Angalizo, Tuwe makini

Mimi kunaduka nilikuwa nanunua gas..sasa chenj ilibaki kama 3000..wakati waduka ananiletea nimdada..nahuyo wa ki pub nae anatoka anasema hiyo chenj nipe mimi nilimwangalia basi karudia nakurudia mikausho kama yoote..simfahamu hanifahamu..
Hio inaitwa strategic location/placement. Fursa ifuate usiingojee strategy, mchana they are normal people ucku ni multidisciplinary sales individuals.
 
Kuwa Kidume.
Kidume ni yule ambae anaenda dukani anachukua zake, Vant, Nyagi au Value yake moja na kwenda kunywea chimbo.

Kama unataka demu siku hiyo
Ukisha waka unamtafuta yule demu wako mmoja mbobu mbovu yule ambae hakulingiagi, unachapa mashine.
Lakini kwa hasara za jana usiku lazima atalipia mbwa yule, yaani Mimi katibu mzima wa kutokwenda jumuiya leo kwasababu ya mawazo ya kuchunwa bila idhini yanga kweli?
 
Basi utailipa hyo, otherwise ungepiga tukio ukatuletea mrejesho
 
Mimi kunaduka nilikuwa nanunua gas..sasa chenj ilibaki kama 3000..wakati waduka ananiletea nimdada..nahuyo wa ki pub nae anatoka anasema hiyo chenj nipe mimi nilimwangalia basi karudia nakurudia mikausho kama yoote..simfahamu hanifahamu..
Kwahyo ukatoa ulivyo boya ?
 
aisee hii hatari Sasa anajihudumia kwa bili yako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
kula kona jemedari, hao wapuuzi wamejikatia tamaa na akili zao ni mbovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ