Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

"Mother fu**ck, wanafiki wa madaraka" in Roma Mkatoliki voice.
Siasa na ukuu umekuwa sasa ni lile vazi la mfalme.. Yaani anasema chochote na popote na kwa lolote.
Ukiwaita wamelewa madaraka wanakataa.

Kuna damu zinawatafuna hawa sio bure.
 
HUwezi kuwakilisha taifa kwa ujinga badala ya hekima akili na ubunifu, kwanza mil 50 yetu wamerudisha? mechi ya ushindi tuliichezea huko Lesotho, kuwafunga UGANDA ni suala la kumjaribu bwana mungu wetu, hatukuwafunga Lesotho taifa iwe UGANDA, hiyo ni upungufu wa akili, tuombe mungu lakni sio kwa kutumia nguvu na majigambo kama ya Wema na Steve Nyerere.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU TUPE WEPESI TUFINGE UGANDA japo bado tunaombe Utusaidie Lesotho akae kwa Cape Verde kitu ambacho ni obvious lakn sio kwa TZ kufunga the Cranes.

Tuliza Mchecheto Wewe Hujui Taifa Stars Wanawakilisha Taifa. Tena Wakishinda Jumatatu Ni Mapumziko Hakuna Kufanya Kazi Nchi Nzima
 
"Mimi ndio mkuu wa huu mkoa. Na huu mkoa ndio wa kwangu. Sijakabidhiwa kwa majaribio. Nimekabidhiwa kuongoza, nitabadilisha route zote kwenda uwanja wa taifa. Tukishinda tunafunga baadhi ya mitaa, vinywaji vyote vinauzwa kwa nusu bei kwa zaidi ya saa sita."
- Daudi Albert Bashite
😳😁🙌🏾👆🏾


Ni wazi kutakuwa na uvunjifu wa maadili kwa kuchochea unywaji wa kupindukia kwasababu tu timu imeshinda. Unafungaje mitaa ili watu wasiokuwa na shughuli za mpira wasiendelee na shughuli zao za maisha ya kila siku? Sioni kama huu ni uhamasishaji ila ni kuonesha ubabe na ulevi wa madaraka tu. Tayari mwenyekiti wa uhamasishaji kesha wakatisha tamaa wengi. Yeye silaha yake kubwa ni wasanii kwa kila jambo. Najiuliza hiyo nusu ya bei inayobaki analipa nani?[/QUOTE
Sijui kwa hili, ila huyo jamaa hajawahi kufanikiwa popote anapoanzisha jambo lolote..Ana KIBRI sana huyu Dogo.
 
Vinywaji vikiuzwa nusu bei, nusu itakayobaki atalipa nani?.
 
nusu bei anamiliki bar hapa mjini? mangi auze bia buku kisa makonda kasema wapi na wapi
 
Rais ni raia namba moja, taswira ya nchi, mkuu wa dola na serikali, unataka asifiwe nani? Hakuna mbadala wa rais. Ingekuwa tunao marais zaidi ya mmoja, basi tungemuhoji Makonda, "kwanini unamsifia mmoja wengine husifii?" Kwahiyo kuwa mpole akiingia wa kwako naye tutasifia.
Sasa kumsifia rais na serikali kunaisaidia vipi Taifa Stars kushinda? Makonda ameteuliwa kuongoza kamati ya kusaidia Timu ya Taifa ishinde,ameacha kufanya kazi hiyo badala yake anafanya propaganda za kisiasa!
 
Kwanini mtu anapata div zero anakuwa na majukumu makubwa na nguvu kubwa kama hiyo? elimu ni BURE ama sis tumekosea sana hapa TZ? njombe nako zero, why study science then?
 
Back
Top Bottom