Angalizo, Tuwe makini

Angalizo, Tuwe makini

Mimi kunaduka nilikuwa nanunua gas..sasa chenj ilibaki kama 3000..wakati waduka ananiletea nimdada..nahuyo wa ki pub nae anatoka anasema hiyo chenj nipe mimi nilimwangalia basi karudia nakurudia mikausho kama yoote..simfahamu hanifahamu..
Hio inaitwa strategic location/placement. Fursa ifuate usiingojee strategy, mchana they are normal people ucku ni multidisciplinary sales individuals.
 
Kuwa Kidume.
Kidume ni yule ambae anaenda dukani anachukua zake, Vant, Nyagi au Value yake moja na kwenda kunywea chimbo.

Kama unataka demu siku hiyo
Ukisha waka unamtafuta yule demu wako mmoja mbobu mbovu yule ambae hakulingiagi, unachapa mashine.
Lakini kwa hasara za jana usiku lazima atalipia mbwa yule, yaani Mimi katibu mzima wa kutokwenda jumuiya leo kwasababu ya mawazo ya kuchunwa bila idhini yanga kweli?
 
Naandika ujumbe huu nikiwa na loss ya Kama 50k+ hivi.
Aisee kuna hivi vi-pub ushenzi vimemiminika kila baada ya mlango mmoja wa flem, yaani ni mwendo wa duka la nguo, pub, duka la chakula pub... Hivyo hivyo kwa nguvu ya 5G hadi hatulali na pesa siku hizi.

Sasa basi wamiliki wengi wa vi-pub hivi ni either ma barmaid wastaafu au mastistaduu waliokubuhuu kwenye shughuli za uchunaji, leo basi si nimejifanya kuwatoloka wana ukoo, nikasema ngoja nijichimbie hapo kijiwe nongwa jicho moja, mguu na meza upande duka la nguo upande salon ya kike, aisee kumbe mchezo wao sio wa kitoto yaani ukiagiza yako moja na yeye anachukua yake moja, ukinywa ya pili na yeye anakunywa nyingine Sasa nimeshtuka hapa nimeacha kumchekea chekea nataka anieleze hii bili ni yangu au yake maana sikumpa go ahead ya kujihudumia mwenyewe.

Kama mtaona kimya sana kesho mjue nitakuwa nimeungana na ndugu Sabaya, maana nataka nifanye ambush ya viwango vya Mwamposa hapa Pabun.
Basi utailipa hyo, otherwise ungepiga tukio ukatuletea mrejesho
 
Mimi kunaduka nilikuwa nanunua gas..sasa chenj ilibaki kama 3000..wakati waduka ananiletea nimdada..nahuyo wa ki pub nae anatoka anasema hiyo chenj nipe mimi nilimwangalia basi karudia nakurudia mikausho kama yoote..simfahamu hanifahamu..
Kwahyo ukatoa ulivyo boya ?
 
Naandika ujumbe huu nikiwa na loss ya Kama 50k+ hivi.
Aisee kuna hivi vi-pub ushenzi vimemiminika kila baada ya mlango mmoja wa flem, yaani ni mwendo wa duka la nguo, pub, duka la chakula pub... Hivyo hivyo kwa nguvu ya 5G hadi hatulali na pesa siku hizi.

Sasa basi wamiliki wengi wa vi-pub hivi ni either ma barmaid wastaafu au mastistaduu waliokubuhuu kwenye shughuli za uchunaji, leo basi si nimejifanya kuwatoloka wana ukoo, nikasema ngoja nijichimbie hapo kijiwe nongwa jicho moja, mguu na meza upande duka la nguo upande salon ya kike, aisee kumbe mchezo wao sio wa kitoto yaani ukiagiza yako moja na yeye anachukua yake moja, ukinywa ya pili na yeye anakunywa nyingine Sasa nimeshtuka hapa nimeacha kumchekea chekea nataka anieleze hii bili ni yangu au yake maana sikumpa go ahead ya kujihudumia mwenyewe.

Kama mtaona kimya sana kesho mjue nitakuwa nimeungana na ndugu Sabaya, maana nataka nifanye ambush ya viwango vya Mwamposa hapa Pabun.
aisee hii hatari Sasa anajihudumia kwa bili yako😂😂😂😂🤣
 
kula kona jemedari, hao wapuuzi wamejikatia tamaa na akili zao ni mbovu.
 
Back
Top Bottom