wakali ndondo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 389
- 607
Tumezoea mambo ya ki zima moto!! Toka mwanzoni walikuwepo ngoma inapokuwa ngumu ndio wanakuja na slogan za ajabu ajabu!!! Mpira ni maandaliza na sio siasa, eti pombe zitauzwa nusu bei!!! Sasa hivi husikii kocha anashutumiwa bado muda wake, ngoja baada ya mechi halafu matokeo yawe yale ambayo ndio stahiki yetu.Kazi kweli kweli.........sijui tulikuwa wapi tangu mwanzo mechi ile ya Lesotho chamazi.....Tz tunapenda sana zima moto na shortcut,saiz tunaomba tushinde eti tunawaombea Lethoto wapigwe...Tz buana
Hahaaaa!! Kuna ujumbe wa CAF, utakuwa uwanjani kuangalia hicho unachowaza na ole wako walione hilo, UGANDA inakula kwake!!! Na ki uhalisia kumfunga ipo kazi ila.....
Upuuzi mtupu, hama nchi kama uko na Rais wako tofauti na Magufuli mfuate hukohuko, Tanzania iko na mkuu wa nchi mmoja tu, anayehisi kumtambua ni kuligawa Taifa ahame nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano ni Uganda timu yao inayokuja kucheza afcon Tz ya vijana under 17 imeenda kujiandaa south Africa,sisi tunasubilia miujiza na kauli za kijinga za kina Makonda eti mashehe,wachungaji waombee timu ishinde.....kila jambo tunadhani ni miujiza tu bila maandalizi.Tumezoea mambo ya ki zima moto!! Toka mwanzoni walikuwepo ngoma inapokuwa ngumu ndio wanakuja na slogan za ajabu ajabu!!! Mpira ni maandaliza na sio siasa, eti pombe zitauzwa nusu bei!!! Sasa hivi husikii kocha anashutumiwa bado muda wake, ngoja baada ya mechi halafu matokeo yawe yale ambayo ndio stahiki yetu.
Wameshaona watu mazuzu!! Ndio maana humo mtu achomekee na siasa!! Mpenzi wa mpira hapelekwi uwanjani kwa matamko/kuombwa bali huenda mwenyewe kutokana na matokeo mazuri ya timu!!! Mala eti PM, waombe mizimu ya baba yako huko!!! Mala daladala zote siku hiyo ruksa kutofuata route zao wewe watoe sehemu yoyote wapeleke taifa, ukikamatwa nipigie simu!!!! Kweli afrika ni tabu toka lini mtu anafundishwa /hamasishwa UZALENDO??? Hicho ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho ila kutokana na uhuni wa viongozi wetu mtu lazima uzalendo upoteee!!! Kama juzi tu simba kushinda tayari imesha kuwa ni agenda ya kisiasa, RC anasema ni matokeo ya kutekereza ilani ya CCM!!!, We subilia mungu sio mzee mkumba kunguru mala pa amemnyea mtu!!! Tayari itaingia kwenye ahadi za 2015-2020!!!Mfano ni Uganda timu yao inayokuja kucheza afcon Tz ya vijana under 17 imeenda kujiandaa south Africa,sisi tunasubilia miujiza na kauli za kijinga za kina Makonda eti mashehe,wachungaji waombee timu ishinde.....kila jambo tunadhani ni miujiza tu bila maandalizi.
Kuelekea 2020 tutaona mengi sana mkuu,hata ligi mitaani na printed t-shirt za wanasiasa utaona.......uzalendo ni automatic tu,nakumbuka game ya kwanza kabisa Lethoto pale chamazi mm nilikuwepo, uwanja unacapacity ya kubeba around watu elf 7 ila haukujaa na hakuna hakuna alikuwa na mzuka na kelele hizi,Sasa saizi wanaboa sana hadi eti kina wema sepetu? Aaah kila mtu anataka eti kuandika historiaWameshaona watu mazuzu!! Ndio maana humo mtu achomekee na siasa!! Mpenzi wa mpira hapelekwi uwanjani kwa matamko/kuombwa bali huenda mwenyewe kutokana na matokeo mazuri ya timu!!! Mala eti PM, waombe mizimu ya baba yako huko!!! Mala daladala zote siku hiyo ruksa kutofuata route zao wewe watoe sehemu yoyote wapeleke taifa, ukikamatwa nipigie simu!!!! Kweli afrika ni tabu toka lini mtu anafundishwa /hamasishwa UZALENDO??? Hicho ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho ila kutokana na uhuni wa viongozi wetu mtu lazima uzalendo upoteee!!! Kama juzi tu simba kushinda tayari imesha kuwa ni agenda ya kisiasa, RC anasema ni matokeo ya kutekereza ilani ya CCM!!!, We subilia mungu sio mzee mkumba kunguru mala pa amemnyea mtu!!! Tayari itaingia kwenye ahadi za 2015-2020!!!
Heshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.
Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa.
Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.
Nilipoona akina Wema na Steve nikajua huu ni upuuzi.....Binafsi jpili hii nitakua upande wa UGANDA
siwezi kuhamasishwa kushangilia na kina Wema, Steve, JB & CO
Upuuzi mtupu, hama nchi kama uko na Rais wako tofauti na Magufuli mfuate hukohuko, Tanzania iko na mkuu wa nchi mmoja tu, anayehisi kumtambua ni kuligawa Taifa ahame nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mechi tungeimaliza kidiplomasia kwa magu kupiga simu kwa mu7 mambo yakaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Na jinsi watu walivyojazwa upepo(matumaini) haki ya mungu hiyo jpili, uonekane mbongo una jezi ya the cranes taifa, utashambuliwa tena mbele ya polisi kabisa!! Kuwa wewe ni adui wa taifa!!! Au itokee okwi aifungie timu yake bao la ushindi bwana weee, kwa akili za washabiki wa kibongo atatangazwa kuwa ni adui wa taifa, na atapata tabu sana kuishi Tz!! Wakati kwa waelewa ni kawaida tu.Yani bashite kuhusika tu tayari tushafungwa, mimi niko pia upande wa Uganda kwani siwezi kaa sehemu moja na DAB
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuunga mkono juhudi za mtukufu malaika toka chato pengine ndiyo Sumu ya maendeleo kwa sasa kwani wengi huunga mkono kinafiki wapate vyeo madaraka nk kwenye michezo kumweka Bashite Maliyamungu ni jambo la kusikitisha kwani Wapinzani wote hawatakwenda uwanjaniTuiombee tu timu yetu ya Taifa ishinde na kufuzu hiyo afcon. Ingawa natambua huo ushindi iwapo utapatikana, tutaambiwa ni kwa sababu ya mafanikio ya mtu fulani pasipo kuwapa heshima wanaostahili (wachezaji na benchi la ufundi). Kila kitu tunatanguliza siasa tu na siyo uzalendo.