Angalizo muhimu sana kwa Wanaume

Angalizo muhimu sana kwa Wanaume

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,742
Zamani (nadhani hata sasa), kupata mtoto first born dume, watu walikuwa wanafurahi sana. Mwanaume anatembea kifua mbele kila mtu ana-muadmire!

Sasa dunia ilipofikia, first born ndiye mkuu wa nyumba, si baba. Nimeshangaa sana! Mtoto anadiriki kumwambia baba yake: "Aaa baba, na wewe umezidi ulevi, lazima tukuambie ukweli..........."Mbele ya mama yake, na mama kimyaa wala hakomment chochote!(ina maana anaunga mkono hoja).

Jiangalieni wanaume, itafika kipindi mnalambwa makofi mbele za wake zenu.
 
Wazee wa zaman walikua wanaacha laana sana akisema neno halirudi na akifa utajuta
 
Imeandikwa, yakwamba watoto wawaheshima wazazi wao na wazazi hao wajizuie kutenda uovu machoni pa watoto wao. Sasa kama baba kalewa machoni pa watoto wake, basi roho takatifu, itamkemea baba huyo kupitia kinywa cha mwanae, yakwamba aachane na ulevi, yaani anywe pombe(divai/mvinyo) kwa kiasi, abakize akili ya kuweka msawazo wa mwili katika ubongo wake, kwa matendo yake yote machoni pa watoto wake. NA WOTE, TUITIKIE: AMINA(naiwe hivyo). Yes, Sir!
 
Ndo hvo baba hata huku nimekufata.

Nakwambia tena na tena mpaka hio helmeti yako ya shingo ielewe tumeuchoka ulevi wako[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]
 
Zamani (nadhani hata sasa), kupata mtoto first born dume, watu walikuwa wanafurahi sana. Mwanaume anatembea kifua mbele kila mtu ana-muadmire!
Sasa dunia ilipofikia, first born ndiye mkuu wa nyumba, si baba...
Tatizo la kufuga midume yenye ndevu. Mtoto akishafikisha umri wa serikali afukuzwe nyumbani akajitafutie maisha.
 
Kuzaa watoto wa kiume kwa dunia ya sasa ambayo hata ajira ya kubeba zege haipatikan kirahis ni hatari sana.

Heri kuzaa wa kike form 2 wanapgwa mimba wanaacha shule wanakupunguzia mzigo

Ila ya kiume yanakomaaga na shule mpaka chuo kikuu ambako ada ni million na likishndwa shule linakuwa jizi nyumban na ukiwa na vimali usipoyashirikisha yanataman ufe haraka au yakuue
 
Serial.println("Got " + String(contentLength_) + " bytes from server");
 
Ww naye hujielewi, dogo yuko makini sana huyo tena nampa big up.

Angemsema mbele ya mkwe wake(mke wa mtoto) hapo ingekuwa sio sawa, ila kwa kuwa kamsema mbele ya mama yake hilo halina tatizo maana wale ni wazazi wake.
 
Ndo hvo baba hata huku nimekufata.....


Nakwambia tena na tena mpaka hio helmeti yako ya shingo ielewe tumeuchoka ulevi wako[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]
Helmet ya shingo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama anamyang'anya mama hela zake baada ya kuuza ndizi basi hiyo sawa mtoto anaweza kumuonya Mzee kupunguza kinywaji ; lakini kama anakunywa kangala kwa hela yake mwenyewe baada ya kubeba zege, hiyo haikubaliki!!
Kaka mmoja alikuwa anakojolea biashara za mkewe' akitoka ulevini anasema ndio zinamfanya azurure anatafuta mabwana. Nyumbani haachi hata Mia.
 
Mtoto gani huyo anamwambia/anamtukana baba yake hivyo mbele ya "mchumba" wake?Ntamvunja magego!
 
Back
Top Bottom