imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mbona nasikia kudanga Sauzi kunalipaPole yake aisee,😀 yaani watu tunaamini ukitoka nje huko ni rahisi kutoboa kumbe huko pia wanatamani kutoka waje huku kwetu( yaani nao wana struggle tu). Naamini mapambano popote tu ndani ama nje unaweza kutoboa muhimu ni ubunifu.🤔