tunashtukia kuwa hakuna ajira
Wenzetu Wasomali, Ethiopians, Nigerians huwa wanakuja huku na mitaji yao hata ukiwaona Wasomali wameshikwa huko Tanzania pale wanakuwa wamejipanga wanahela wakija huku wanafungua biashara wanatoboa pia wanasaidiana na kiukweli wana hela ila kwa watanzania ni kinyume
Ushawahi sikia vurugu dhidi ya watanzania? Natives wa huku huwa hawamchukii mtu asiye na mafanikio na wabongo hatuna chochote ndiyo maana hawatufanyii vurugu kama kwa wanaijeria na wengine
Wabongo huku tunauana miezi miwili ilyopita Johannesburg watanzania wamemuua mtanzania mwenzao kisa Randi 8000 sasa imagine
Nia na madhumuni ya uzi huu wewe unaetaka kuja huku jipange uwe na mtaji huku sasa hivi ajira kwa wabongo hamna brothers wa miaka ya 90s Washa tuharibia CV pamoja na watoto wa Dar Hawa huja SA kufata life style tu hawana malengo ndiyo wanaofanya watanzania woote huku tuonekane wazurulaji pia ndiyo wanaongoza kwa kuuana Kisha kusafirisha maiti kurudi Dar
NB: Kila mtu anabahati yake kana unakuja njoo ujaribu bahati yako ila jipange kisaikolojia