uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Wanaiita bangi, makwere kwereKuuza Bangi mtaji milioni Tatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaiita bangi, makwere kwereKuuza Bangi mtaji milioni Tatu
Hahahahahahahahahaahah!Mbona wanatutupiaga mapicha mingi mingi ndani ya ndinga za wakina bmw huku wanabang na mabebe wakizungu na kizulu
😒😒Amedata..anashinda anaomba bia bar
Doh noma sana...... acha tubaki tu hapahapa buku 2 wali nyama mboga tatuHahahahahahahahahaahah!
Mkuu kuwa makini aiseee. Watakuibia!!!!
Juzi mmoja kafiwa na baba yake mzazi huku nkashindwa kuja msibani hana nauli. Sio suala la covid au nini, no yaani hana nauli
Mkuu kwa kuchukulia Swazi au wapi siku hiziKuuza Bangi mtaji milioni Tatu
Inaonesha unapenda kusikia sikia eeh🤔Nasikia Rand inathamani kuliko hivi vishilingi vyetu
Tena on a serious note mwanangu Kaboka mchizi, komaa tu hapa hapa mpaka utoboeDoh noma sana...... acha tubaki tu hapahapa buku 2 wali nyama mboga tatu
Mnaacha Kwenda Mikoa Yenye Fursa Huko ChettleSA kuna fujo sanaa kheri mtu uende hata Botswana
Sio hivyo Darling ni kwenye kupeana michongoInaonesha unapenda kusikia sikia eeh🤔
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wanaiita bangi, makwere kwere
Mtaji angalau dollars 4000 na biashara nzuri kufanya ni duka la vyakula many peoples huku wananunua chakula dukani miji mizuri ni Capetown ila kule maisha ghari, polokwane, East London, port Elizabeth hii mini hata vurugu ni chache ina wazungu wengi huwa hakuna vurugu sanaMfano kwa kuanzia uwe Na mtaji wa shilling ngapi za kitanzania ukija huko ili angalau mambo yaende?
Biashara gani maeneo yapi au miji ipi unaweza kutoboa kirahisi?
Kama una elimu mfano diploma au digrii ni specialization zipi ambazo kupata ajira ni rahisi?
Saidia mkuu, nafikiri wengi tutafaidika
Wewe ulikuwa unachukulia wapi?? [emoji38][emoji38][emoji38]Mku kwa kuchukulia Swazi au wapi siku hizi
Kusafiri ni kujifunza Mku usiogope kwani afadhali South ya leo sio ile ya miaka 90 ilikuwa mbaya sana.Doh noma sana...... acha tubaki tu hapahapa buku 2 wali nyama mboga tatu
Huyo anaekwambia kunamchongo utakuta wanakaa watu sita geto moja wengi sio wakweliMbona tunaambiwa michongo kibao huko bondeni
Makwerekwere ni Wakimbizi au Wageni[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Alipotea mazima hata salamu hakuna!!??Yaan alipotea kama ndege ya malaysia
Miaka ya 90 uchumi ulikuwa juu wazawa walikuwa wanapewa mpaka nyumba bure saivi hali ngumu wazawa wengi wanakimbilia maputoKusafiri ni kujifunza Mku usiogope kwani afadhali South ya leo sio ile ya miaka 90 ilikuwa mbaya sana.
Miaka hiyo Wazulu awalikuwa wanamuua Mtu ndo wanamsachi lakini sikuhizi Wazulu anajua kumkaba mtu bila ya kuua
Huko sio pa kwenda kufanya biashara,haohao wabongo ukitua tu wanakupora.Mfano kwa kuanzia uwe Na mtaji wa shilling ngapi za kitanzania ukija huko ili angalau mambo yaende?
Biashara gani maeneo yapi au miji ipi unaweza kutoboa kirahisi?
Kama una elimu mfano diploma au digrii ni specialization zipi ambazo kupata ajira ni rahisi?
Saidia mkuu, nafikiri wengi tutafaidika
Ndugu Mimi welder pia machenist huwa najishikiza sehemu tofauti shortly sielewekiSawa sisi tumekusikia na tumekubali hatuji, Ila hebu tuambie ww Mwenzetu huko unafanya Mishe gani? Kwann hadi Leo hii bado umeng'ang'ania huko na hutaki kurudi tuendelee na Kilimo Kijijini huku Igembensabo?
Swazi miaka 96.Wewe ulikuwa unachukulia wapi?? [emoji38][emoji38][emoji38]