Angalizo: The state nyie ndio mtakaolaumiwa nchi yetu ikiyumba

Angalizo: The state nyie ndio mtakaolaumiwa nchi yetu ikiyumba

The state mpo?mtuambie kule Dubai kilichouzwa ni nini??Ili tujue!je ni ngorongoro au nini!!!!??
 
Kelele zimeanza kusikika mapema kabisa kuhusu deni la Taifa! Hadi sasa ndani ya miezi michache ya Mama tena tisa tu tayari trillion 10 na zaidi ya nusu ya mkopo huo ukielekea visiwani Zanzibar wakati bado kuna miradi mikubwa ya bara kama stiglers na Bwawa la umeme haijakamilika Hadi sasa.

Inawezekana kabisa serekali ya Mama haina uhakika wa kuendelea tena kuwepo madarakani hapo 2025 ndio maana kaamua kutumia turufu ya uraisi wake kukopa mikopo mikubwa ili ajenge kwao Bila kujali madhara ya mikopo hiyo kwa Taifa letu.

Historia haidanganyi Ethiopia iliwahi kukopa mikopo mikubwa Kama hii tena kwa pupa kama tunavofanya hapa kwetu matokeo yake ni kibano kwa raia wake kwa zigo la kodi lisilobebeka hadi ikafikia hatua nchi haikaliki hadi sasa!

Wananchi wamekua wakimbizi wa Kodi na ugumu wa maisha!! Hilo ni onyo kwetu kama hali ikiendelea kuwa hivi basi tunaenda shimoni.

The state Kuna haja ya kutumia mamlaka yenu kwa serekali iliyopo kabla mambo hayajaharibika!!mkikaa kimya na kuendelea kuwachekea Hawa viongozi na chama chao mkasahau viapo vyenu mjue mtalaumiwa baadae na wananchi!

Viashiria vyote vinaonyesha kabisa kia kuna hofu ya kukimbizana na muda wa madaraka kwa Mama ,ndio maana anakopa kwa fujo ili atimize matamanio yake kwa muda mfupi.

Kama mnamacho na masikio basi fanyeni Jambo mapema kabla mambo hayajaharibika zaidi!!!
Hizo kelele umezisikia peke yako tu. Mambo yanaenda shwari tu siku hizi.
 
Back
Top Bottom