Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hata wakipanga na kumfunga Uganda goas 10 haitakuwa na maana iwapo timu yangu Lesotho ikishinda.Thubutu, kwa taarifa yako tu hakuna kipindi nchi hii ina maafisa Wa shirikisho la mpira Wa miguu Africa na duniani kama kipindi hiki cha kuelekea mechi ya Mazuzu Fc Vs Uganda.
Sasa nyie pangeni matokeo mpigwe adhabu moja matata ambayo hamtakaa muisahau katika kipindi chenu cha uhai wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilidhani anaisifia CCM kumbe anamsifia Rais wa Watanzania na Serikali ya Tanzania,tatizo liko wapi? Wewe kama humpendi Rais wa nchi na Serikali hilo halituhusu
Chini ya bashboy na dingi ake, hakuna kinachoshindikana mkuu. Nan angeweza kuamin kuwa kijana ya arumenga inaweza ikafika bei na kupokea faranga.Thubutu, kwa taarifa yako tu hakuna kipindi nchi hii ina maafisa Wa shirikisho la mpira Wa miguu Africa na duniani kama kipindi hiki cha kuelekea mechi ya Mazuzu Fc Vs Uganda.
Sasa nyie pangeni matokeo mpigwe adhabu moja matata ambayo hamtakaa muisahau katika kipindi chenu cha uhai wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais ni raia namba moja, taswira ya nchi, mkuu wa dola na serikali, unataka asifiwe nani? Hakuna mbadala wa rais. Ingekuwa tunao marais zaidi ya mmoja, basi tungemuhoji Makonda, "kwanini unamsifia mmoja wengine husifii?" Kwahiyo kuwa mpole akiingia wa kwako naye tutasifia.
Mimi ntakunya Mafungu mafungu Mwenge Posta Stars ikishindaTaifa Stars ikishinda najitowa JF. Labda waingize Zanzibar Hero + Samatta.
Binafsi jpili hii nitakua upande wa UGANDA
siwezi kuhamasishwa kushangilia na kina Wema, Steve, JB & CO
Nilifikiri unatania kumbe ni kweli? nimemwona mkaa uchi na mwizi wa michango ya msiba wanahamasisha kupitia TV inayobebwa na Lumumba?
Huko ni kukosa uzalendo mkuu[emoji1787]Niwe muwazi tu mapema......Mimi nashabikia Uganda, Naomba uganda ipige Tz 3-0, ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Na uvamiziKwa upande wangu naona tu ile Bashite kuwa Kiongozi wa Uhamasishaji kwa Timu ya Taifa tayari ni NAJISI kwa hii timu..
Hakuna lolote la Maendeleo lililowahi kusimamiwa na huyu jamaa limewahi kufanikiwa labda mambo ya kishezishenzi kama utekaji nk nk.
Kwa upande wangu naona tu ile Bashite kuwa Kiongozi wa Uhamasishaji kwa Timu ya Taifa tayari ni NAJISI kwa hii timu..
Hakuna lolote la Maendeleo lililowahi kusimamiwa na huyu jamaa limewahi kufanikiwa labda mambo ya kishezishenzi kama utekaji nk nk.
Binafsi jpili hii nitakua upande wa UGANDA
siwezi kuhamasishwa kushangilia na kina Wema, Steve, JB & CO
Kichwa cha Mwendawazimu lazima kinyolewe
mimi ni mtanzania ila jumapili ntashabikia Uganda siwezi kuhamasishwa kuishangilia taifa staz na kina bashite na lumumba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi tayari nimeshakubali kujiunga na kamati ya "saidia Uganda ishinde vs Taifa Stars" kutokana na huu utoto wa hawa walioteuliwa kuhamasisha taifa stars.
hii inatosha kuthibitisha usahihi wa takwimu za UN zinazoi rank Tanzania as one of poorest countries kwenye "happiness index" duniani.
Mpumbavu kabisa bashite na hilo litimu lao la taifa naomba lifungwe...
πππππππππππππππππππππππππππππππππNiwe muwazi tu mapema......Mimi nashabikia Uganda, Naomba uganda ipige Tz 3-0, ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kiongozi mmoja nasikia kasema ushindi wa Simba ni utekelezaji wa ilani ya chama chao.Tuiombee tu timu yetu ya Taifa ishinde na kufuzu hiyo afcon. Ingawa natambua huo ushindi iwapo utapatikana, tutaambiwa ni kwa sababu ya mafanikio ya mtu fulani pasipo kuwapa heshima wanaostahili (wachezaji na benchi la ufundi). Kila kitu tunatanguliza siasa tu na siyo uzalendo.