Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Tuliza Mchecheto Wewe Hujui Taifa Stars Wanawakilisha Taifa. Tena Wakishinda Jumatatu Ni Mapumziko Hakuna Kufanya Kazi Nchi Nzima
Simba hawakilishi taifa? Hayo mapumziko ya Makonda hayatakuwa hata Stars ikishinda, yatawezekana tu iwapo Stars itabeba kombe la Afrika, aliyosema Makonda ni porojo za siasa.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu keshaingilia hili suala ujue tayari tushafungwa...ndege wa Joni ndege Joni
 

Tatizo la soccer hata aongee mtu kuwa anamiliki bara la africa achilia mbali jiji la dar, maandalizi ya timu, upangaji sahihi wa timu, majukumu na kujituma ndo huwa vinaleta matokeo, sasa mchezaji nacheza mpira huku anawaza yule jamaa anayemchukia ndo mkuu wa kuhamasisha ushindi unafkiri itakuwaje? tuseme tu ukweli, kuna timu huwa zinafungiwa zinacheza bila mashabiki wao na zinashinda vilevile, sasa hapa kwetu ni kipi tunahamasisha haswa hadi kumuweka mtu ambaye kwa asilimia kubwa hakubaliki katika nchi kuwa kiongozi wa kamati ya ushindi? ni nini haswa tunatafuta? hizi siasa zetu hizi.
 
Wauza vinywaji lazima waunde kamati ya fitina kuhakikisha tunafungwa haiwezekan faida ya bia shilingi mia tatu alafu uuze upate hasara 700
 
Go Uganda....goooo....sijui kwanini nimeipenda Uganda ghafla?
 
zaidi ya kulala na mkewe huyu hana jambo alililo wala atakalofanikiwa huyu bashite ni mpuuzi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mitanzania inazungushwa kama saa!

Tumeacha ya Maalim Seif na safali hii tuko kwenye mpira!

Shikamo wana kitengo

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kitengo, unataka watu aongelee kitu kimoja kwa siku ngapi, jambo lolote likijitokeza linapaswa kujadiliwa likishaeleweka linakufa lenyewe by natural death. Maalimu ni Zitto leo wako Pemba na kazi zingine zinaendelea kama kawaida.
 
Let's go Uganda
Let's go Lesotho
Hawa mapoyoyo tutabaki nayo hapa hapa hawaendi popote kule.
MUNGU IBARIKI UGANDA
MUNGU IBARIKI LESOTHO.
AMEN.
Tusipangiane vitu vya kufanya.
 
Mbona mashabiki wa Christian Ronaldo wanahama nae kila anapoenda.....kwann mashabiki wa okwi tusihame nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tff yenyewe imekua kama tawi la ccm. Ni upuuzi mtupu unaendelea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…