Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hata wakipanga na kumfunga Uganda goas 10 haitakuwa na maana iwapo timu yangu Lesotho ikishinda.Thubutu, kwa taarifa yako tu hakuna kipindi nchi hii ina maafisa Wa shirikisho la mpira Wa miguu Africa na duniani kama kipindi hiki cha kuelekea mechi ya Mazuzu Fc Vs Uganda.
Sasa nyie pangeni matokeo mpigwe adhabu moja matata ambayo hamtakaa muisahau katika kipindi chenu cha uhai wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app