K kichoroba89 Senior Member Joined Oct 3, 2019 Posts 197 Reaction score 57 Jul 6, 2020 #41 Mla Bata said: Kuna watu hawawezi kukuelewa, kama ni chaguo lao huwezi kuwaambia kitu. Btw, Membe ni bonge la Presidential material. Click to expand... Hahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Mla Bata said: Kuna watu hawawezi kukuelewa, kama ni chaguo lao huwezi kuwaambia kitu. Btw, Membe ni bonge la Presidential material. Click to expand... Hahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Bf Tulinagwe JF-Expert Member Joined Dec 11, 2019 Posts 211 Reaction score 383 Jul 6, 2020 #42 Membe kawagawa CDM kabla hata hajawa Mwana CDM, sembuse akifanya maamuzi rasmi ya kujiunga na CDM, anakivisha sanda na kukifukia kabisa., bora ya Lowassa. Membe nenda ACT, CDM iendelee kua mpinzani.
Membe kawagawa CDM kabla hata hajawa Mwana CDM, sembuse akifanya maamuzi rasmi ya kujiunga na CDM, anakivisha sanda na kukifukia kabisa., bora ya Lowassa. Membe nenda ACT, CDM iendelee kua mpinzani.