Angalizo: The state nyie ndio mtakaolaumiwa nchi yetu ikiyumba

Angalizo: The state nyie ndio mtakaolaumiwa nchi yetu ikiyumba

kumbe utanganyika ubara ndio unawatesa kweli sukuma gang amfai kupewa uwongozi tena .Mbona yule mzee alikuwa anafanya yake chato huku hoji .ubaya huo
 
Mimi ni mnyaki wa kumasai.

Sijawahi kuona mijitu mibaguzi kama sisi wa Bara.

Mnajua ni haki ngapi za mgawo wa kiitifaki Zanzibar wamedhulumiwa?

Kama ni kuimarisha Muungano kuna tatizo gani tukiwa na miradi ya kimkakati kuongeza makusanyo ya serikali? Au mnataka kuvitawala visiwa vile kwa kuhakikisha wanakuwa maskini wa kutupwa?

Acheni gubu, wivu na uvivu
75% umetimia , kipande Cha utabili kilichobaki 25% mmh ni kigumu.ngoja tune,upinzani hawa hawa tunaowajua mbona yatakuwa maajqbu makubwa et[emoji848][emoji848].labda kuwe na mtu ambaye bado hajajiweka wazi anahamia upinzani!
Tunatoa angalizo!hatubagui mtu!! Ndugai alikurupuka unadhani?takwimu za deni ni za uongo??!!! The State wapo watatusaidia!!!
 
Tunatoa angalizo!hatubagui mtu!! Ndugai alikurupuka unadhani?takwimu za deni ni za uongo??!!! The State wapo watatusaidia!!!
Acheni uzushi wa kijinga...
Yote uliyoandika ni uongo na huwezi kutoa chembe ya ushahidi..
 
Kelele zimeanza kusikika mapema kabisa kuhusu deni la Taifa! Hadi sasa ndani ya miezi michache ya Mama tena tisa tu tayari trillion 10 na zaidi ya nusu ya mkopo huo ukielekea visiwani Zanzibar wakati bado kuna miradi mikubwa ya bara kama stiglers na Bwawa la umeme haijakamilika Hadi sasa.

Inawezekana kabisa serekali ya Mama haina uhakika wa kuendelea tena kuwepo madarakani hapo 2025 ndio maana kaamua kutumia turufu ya uraisi wake kukopa mikopo mikubwa ili ajenge kwao Bila kujali madhara ya mikopo hiyo kwa Taifa letu.

Historia haidanganyi Ethiopia iliwahi kukopa mikopo mikubwa Kama hii tena kwa pupa kama tunavofanya hapa kwetu matokeo yake ni kibano kwa raia wake kwa zigo la kodi lisilobebeka hadi ikafikia hatua nchi haikaliki hadi sasa!

Wananchi wamekua wakimbizi wa Kodi na ugumu wa maisha!! Hilo ni onyo kwetu kama hali ikiendelea kuwa hivi basi tunaenda shimoni

The state Kuna haja ya kutumia mamlaka yenu kwa serekali iliyopo kabla mambo hayajaharibika!!mkikaa kimya na kuendelea kuwachekea Hawa viongozi na chama chao mkasahau viapo vyenu mjue mtalaumiwa baadae na wananchi!

Viashiria vyote vinaonyesha kabisa kia kuna hofu ya kukimbizana na muda wa madaraka kwa Mama ,ndio maana anakopa kwa fujo ili atimize matamanio yake kwa muda mfupi.

Kama mnamacho na masikio basi fanyeni Jambo mapema kabla mambo hayajaharibika zaidi!!!
Sukuma gang mnashida sana! Baada ya kuona kete yenu ya miradi haimaliziki imepuuzwa ana kufa kifo cha Mende eti saivi mnakuja na ramli zenu kuwa Mama anapendelea Zanzibar!

Sikilizeni niwaambie nyie ni washamba na wapuuzi tu na hakuna mtakalotunga juu ya Mama Samia litafanikiwa

Na Kama hamtaki rudini kwenu Burundi Samia ndo Rais wa JMT mpaka 2030. Mungu ashampa icho kibali
 
Tunaheshimu uhuru wako wa kutoa maoni ila hauko sahihi rais samia bado yupo sana
 
Kelele zimeanza kusikika mapema kabisa kuhusu deni la Taifa! Hadi sasa ndani ya miezi michache ya Mama tena tisa tu tayari trillion 10 na zaidi ya nusu ya mkopo huo ukielekea visiwani Zanzibar wakati bado kuna miradi mikubwa ya bara kama stiglers na Bwawa la umeme haijakamilika Hadi sasa.

Inawezekana kabisa serekali ya Mama haina uhakika wa kuendelea tena kuwepo madarakani hapo 2025 ndio maana kaamua kutumia turufu ya uraisi wake kukopa mikopo mikubwa ili ajenge kwao Bila kujali madhara ya mikopo hiyo kwa Taifa letu.

Historia haidanganyi Ethiopia iliwahi kukopa mikopo mikubwa Kama hii tena kwa pupa kama tunavofanya hapa kwetu matokeo yake ni kibano kwa raia wake kwa zigo la kodi lisilobebeka hadi ikafikia hatua nchi haikaliki hadi sasa!

Wananchi wamekua wakimbizi wa Kodi na ugumu wa maisha!! Hilo ni onyo kwetu kama hali ikiendelea kuwa hivi basi tunaenda shimoni

The state Kuna haja ya kutumia mamlaka yenu kwa serekali iliyopo kabla mambo hayajaharibika!!mkikaa kimya na kuendelea kuwachekea Hawa viongozi na chama chao mkasahau viapo vyenu mjue mtalaumiwa baadae na wananchi!

Viashiria vyote vinaonyesha kabisa kia kuna hofu ya kukimbizana na muda wa madaraka kwa Mama ,ndio maana anakopa kwa fujo ili atimize matamanio yake kwa muda mfupi.

Kama mnamacho na masikio basi fanyeni Jambo mapema kabla mambo hayajaharibika zaidi!!!
Hv ninyi mmetokana na zinaa ety? Hv unajua bajeti ya znz ni kiasi gan? Alafu njoo na hyo trillion Tano uone ni bajeti ya miaka mingapi kwa Zanzibar.
 
Uwanja wa trilioni moja? Hata kama ni kumpiga vita hilo hatukatai, lakini hiyo vita iwe na justification ya maana basi.
Hawa watu wameshikwa pabaya yan uwanja ujengwe kwa trillioni Moja kweli?[emoji23][emoji1787]kama sio uzao wa laana kiwe nn
 
Hivi unaongelea deep state ya nchi gani?
Hapa kwetu wamejazwa vijana wa hovyo ambao wengi wao wana unasaba na hawa hawa viongozi.

Nchi hii tumepigwa na kitu kizito akilini
Kwani bado tunatawaliwa na jiwe?

Si mama yenu kipenzi yuko vizuri sana au?
 
Uislamu utakuzwaje bila kukopa hela za waKristo na Kuijenga Dola Ya Kiislamu Zanzibar?

Wacha vijana wao wagaiwe watongozee dada Zetu na kuwazalisha watoto wankiislamu.
 
Hivi unaongelea deep state ya nchi gani?
Hapa kwetu wamejazwa vijana wa hovyo ambao wengi wao wana unasaba na hawa hawa viongozi.

Nchi hii tumepigwa na kitu kizito akilini
Hiyo inaitwa ndani ntiti nje ntiti.....
 
Magufuli ndio alikopa hela nyingi ndani ya muda mfupi kuliko rais yeyote katika historia yetu

Alikuwa mbaya sana akitembeza bakuli huku akitudanganya ni fedha za ndani.
 
Mimi ni mnyaki wa kumasai.

Sijawahi kuona mijitu mibaguzi kama sisi wa Bara.

Mnajua ni haki ngapi za mgawo wa kiitifaki Zanzibar wamedhulumiwa?

Kama ni kuimarisha Muungano kuna tatizo gani tukiwa na miradi ya kimkakati kuongeza makusanyo ya serikali? Au mnataka kuvitawala visiwa vile kwa kuhakikisha wanakuwa maskini wa kutupwa?

Acheni gubu, wivu na uvivu
Kwani tuliuomba huo muungano,hatuutaki,wanaoforce ni watawala
 
Tunatoa angalizo!hatubagui mtu!! Ndugai alikurupuka unadhani?takwimu za deni ni za uongo??!!! The State wapo watatusaidia!!!
Tanzania unadhani tunayo hiyo THE STATE?

Sema kuna mbabe mmoja wa vita kashika mpini
 
Back
Top Bottom