RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
ACT kwa sasa haiwezi futika nahata huko mbeleni haitafutika, kwa sababu ACT Kwa sasa iko Pemba basi tegemea haitofutika leo wala kesho.Labda Zitto na wazanzibar wakosane nahata wakikosana hakuna atakaefutika either iwe Zitto au ACT.Tatizo nu kuwa huko mbeleni anaweza akakosa vyote hata kufutika kwa ACT Tanzania.
Bado hujaleta hoja za kushawishi wapinzani wamkatae Membe kwakuwa mtaji wa siasa ni watu na membe ana watu CCM ambao ata hama nao nakwenda nao upinzani.
ACT kwa sasa haiwezi futika nahata huko mbeleni haitafutika, kwa sababu ACT Kwa sasa iko Pemba basi tegemea haitofutika leo wala kesho.Labda Zitto na wazanzibar wakosane nahata wakikosana hakuna atakaefutika either iwe Zitto au ACT.
Nimekuelewa sana mkuu, siungi mkono swala la Membe kuingia upinzani, though natambua uwezo wake mkubwa kisiasa.Tatizo kubwa sio kuwa presidential material, hilo sina ubishi nalo.
Tatizo kubwa kabisa ni baada ya uchaguzi UPINZANI UTAKUWA NA HALI GANI? Suala la upinzani si swala la muda mfupi ni lazima liwe na long term plan. Tafakari!
CUF imefutika Pemba kwa sababu CUF Pemba nimaalim Seif, lakini leo hata Maalim akienda NCCR bado Zitto atabaki na kuaminika na baadhi ya watu wa Kigoma, hata Zitto akiondoka ACT ataenda CDM au CCM huko kote wataendelea kumtukuza kwa sababu nimjengaji hoja mzuri na mchumi mzuri kuliko wanasiasa wengi walioko huko. Uzuri wa Zitto nimzuri majukwaan lakin pia nimzuri katika eneo lake la uchambuzi siasa hasa kiuchumi sema kingine ambacho sikipendi kwake nimlazimisha furusa hata pale isipotakiwa yeye hulazimisha tu.CUF ilikuwa Pemba na ikafutika. Ogopa mamluki aka membe ambae ni Lipumba part 2.
Kijiunga upinzan sio tatizo tatizo nikuwa akijiunga upinzan atapewa nafasi gani,Kama anajiunga upinzan amnadi Lisu hakuna shida ,Kisha yeye agombee ubunge huko kusini.Nimekuelewa sana mkuu, siungi mkono swala la Membe kuingia upinzani, though natambua uwezo wake mkubwa kisiasa.
Washirikiane tu waangalie namna gani kila chama kitanufaika na ushirikiano huo.Zito hawezi kua mjinga wa kuilinda chadema wakat ambao na yeye anahis atanufaika
Membe akienda Act Zito ataongeza Wabunge na Hatujui Chadema itapoteza kwa kias Gan ila Zito anaweza kua chama kikuu cha upinzan sababu zanzibar tayar Act Ina nguvu akimuunga Membe uku akipata hata wabunge kadhaa itakua poa Sana
Mnapo mtaka Zito ajiunge na chadema mjue Baada ya uchaguz ruzuku hawagaw [emoji849]
Huu uwezo wa kuja tu wakati wa uchaguzi huwa unanitia mashaka? Naomba unijulishe tu kwamba tangu membe aingie kwenye siasa (ubunge na uwaziri) ni lipi jambo ambalo amelifanya kwa taifa hili kiasi cha kutuaminisha kwamba ni presedential material? Wapiga kura wangapi huko mashinani wanamjua membe? Kama walivyo viongozi wengi wa CCM (hasa awamu zilizopita) membe pia ni mhanga wa kashifa za ufisadi!Nimekuelewa sana mkuu, siungi mkono swala la Membe kuingia upinzani, though natambua uwezo wake mkubwa kisiasa.
Mkuu kapicha basi kajapo muamala 1 kati ya hiyo miamala ya kuua upinzani zaidi ya 2.4 tr zilizotumika.Nakubali lakini nakupinga, huu mpango mkakati, Kama ni kweli wa ccm kumtuma mtu upinzani haujawahi kuwasaidia ccm zaidi ya kuwasambaratisha.
Lowasa aliaachia ccm makovu makubwa pengine bado hayajakauka,
Lowasa alishida uchaguzi, na kwapatia wapinzani wabunge na madiwani wengi
Lowasa alikupatia chama kikuu Cha upinzani ruzuku kubwa.
Awamu ya tano Sasa inataabishwa na kishindo Cha lowasa, kiasi kwamba imebidi watumie hazina ya nchi zaidi ta tril2.4 kuhonga ili kukiua chama pinzani ambacho kilitishia uhai waccm kwa makosa waliyoyafanya 2015.
Kama ccm wanatumia huu mkakati wa hovyo utawaumiza zaidi na kuiumiza nchi kiuchumi
Lowasa Kurudi ccm ni maslahi tu siyo. espionage
Wala membe akienda opposition alafu akarudi ccm haitakuwa espionage, labda itakuwa ni maslahi pia.
Nakubaliana naee kuwa huu utakuwa mchezo tu. waku chelewesha mabadaliko ambao unaumiza nchi bila kujali chama
Wote Membe na Zito sio watu wenye Nia njema na upinzaniAsiyesikia la mkuu huvunjika guu na asiyeweza kujifunza kutokana na makosa yaliyopita mathalan hawezi kujifunza lolote huko mbeleni. Misemo hii si ya kuipuuzia hasa katika mwenendo wetu wa siasa wa awamu hii.
Nimemsikia Zitto akimsafisha Membe na kumtofautisha na Lowassa na kuwahakikishia wananchi kutokuwa na wasi wasi na huyu Mbobezi. Kwa mara ya kwanza Mahesabu na akili nyingi za Zitto zitaonekana kuwa ndogo kuliko zile za chama Tawala. Kwani kama kweli Membe anaugomvi na chama tawala hata waandishi wa habari asingeruhusiwa kukutana nao. Na kimsingi angewekwa kizuizini au tusingemuona kabisa. Historia imeonyesha hivyo!
Kwanini Membe ni Hatari?
Wakimaliza hayo ndio wanamtupia Membe upinzani na huko atachukua siri zote na baada ya kugombea urais na hatimae kushindwa, baada ya miaka miwili 2022 atarudi tena chama tawala akiacha mvurugano wa kutisha huko upinzani. Membe yuko katika kazi maalum na katumwa rasmi.
- Membe ni mtu aliyekulia ndani ya chombo nyeti toka akiwa na miaka 23, hivyo anaielewa Tanzania na chama kuliko Lowassa. Katika nchi yeyote ile watu kama hao hawaachwi wakaropokaropoka ovyo kama si kwa maslahi ya watawala.
- Kama kweli chama tawala wangetaka kumfukuza Membe uwanachama wangeshaitisha kikao cha halmashauri kuu na kumfukuza Membe Rasmi na kumpatia barua ya kufukuzwa kwake. Kwanini hawafanyi hivyo? Ni kwasababu ya kuunyambulisha mjadala na kumfanya Membe awe kivutio zaidi kwa wapinzani.
- Kuwapata watu waasi ndani ya chama tawala
- Kuuangalia kasi ya upinzani kama wamestuka kwa yale ya Lowassa au bado wapo gizani. Kwa vile bado wanachukua data.
Hivyo upinzani wanaweza kumkubalia kuwa mwanachama wa kawaida lakini asipewe kugombea hata ubunge au uenyekiti wa jimbo. Hizo ndio habari za mjini ukipenda Breaking News!
Nikuwekee bank statement ya waitara??? Alilamba mil.500Mkuu kapicha basi kajapo muamala 1 kati ya hiyo miamala ya kuua upinzani zaidi ya 2.4 tr zilizotumika.
I second you.Waende wote
CCM - Mh J P Magufuli
ACT - Mh Benard Membe
CHADEMA - Mh Tundu Lissu
Kiu yangu chama kitakachoshida kiwe na ushindi wa 60% na vyama vinavyofuatia viwe na Jumla ya 40% hapo tutakuwa na Serikali imara na upinzani ulio imara vile vile
Sina tatizo na ushindi wa Mh J P Magufuli ila kiu yangu ni kuona siasa za ushindani zikiendelea kwa kuwa na Bunge ambalo Wabunge wa Chama kimoja hawawezi kubadilisha Katiba bila kupata uungwaji mkono wa upande wa pili. Uwiano wa 3:2 utachochea sana maendeleo tofauti na kuwa na uwiano wa 9:1 kwa mfano.I second you.
Waache wote hao waende kugombea kupitia vyama tofauti kisha tupate raisi bora kabisa.
Bila shaka Mh. JP Magufuli atashinda kwa kura nyingi tu.
Membe huyu huyu!!! Ngonja nicheke kimoyomoyo.Kuna watu hawawezi kukuelewa, kama ni chaguo lao huwezi kuwaambia kitu.
Btw, Membe ni bonge la Presidential material.
Nakubali lakini nakupinga, huu mpango mkakati, Kama ni kweli wa ccm kumtuma mtu upinzani haujawahi kuwasaidia ccm zaidi ya kuwasambaratisha.
Lowasa aliaachia ccm makovu makubwa pengine bado hayajakauka,
Lowasa alishida uchaguzi, na kwapatia wapinzani wabunge na madiwani wengi
Lowasa alikupatia chama kikuu Cha upinzani ruzuku kubwa.
Awamu ya tano Sasa inataabishwa na kishindo Cha lowasa, kiasi kwamba imebidi watumie hazina ya nchi zaidi ta tril2.4 kuhonga ili kukiua chama pinzani ambacho kilitishia uhai waccm kwa makosa waliyoyafanya 2015.
Kama ccm wanatumia huu mkakati wa hovyo utawaumiza zaidi na kuiumiza nchi kiuchumi
Lowasa Kurudi ccm ni maslahi tu siyo. espionage
Wala membe akienda opposition alafu akarudi ccm haitakuwa espionage, labda itakuwa ni maslahi pia.
Nakubaliana naee kuwa huu utakuwa mchezo tu. waku chelewesha mabadaliko ambao unaumiza nchi bila kujali chama