Mpumbavu ni wewe unayefikiri Taifa Stars ni ya Dar es salaam kama anavyodhani Makonda, mwambie asituharibie mpira wetu zaidi ya hapa ulivyo, asiingize siasa kwenye mpira, mpira hauna cha kusaidiwa na polisi wala NEC kushinda.Hakuna Watu Wapumbavu Hapa Tanzania Kama Wafuasi Wa Chadema Yaani Taifa Stars Wafungwe Kwa Ajil Ya Makonda? Kama Hamumpendi Makonda Hameni Dar Es Salaam Basi Achen Upumbavu Mabwege Nyie
Kama CCM mkiendelea kuingiza siasa kwenye mpira mkidhani mnaenda kushindana na Chadema au ACT, kwa Cranes mnaweza kujikuta mnapigwa 5 bila, ze cranes siyo wa mchezo mchezo.comments za kitoto mno toka kwa bavicha.
Nenda tuu mkuu lakn mzuka wote hamishia kwa ze kreni,.Nilikuwa nimekata ticket ya VIP.
Nimeiuza bora nikanywe zangu Beer na Kitimoto na Kuhonga
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
Hata uingereza hawamtukuzi hivyo malkia!!
Halafu na Lesotho nao?hii nisawa na kuziba mbele then unaachia nyumaHii mechi tungeimaliza kidiplomasia kwa magu kupiga simu kwa mu7 mambo yakaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeeNilikuwa nimekata ticket ya VIP.
Nimeiuza bora nikanywe zangu Beer na Kitimoto na Kuhonga
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
Nilidhani anaisifia CCM kumbe anamsifia Rais wa Watanzania na Serikali ya Tanzania,tatizo liko wapi? Wewe kama humpendi Rais wa nchi na Serikali hilo halituhusuHeshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.
Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa.
Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.
Mimi naiombea Lesotho washinde,nyie hata mkishinda goals kumi ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.Hii political mentality nnayoiona hapa kama ipo kwa wachezaji pia, nnaona tumeshafungwa kabla ya mechi, Ila kwa spirit ya Utanzania wangu naiombea Taifa Stars ishinde, Ushindi wao is proud to us all beyond our borders[emoji1374][emoji1374]
Tuko wote, pamoja na makonda kutia najisi naomba Taifa stars ishinde vile vile naiombea Lesotho ishinde.
Hahahahahaa kumbe anamsifia Jiwe badala ya kuita watu uwanjani kweli huyu FA FA FA FA FA .....(in Gwajima's voice)Heshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.
Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa.
Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.
Hahaaaaa watu mmechoka hatareeee