Angalizo: Lissu ni kama Magufuli , mihemuko mingi na one-man-show kwa kwenda mbele!

Angalizo: Lissu ni kama Magufuli , mihemuko mingi na one-man-show kwa kwenda mbele!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Ni ushauri tu kwa CHADEMA, toka kwa kada wa siku nyingi wa wapinzani wenu CCM.

Mnaye kada wa chama chenu Tundu Lissu ambaye anajongea kiti cha uenyekiti wa CHADEMA.
Huyu Lissu anafaa nafasi ya storm toopers, askari wa kushambulia wapinzani wenu.
Lakini hafai hafai hafai kuwa Mwenyekiti atakayeweza kuongoza kiti cha chama , au kuwa mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Niliyoyaona kwa Lissu-
1. Anashambulia kila kitu hata akikalia kuti kavu
2. Hana staha kwatika maneno, hivyoo kuibua hasira(toka kwa Magufuli) ambazo nusura zimuondoe duniani
3. Hasikilizi na kukubaliana na wenzake kiurahisi akijua yeye ndiye ana fikra sahihi(zidumu fikra za Lissu)
4. Kiujumla ni mbishi
5. Kifamilia hayuko vizuri sana.

Siye tunaonya tu, fuatilia hizo points na mfikirie Magufuli katika kila point.
Tuliwahi kuonya juu ya Magufuli.

NB
This is NOT an endorsement ya Mbowe luwa Mwenyekiti.
 
Ni ushauri tu kwa CHADEMA, toka kwa kada wa siku nyingi wa wapinzani wenu CCM.

Mnaye kada wa chama chenu Tundu Lissu ambaye anajongea kiti cha uenyekiti wa CHADEMA.
Huyu Lissu anafaa nafasi ya storm toopers, askari wa kushambulia wapinzani wenu.
Lakini hafai hafai hafai kuwa Mwenyekiti atakayeweza kuongoza kiti cha chama , au kuwa mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Niliyoyaona kwa Lissu-
1. Anashambulia kila kitu hata akikalia kuti kavu
2. Hana staha kwatika maneno, hivyoo kuibua hasira(toka kwa Magufuli) ambazo nusura zimuondoe duniani
3. Hasikilizi na kukubaliana na wenzake kiurahisi akijua yeye ndiye ana fikra sahihi(zidumu fikra za Lissu)
4. Kiujumla ni mbishi
5. Kifamilia hayuko vizuri sana.

Siye tunaonya tu, fuatilia hizo points na mfikirie Magufuli katika kila point.
Tuliwahi kuonya juu ya Magufuli.
Naunga mkono hoja Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! Ila pia ndie the one and only mwenye uwezo wa kuipeleka Chadema ikulu. Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
P
 
Lissu siyo mwanasiasa kwa jinsi ile ile Magu hakuwa mwanasiasa ndo maana mifumo ya Kiutawala na Vyama vyenu vya kisiasa vinawaona hawafai.
Kuwa mwanasiasa inahitaji kujitoa ufahamu kuwa mwongo, tapeli, mnafki na ufisadi ukisindikizana nao,,,
Ndo maana mpaka leo bado mnajitahidi kila mfanyalo mnajifananisha na Magu.
Unamwita ONE-MAN-SHOW kwasababu alitaka kuvunja mfumo unaoendeshwa na wezi kwa manufaa yao ya wizi.. too bad kwamba hiyo kitu haiwezekani..
 
Ni ushauri tu kwa CHADEMA, toka kwa kada wa siku nyingi wa wapinzani wenu CCM.

Mnaye kada wa chama chenu Tundu Lissu ambaye anajongea kiti cha uenyekiti wa CHADEMA.
Huyu Lissu anafaa nafasi ya storm toopers, askari wa kushambulia wapinzani wenu.
Lakini hafai hafai hafai kuwa Mwenyekiti atakayeweza kuongoza kiti cha chama , au kuwa mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Niliyoyaona kwa Lissu-
1. Anashambulia kila kitu hata akikalia kuti kavu
2. Hana staha kwatika maneno, hivyoo kuibua hasira(toka kwa Magufuli) ambazo nusura zimuondoe duniani
3. Hasikilizi na kukubaliana na wenzake kiurahisi akijua yeye ndiye ana fikra sahihi(zidumu fikra za Lissu)
4. Kiujumla ni mbishi
5. Kifamilia hayuko vizuri sana.

Siye tunaonya tu, fuatilia hizo points na mfikirie Magufuli katika kila point.
Tuliwahi kuonya juu ya Magufuli.
Wewe jinga tupu. Magufuli kaingiaje hapo
 
Lissu siyo mwanasiasa kwa jinsi ile ile Magu hakuwa mwanasiasa ndo maana mifumo ya Kiutawala na Vyama vyenu vya kisiasa vinawaona hawafai.
Kuwa mwanasiasa inahitaji kujitoa ufahamu kuwa mwongo, tapeli, mnafki na ufisadi ukisindikizana nao,,,
Ndo maana mpaka leo bado mnajitahidi kila mfanyalo mnajifananisha na Magu.
Unamwita ONE-MAN-SHOW kwasababu alitaka kuvunja mfumo unaoendeshwa na wezi kwa manufaa yao ya wizi.. too bad kwamba hiyo kitu haiwezekani..
Na ndo maana Magufuli alikufa - one man show ni kujikaanga - utapata stress kwa kutaka kubeba matatizo ya watu personally.
Huyu Lissu naye asifikiri kuingoza taasisi ni kitu chepesi atapoteana..Unasema et anavunja mfumo wa wizi kumbe na yeye yuko kwenye mfumo bila hata kutambua ..Nyie kuongoza watu sio mchezo..Magu na ubabe wake wote, na vyombo vyote vya Dola still alikua anataka kutoa chozi - anaagiza vitu havifanyiki, anaweka hiki watu wanapiga humohumo..
 
Na ndo maana Magufuli alikufa - one man show ni kujikaanga - utapata stress kwa kutaka kubeba matatizo ya watu personally.
Huyu Lissu naye asifikiri kuingoza taasisi ni kitu chepesi atapoteana..Unasema et anavunja mfumo wa wizi kumbe na yeye yuko kwenye mfumo bila hata kutambua ..Nyie kuongoza watu sio mchezo..Magu na ubabe wake wote, na vyombo vyote vya Dola still alikua anataka kutoa chozi - anaagiza vitu havifanyiki, anaweka hiki watu wanapiga humohumo..
Ndo ilivyo, kuna KANUNI ZA MAISHA huwa zipo tu yaani, Rais ni kama ALAMA tu ya serikali ambayo ni LIDUDE LIKUBWA hata waliopo hawajuani ila mfumo unawaendesha. Sasa ukitaka kuu-control huo mfumo UTAKUTAPIKA.
Ndo maana SIASA haihitaji HASIRA ila akili tu ya kucheza na nyakati na mihemuko ya watu.

LISSU anatumia MIHEMUKO ya kuonewa HURUMA inayotumika na MBOWE dhidi ya CCM,, wakati Mbowe anatumia akili tu dhidi yake..
 
Lissu siyo mwanasiasa kwa jinsi ile ile Magu hakuwa mwanasiasa ndo maana mifumo ya Kiutawala na Vyama vyenu vya kisiasa vinawaona hawafai.
Kuwa mwanasiasa inahitaji kujitoa ufahamu kuwa mwongo, tapeli, mnafki na ufisadi ukisindikizana nao,,,
Ndo maana mpaka leo bado mnajitahidi kila mfanyalo mnajifananisha na Magu.
Unamwita ONE-MAN-SHOW kwasababu alitaka kuvunja mfumo unaoendeshwa na wezi kwa manufaa yao ya wizi.. too bad kwamba hiyo kitu haiwezekani..
Watu wanafahamu mengi ya Magufuli, wanahifadhi tu.
 
Lissu siyo mwanasiasa kwa jinsi ile ile Magu hakuwa mwanasiasa ndo maana mifumo ya Kiutawala na Vyama vyenu vya kisiasa vinawaona hawafai.
Kuwa mwanasiasa inahitaji kujitoa ufahamu kuwa mwongo, tapeli, mnafki na ufisadi ukisindikizana nao,,,
Ndo maana mpaka leo bado mnajitahidi kila mfanyalo mnajifananisha na Magu.
Unamwita ONE-MAN-SHOW kwasababu alitaka kuvunja mfumo unaoendeshwa na wezi kwa manufaa yao ya wizi.. too bad kwamba hiyo kitu haiwezekani..
Kwahiyo JPM hakua Mwanasiasa.

Mtu ambae amekua mbunge kwa zaidi ya miaka 20.
Akawa Waziri, na baadae kuwa Rais, halafu utauambie hakuwa Mwanasiasa.
 
maridhiano yenu na mbowe ndo yanawapa SHIDA...mkutano mkuu wachadema haujui chochote
 
Ni ushauri tu kwa CHADEMA, toka kwa kada wa siku nyingi wa wapinzani wenu CCM.

Mnaye kada wa chama chenu Tundu Lissu ambaye anajongea kiti cha uenyekiti wa CHADEMA.
Huyu Lissu anafaa nafasi ya storm toopers, askari wa kushambulia wapinzani wenu.
Lakini hafai hafai hafai kuwa Mwenyekiti atakayeweza kuongoza kiti cha chama , au kuwa mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Niliyoyaona kwa Lissu-
1. Anashambulia kila kitu hata akikalia kuti kavu
2. Hana staha kwatika maneno, hivyoo kuibua hasira(toka kwa Magufuli) ambazo nusura zimuondoe duniani
3. Hasikilizi na kukubaliana na wenzake kiurahisi akijua yeye ndiye ana fikra sahihi(zidumu fikra za Lissu)
4. Kiujumla ni mbishi
5. Kifamilia hayuko vizuri sana.

Siye tunaonya tu, fuatilia hizo points na mfikirie Magufuli katika kila point.
Tuliwahi kuonya juu ya Magufuli.

NB
This is NOT an endorsement ya Mbowe luwa Mwenyekiti.
Ndio dunia ya Leo inaowataka 😂
 
Ni ushauri tu kwa CHADEMA, toka kwa kada wa siku nyingi wa wapinzani wenu CCM.

Mnaye kada wa chama chenu Tundu Lissu ambaye anajongea kiti cha uenyekiti wa CHADEMA.
Huyu Lissu anafaa nafasi ya storm toopers, askari wa kushambulia wapinzani wenu.
Lakini hafai hafai hafai kuwa Mwenyekiti atakayeweza kuongoza kiti cha chama , au kuwa mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Niliyoyaona kwa Lissu-
1. Anashambulia kila kitu hata akikalia kuti kavu
2. Hana staha kwatika maneno, hivyoo kuibua hasira(toka kwa Magufuli) ambazo nusura zimuondoe duniani
3. Hasikilizi na kukubaliana na wenzake kiurahisi akijua yeye ndiye ana fikra sahihi(zidumu fikra za Lissu)
4. Kiujumla ni mbishi
5. Kifamilia hayuko vizuri sana.

Siye tunaonya tu, fuatilia hizo points na mfikirie Magufuli katika kila point.
Tuliwahi kuonya juu ya Magufuli.

NB
This is NOT an endorsement ya Mbowe luwa Mwenyekiti.
Wenye masikio na wasikie.
Kweli Lissu ni Storm trooper, si generali!
 
Lissu siyo mwanasiasa kwa jinsi ile ile Magu hakuwa mwanasiasa ndo maana mifumo ya Kiutawala na Vyama vyenu vya kisiasa vinawaona hawafai.
Kuwa mwanasiasa inahitaji kujitoa ufahamu kuwa mwongo, tapeli, mnafki na ufisadi ukisindikizana nao,,,
Ndo maana mpaka leo bado mnajitahidi kila mfanyalo mnajifananisha na Magu.
Unamwita ONE-MAN-SHOW kwasababu alitaka kuvunja mfumo unaoendeshwa na wezi kwa manufaa yao ya wizi.. too bad kwamba hiyo kitu haiwezekani..
Tundu Lissu anahitajika kwa kurejesha heshima ya JMT
 
Ni ushauri tu kwa CHADEMA, toka kwa kada wa siku nyingi wa wapinzani wenu CCM.

Mnaye kada wa chama chenu Tundu Lissu ambaye anajongea kiti cha uenyekiti wa CHADEMA.
Huyu Lissu anafaa nafasi ya storm toopers, askari wa kushambulia wapinzani wenu.
Lakini hafai hafai hafai kuwa Mwenyekiti atakayeweza kuongoza kiti cha chama , au kuwa mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Niliyoyaona kwa Lissu-
1. Anashambulia kila kitu hata akikalia kuti kavu
2. Hana staha kwatika maneno, hivyoo kuibua hasira(toka kwa Magufuli) ambazo nusura zimuondoe duniani
3. Hasikilizi na kukubaliana na wenzake kiurahisi akijua yeye ndiye ana fikra sahihi(zidumu fikra za Lissu)
4. Kiujumla ni mbishi
5. Kifamilia hayuko vizuri sana.

Siye tunaonya tu, fuatilia hizo points na mfikirie Magufuli katika kila point.
Tuliwahi kuonya juu ya Magufuli.

NB
This is NOT an endorsement ya Mbowe luwa Mwenyekiti.
6. Anachuki na Ndege za Tanzania.
 
Back
Top Bottom