Angalizo: Tunatarajia muswada wa marekebisho kuhusu nishati

Kuna mbunge yeyote mwenye uelewa wa mikataba na Sheria za Nchi hii kwa Sasa bungeni?

Kama Rais anakosa mtu wa kumteua kuwa Waziri bungeni ije iwe kupata wabunge wa kutengeneza Sheria na mikataba

Tunaenda kupigwa Kama kwenye Gesi.
Eti akina lusinde ndio wabunge tegemezi
 
inategemea 70% ya wabunge wako bungeni kwa sababu zipi....naamini kwa sasa kina wabunge 30% wanaojielewa lakini pia nao 20% akili zao wanazitumia kujipigia na hiyo 10% ndio angalau inaweza kuwa na uchungu na nchi...

Ni vyema hivyo vipengele tukaanza kuvijadili kwenye mitandao kwa nguvu, inaweza kuamsha hasiri za wananchi na wale wabunge wazee wa upepo wakatusaidia na mwisho Wananchi tutashinda..
 
inategemea 70% ya wabunge wako bungeni kwa sababu zipi....naamini kwa sasa kina wabunge 30% wanaojielewa lakini pia nao 20% akili zao wanazitumia kujipigia na hiyo 10% ndio angalau inaweza kuwa na uchungu na nchi...
Watawala hawapendi kusikia mijadala ya kitaifa
 
Haaa! umenikumbusha neo hili ' a figure head' zamani tulikuwa tunasema amekaa km buwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…